Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
-
- #41
Kwani mtumishi wa umma anaelipa PAYE anafanya biashara gani ya kupata faida kupitia hiyo kazi alioajiriwa na serikali?Makamouni ya simu yanafanya biashara yenye kupata faida
Ulisikia wapi mwenye nyumba ya kupangisha kwa makazi anapata faida wewe?
Naunga hoja mkuuu. Unakuta mtu mpaka leo anaumri wa miaka45 bado anakaa kwa anakaa kwa shemeji yake atajuaje ugum na mateso ya ujenziUmekaa sijui chumba ca kupanga, Sijui kea shemeji yako.
Umeshiba kiporo Cha makande unaanza kuwadis walotoka jasho kugharamikia usingizini wako kiazi wewe.
Yaan,
Ungejua Ni jins gani ujenzi unaumiza Wala usingethubutu kuongea Ayo maneno yako mbofu mbofu.
Jenga nyumba yako afu uje Tena na huu utopolo wako humu.
Kama umetumia gharama zako kutafuta nyumba mguu kwa mguu.Acha ujuaji babu kuna hoja za msingi za jamaa hujajibu, yaani kwa kutumia gharama zangu mwenyewe nitafute nyumba, nimepata mwenye nyumba kasema anapangisha kwa mwezi laki2 na nusu kwa mwezi, ila kabla sijafunga naye mkataba analazimisha dalali wake awepo na nimlipe laki2 na nusu huyo dalali kwa kazi gani aliyofanya? Huu ndo upumbavu tunaukataa sie.
Labda Kama anaongelea tra ya Burundi.Ndicho anachotaka TRA wawe wanazurura mitaani kutafuta Nani anapangosha chumba kina umeme au hakina ? Cha uani au Cha ndani?
hyo ndo regulation iwekwe ila sio kuwakalia kooni mawazo safi sanaWapangaji wengi hawawezi kulipa kodi juu ya miezi mitatu. Wangepewa 10%. Mwenye nyumba 5% na mpangaji 5%.
Sasa mbona unakua Kama vile unawaonea sana wivu madalali,Mtumishi wa umma mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, analipa kodi, halafu dalali anaepangisha na kulipwa kodi ya mwezi(shilingi 300,000, 400,000 na kuendelea) halipi chochote na tunaona sawa tu.
Tanzania nchi ya ajabu sana!
Umesoma hadi darasa la ngapi?Mimi ni miongoni mwa watu naopinga sana madalali kutaka kulipwa kodi ya mwezi mmoja kwani ni kuumiza wapangaji kwa kuwaongezea gharama za maisha. Kibaya zaidi, wako wenye nyumba hawapangishi mtu bila kupitia madalali wao hata kama inawezekana kupanga bila kupitia hao madalali.
Hivyo, nakubaliana na Lukuvi wenye nyumba wawalipe madalali na jambo hili litungiwe sheria na sheria itoe adhabu ya kifungo au faini au vyote kwa pamoja kwa atakaekaidi.
Sambamba na hilo, TRA waanzishe kitengo cha upangishaji nyumba ambapo wenye nyumba watatakiwa kutoa taarifa TRA wanapotaka kupangisha, kisha jukumu la kutafuta wapangaji liwe la TRA, ila mwenye nyumba aruhusiwe kuweka mpangaji bila kupitia TRA mradi tu alipe kodi.
Utaratibu huu ukiwekwa kisheria, sio tu utaondoa unyonyaji wa madalali, bali uta-facilitate ukusanyaji wa kodi kupitia nyumba za kupangisha na ambao teyari upo kwa mujibu sheria.
Mwanachi yoyote anaetaka nyumba ya kupangisha, atakiwe(kwa mujibu wa sheria) kufika katika ofisi za TRA, na kisha TRA kupitia kitengo husika, watakuwa na jukumu la kuwapangisha wananchi na hapo hapo kukusanya kodi ya serikali.
Tena TRA wanaweza kufanya kazi hii katika mazingira bora zaidi kwa kuwapeleka wateja kwa kutumia magari yao, pikipiki au bajaji maalumu ziitazonunuliwa kwa kutumika fedha zitazokusanywa kupitia upangishaji wa aina hii.
Hakuna kinachoshindikana kama dhamira ipo. Kama kupata baadhi ya huduma tunalazjmika kwanza kupitia TRA, kwani hili la kupangisha kupitia TRA lishindikane?
Haingiii akilini hata kidogo kwa mtumishi wa serikali mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, alipe kodi(PAYE), halafu dalali au mwenye nyumba anaeingiza malaki au mamilion kadhaa anapopangisha, asilipe kodi(huu ni uwendawazimu kabisa).
Ikiwezekana warasimishwe kabisa. Mm nauheshimu sana udalali.hyo ndo regulation iwekwe ila sio kuwakalia kooni mawazo safi sana
Mifumo ikiwekwa vizuri hata nyumba iliyopo nyayoni mwa Tanzania ikipangishwa, kodi TRA watalipwa tu nielewe nimesema mifumo ikiwekwa vizuri. Aisee kuna nchi wana msemo wao kuwa ukikanyaga ardhi ya nchi yao kuna vitu viwili hakika huwezi kwepa hata ufanyeje ni suala la muda tu vitu hivi vitakupata kwanza ni kifo pili ni kulipa kodi. Hivi kwa mfano wabunge watunge sheria kuwa mpangaji akikwepa kupeleka kodi ya zuio toka kwenye kodi aliyomlipa mwenye nyumba atapata kifungo cha miaka kadhaa jela au let say atalipa faini ambayo ni sawa na kodi ya hiyo nyumba aliyopanga ya miezi sita au mwaka we unafikiri nan kweupeee atakwepa kupeleka hiyo kodi ya zuio?
