TRA wanatumia migambo kama 10 kwenye kafrem kadogo

TRA wanatumia migambo kama 10 kwenye kafrem kadogo

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Msiwasikilize wanasiasa,
TRA wanatumia migambo kama 10 kwenye kafrem kadogo. Natamani ku attach video ya cctv ila nahisi watanirudia waniite muhujumu uchumi.

Jamaniii sijawahi shuhudia hiyo nguvu hata kama umekutwa unaiba kambi ya jeshi.

Aiseeee jitahidi hawa jamaa wakija uwe una leseni, ni wanyamaaa hawafai. Nahisi hata sakata la mama kibonge kariakoo kwenye vitenge kuna namna.

Hawa jamaaa wanafanya unyama huu leo manispaa ya Temeke, unyama unyama.
 
Hiv wanapata wapi mamlaka haya jamanii.
Tanzania ni nchi ngumu kufanya biashara jamani.
Mgambo wanaingia hadi ndani nyiee
 
Msiwasikilize wanasiasa
Tra wanatumia migambo kama 10 kwenye kafrem kadogo...
Natamani ku attach video ya cctv ila nahisi watanirudia waniite muhujumu uchumi
.
Jamaniii sijawahi shuhudia hiyo nguvu hata kama umekutwa unaiba kambi ya jeshi.
Aiseeee jitahid hawa jamaa wakija uwe una lesen ni wanyamaaa hawafai...
Nahis hata sakata la mama kibonge k.koo kwenye vitenge kuna namna.
Hawa jamaaa wanafanya unyama huu leo manispaa ya temeke.unyama unyama.
Sasa kama hamtaki kulipa kodi wafanyeje? Wabongo ukiwaambia walipe kodi kwa hiari hawatalipa kamwe dawa ni hio
 
Acha waupige mwingi na chief au daktari maana mwendazake yeye pekee na TRA yake walikuwa makatili siyo friendly kwa wafanya bia na shara.
Ile hotuba flani amazing ya kuwa kuna na kuwapulizia mgongoni wafanya bia na shara walipe kodi kwa matakwa yao bila shuruti au kuharakaishwa tunao ona mbali tulijua ni furahisha genge kutafuta umaarufu (popularity) uhalisia hakuna mtu au mfanya bia na shara anapenda kulipa kodi /ushuru/tozo kwa hiyari akiwa na furaha.

Muda ndiyo jibu mtaelewa tu mwamba JIWE alikuwa sahihi na mzalendo hasa.
Hivi nani anapenda kodi ikusanywe kikatili kisha waitumbue mafisadi watu wachache huku hakuna maji, umeme, bei za mafuta na vyakula juu?
AU ikusanywe kibabe lakini irudi kuwajengea wananchi wote barabara, miundombinu ya umeme, masoko, miundombinu ya maji na huduma za faya na elimu kwa wote?
Demokrasia ni illusion kwa ajili ya delusional people kwa manufaa ya wanaojidai ni watetezi wa demokrasia.
 
Mamaenu si aliwambia yeye hataki kodi za dhuruma?
 
Acha waupige mwingi na chief au daktari maana mwendazake yeye pekee na TRA yake walikuwa makatili siyo friendly kwa wafanya bia na shara.
Ile hotuba flani amazing ya kuwa kuna na kuwapulizia mgongoni wafanya bia na shara walipe kodi kwa matakwa yao bila shuruti au kuharakaishwa tunao ona mbali tulijua ni furahisha genge kutafuta umaarufu (popularity) uhalisia hakuna mtu au mfanya bia na shara anapenda kulipa kodi /ushuru/tozo kwa hiyari akiwa na furaha.

Muda ndiyo jibu mtaelewa tu mwamba JIWE alikuwa sahihi na mzalendo hasa.
Hivi nani anapenda kodi ikusanywe kikatili kisha waitumbue mafisadi watu wachache huku hakuna maji, umeme, bei za mafuta na vyakula juu?
AU ikusanywe kibabe lakini irudi kuwajengea wananchi wote barabara, miundombinu ya umeme, masoko, miundombinu ya maji na huduma za faya na elimu kwa wote?
Demokrasia ni illusion kwa ajili ya delusional people kwa manufaa ya wanaojidai ni watetezi wa demokrasia.
Eti hataki kodi za dhuruma!

Matokeo yake wajanja wakamuonesha, mwishowe katuletea matozo
 
Msiwasikilize wanasiasa
Tra wanatumia migambo kama 10 kwenye kafrem kadogo...
Natamani ku attach video ya cctv ila nahisi watanirudia waniite muhujumu uchumi
.
Jamaniii sijawahi shuhudia hiyo nguvu hata kama umekutwa unaiba kambi ya jeshi.
Aiseeee jitahid hawa jamaa wakija uwe una lesen ni wanyamaaa hawafai...
Nahis hata sakata la mama kibonge k.koo kwenye vitenge kuna namna.
Hawa jamaaa wanafanya unyama huu leo manispaa ya temeke.unyama unyama.
Tatizo leseni au hujalipa Kodi?
 
Msiwasikilize wanasiasa
Tra wanatumia migambo kama 10 kwenye kafrem kadogo...
Natamani ku attach video ya cctv ila nahisi watanirudia waniite muhujumu uchumi
.
Jamaniii sijawahi shuhudia hiyo nguvu hata kama umekutwa unaiba kambi ya jeshi.
Aiseeee jitahid hawa jamaa wakija uwe una lesen ni wanyamaaa hawafai...
Nahis hata sakata la mama kibonge k.koo kwenye vitenge kuna namna.
Hawa jamaaa wanafanya unyama huu leo manispaa ya temeke.unyama unyama.
Una picha ya mkwepa kodi mama kibonge Salome mgaya? Wanadai kafungasha mzigo wa kipekee. Kama unayo please 🙏 tupiako.
 
Tozo ni double taxation kwa kutumia msamiati mzuriii.
Sasa ni mwendo wa kukusanya kodi hata kwa wanaokosa mlo mmoja ambao kwa walio endelea kundi hilo hupewa posho ya watu masikini sana au waliokosa ajira waweze kuendesha maisha.
 
Kodi sahihi ni ile inayolipika.

CCM wanakusanya kodi kws mwendo wa kukwapua.

Maridhiano yanaendelea😀
 
Wafanyabiashara bila mkono wa chuma hamuendi.
Wafanyabiashara unaweza kununua kitu cha milioni na risiti wakaandika umenunua kwa sh. Elfu 10.
 
Idadi ya migambo wakati wa kukusanya kodi siyo kigezo cha uhalali wa ulipaji au ukwepaji kodi.
Wakija migambo 1000 kama umelipa kila unasho paswa kulipa hautaona shida yoyote ya uwingi wa migambo.
Suala la msingi la kujadili ni makadirio ya kodi yanakuwa na uhalisia au yana umiza tu wafanyabiashra?
Suala la pili kodi ikikusanywa inatumikaje?

Tulipe kodi tusitafute huruma za wananchi tunaposhindwa kutimiza wajibu wetu kama walipa kodi.
 
Back
Top Bottom