TRA wanajichanganya sana kwenye suala la Tegeta

Inawezekana ikawa kweli jamaa aliyededishwa ni kitengo ,nimeona msigwa ,mwigulu ,muliro wamekasirika sana ,halafu jamaa account yake amewafollow stars tu ,nahisi kwa ajili ya kupata info.
Na alikuwa anasoma CBE. Waajiri wake TRA hawana hata picha yake official. Tanzia yake imetangazwa na Bodi ya Wakurugenzi halafu ni Dereva. Hata kama wanatuona mafala sio kiasi hichi😔😔
 
Hakuna kitu hapo...

Na asikudanganye mtu, hao walikuwa walewale, genge la kuteka na kuua watu kwa jina la "sisi ni polisi". Safari hii walikwenda kwa sura ya "sisi wafanyakazi wa TRA" eti wanasaka Kodi usiku. Hii kweli ni Bongolala...!!!

Ni ajabu kuwa polisi nao kwa ujinga wao wanarukaruka kama vyura kwa kuruhusu watu kuji - impersonate kama mapolisi Ili kufanya uhalifu na ujambazi wao...

Angalia tukio/jaribio la kutekwa kwa wakili na mwanaharakati Alfonce Lusako ofisini kwake...

Angalia kauli za kujichanganya za polisi. Yaani Polisi wanasema walienda kwenye ofisi hizo kumkamata mtu aitwaye Emmanuel Mweta...

Cha ajabu wanafika pale na kuanza kumshambulia na kum - harass mtu mwingine asiye huyo wanayedai walikuwa wanamtafuta...

Hawa kama sio majambazi na wauaji wasiojulikana mnadhani ni kina nani...?

Hata hawa wanaojiita "TRA" huko Tegeta, walibadili staili tu. Safari hii waliamua kwenda kufanya uhalifu wao kwa jina la "wafanyakazi wa TRA" kumbe ni "wasiojulikana", majambazi ma - CCM..!!
 
Hayo matukio siyafuatilii kabisa. Ni mambo yanayonajisi moyo ukiyachunguza chunguza. Nawaachia polisi ndio wenye kazi yao.
Hebu nikumbushe Jambo moja kwenye Ile video ya jaribio la Kiluvya kuna mahali plate namba ya watekaji ilionekana? Maana kwenye movie ya Kamanda eti plate number ilibadilishwa😂
 
Mzee Warioba ana miaka 85.

Umri huo hakuna namna anaweza mikiki y urais wala kampeni zake.

Dr. Slaa naye ameshakongoroka.

Hiv Upinzani mmeshindwa kabisa kuandaa mtu wa kuogombea?

Kama hamuez kupata mgombea je ikitokea zari mkashinda mtapata wapi mawaziri?
 
Hata mimi nimekuwa na shaka kuwa kweli huyo wa kwenye picha ni mfanyakazi wa TRA. Maani sioni wakisema ni mtumishi TRA tawi gani hapa mjini.
 
Polisi watamkata yoyote ili kutisha watu, lakini hao task force a.k.a watu wasijulikana sasa hivi ni kuwapiga kiberiti tu wakijitokeza.
 
Wasipoangalia tutaanza kuwawinda na kuwaua popote wanapokuwa
Serikali imewalea, (kumbatia), watu wasiojulikana kwa muda mrefu tume zinaundwa nyuma ya mikamera majibu nyuma ya pazia

Watekaji, (wasiojulikana), ni taasisi kubwa tena haiguswi, wanakuteka halafu hawakuachii hivi hivi bila kilema, kama una bahati mbaya wanakupoteza kwa muda wanaotaka wao
 

Cha kushangaza jamaa alianza kufukuzwa tangia posta ,walikuwa na uwezekano wa kupiga simu kwa traffic na kuisimamisha kwa mbele ,mwenye gari akiona kasimamishwa na traffic hutii fresh.
 


Ni kwasababu wanataka kupewa rushwa na njia ni kutishia watu badala ya kwenda kiofisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…