Unajua nchi zilizoendelea sio kwamba wananchi wake wanapenda saaaaaana kulipa kodi but wamewekewa mifumo ambayo kukwepa kodi na kutokujulikana kabisaa ni ngumu sana so automatically wanajikuta kodi wanalipa tu.
kazi iyo vijana wengi wapo humo na wanamiliki nyumba na magari ni mwanangu kaoa juzi yeye kapanga nyumba nzima kama laki 4 na nusu kwa kazi iyo iyoIkiwezekana warasimishwe kabisa. Mm nauheshimu sana udalali.
Kwanza nyie watumishi hizi nyumba zetu za mitaani sidhani Kama zinawahusu kabisa.Kwani mtumishi wa umma anaelipa PAYE anafanya biashara gani ya kupata faida kupitia hiyo kazi alioajiriwa na serikali?
Naelewa. Mtu yoyote aliyekulia mtaani anajua udalali unaweza kukutoa kimaisha. Esp kwenye property sales.kazi iyo vijana wengi wapo humo na wanamiliki nyumba na magari ni mwanangu kaoa juzi yeye kapanga nyumba nzima kama laki 4 na nusu kwa kazi iyo iyo
tuache kutetea ujinga.Nauli ya kuzunguka kukutafutia nyumba nzuri dalali huwa unamlipa wewe?
Wenye nyumba wanalipa kodi,inaitwa With holding Tax,mpangaji huwa analipa kwa niaba ya mwenye nyumba,inaitwa with holding tax(kodi ya zuio),halafu wanakatana kwenye kodi.Mimi ni miongoni mwa watu naopinga sana madalali kutaka kulipwa kodi ya mwezi mmoja kwani ni kuumiza wapangaji kwa kuwaongezea gharama za maisha. Kibaya zaidi, wako wenye nyumba hawapangishi mtu bila kupitia madalali wao hata kama inawezekana kupanga bila kupitia hao madalali.
Hivyo, nakubaliana na Lukuvi wenye nyumba wawalipe madalali na jambo hili litungiwe sheria na sheria itoe adhabu ya kifungo au faini au vyote kwa pamoja kwa atakaekaidi.
Sambamba na hilo, TRA waanzishe kitengo cha upangishaji nyumba ambapo wenye nyumba watatakiwa kutoa taarifa TRA wanapotaka kupangisha, kisha jukumu la kutafuta wapangaji liwe la TRA, ila mwenye nyumba aruhusiwe kuweka mpangaji bila kupitia TRA mradi tu alipe kodi.
Utaratibu huu ukiwekwa kisheria, sio tu utaondoa unyonyaji wa madalali, bali uta-facilitate ukusanyaji wa kodi kupitia nyumba za kupangisha na ambao teyari upo kwa mujibu sheria.
Mwanachi yoyote anaetaka nyumba ya kupangisha, atakiwe(kwa mujibu wa sheria) kufika katika ofisi za TRA, na kisha TRA kupitia kitengo husika, watakuwa na jukumu la kuwapangisha wananchi na hapo hapo kukusanya kodi ya serikali.
Tena TRA wanaweza kufanya kazi hii katika mazingira bora zaidi kwa kuwapeleka wateja kwa kutumia magari yao, pikipiki au bajaji maalumu ziitazonunuliwa kwa kutumika fedha zitazokusanywa kupitia upangishaji wa aina hii.
Hakuna kinachoshindikana kama dhamira ipo. Kama kupata baadhi ya huduma tunalazjmika kwanza kupitia TRA, kwani hili la kupangisha kupitia TRA lishindikane?
Haingiii akilini hata kidogo kwa mtumishi wa serikali mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, alipe kodi(PAYE), halafu dalali au mwenye nyumba anaeingiza malaki au mamilion kadhaa anapopangisha, asilipe kodi(huu ni uwendawazimu kabisa).
Kabisa mkuu,Naunga hoja mkuuu. Unakuta mtu mpaka leo anaumri wa miaka45 bado anakaa kwa anakaa kwa shemeji yake atajuaje ugum na mateso ya ujenzi
Fanya kazi kijana nyie ndio mnaliwa mande kwa kutaka vitongaudalali ni ajira labda waweke regulation dhidi yao sio TRA kuchukua jukumu vijana wengi wamejiajiri huku acheni mawazo potofu ukilipa ya mwezi ni fresh kwani unalipa tena
kwani ni mie kausha na tuliza kibox manyoyaFanya kazi kijana nyie ndio mnaliwa mande kwa kutaka vitonga
Acha ufala kwahiyo ukimlipia Mali mkewe Basi ruhusa kutumia mti au kipande Cha ubao kumpa uroda ,big mwendawazimTafuta Hera Ujenge then Jipereke TRA , Kama unaona Kujenga Nyumba ni Kitu rahisi kihivyo.
Kibox manyoya unacho ww fanya kazi hakuna mteremko siku hizi[emoji23][emoji23][emoji23]kwani ni mie kausha na tuliza kibox manyoya