TRA waunde kitengo cha upangishaji wa nyumba, kila mwenye nyumba aripoti TRA anapotaka kupangisha na iwe kwa mujibu wa sheria

Makamouni ya simu yanafanya biashara yenye kupata faida

Ulisikia wapi mwenye nyumba ya kupangisha kwa makazi anapata faida wewe?
Kwani mtumishi wa umma anaelipa PAYE anafanya biashara gani ya kupata faida kupitia hiyo kazi alioajiriwa na serikali?
 
Naunga hoja mkuuu. Unakuta mtu mpaka leo anaumri wa miaka45 bado anakaa kwa anakaa kwa shemeji yake atajuaje ugum na mateso ya ujenzi
 
Kama umetumia gharama zako kutafuta nyumba mguu kwa mguu.

Apo mwenye nyumba anakua hajakutendea Haki kabisa
 
Ndicho anachotaka TRA wawe wanazurura mitaani kutafuta Nani anapangosha chumba kina umeme au hakina ? Cha uani au Cha ndani?
Labda Kama anaongelea tra ya Burundi.

Hiyo kitu Ni impossible
 
Mtumishi wa umma mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, analipa kodi, halafu dalali anaepangisha na kulipwa kodi ya mwezi(shilingi 300,000, 400,000 na kuendelea) halipi chochote na tunaona sawa tu.

Tanzania nchi ya ajabu sana!
Sasa mbona unakua Kama vile unawaonea sana wivu madalali,

Basi acha huo utumishi wako na wewe ukawe dalali.

Au umezuiwa mkuu?[emoji2]

Ni Kama yule anayesema mlinzi BOT analipwa mil 10,
afu daktari wilayani analipwa laki 8 .

Basi na wewe acha udsktari ukawe mlinzi uko BOT[emoji12]
 
Sisi Wakazi wa TMK tumeshakaa na tunataka tufanye mambo yetu Online, Mkuu wetu wa Wilaya ndio haonekani kutupa baraka zake.
 
Umesoma hadi darasa la ngapi?
 

Sawa, ila kaa ukijua TRA wenyewe ni moja ya taasi failure hapa nchini..
Sio kila kazi wafanye wenyewe, sema labda tungesajili madalali ili nao walipe kodi, maana kumbuka mwenye nyumba analipa kodi kupitia kodi ya majengo.
 
Ikiwezekana warasimishwe kabisa. Mm nauheshimu sana udalali.
kazi iyo vijana wengi wapo humo na wanamiliki nyumba na magari ni mwanangu kaoa juzi yeye kapanga nyumba nzima kama laki 4 na nusu kwa kazi iyo iyo
 
Kwani mtumishi wa umma anaelipa PAYE anafanya biashara gani ya kupata faida kupitia hiyo kazi alioajiriwa na serikali?
Kwanza nyie watumishi hizi nyumba zetu za mitaani sidhani Kama zinawahusu kabisa.

Nyie enzi za nyerere na mwinyi mlikua mnajengewa kabisa nyumba zenu za KOTA au kulipwa posho ya makazi afu mnatafuta nyumba uku mitaani.

Kwaiyo manung'uniko yenu iltakiwa muiambie serikali yenu ya CCM iwajengee nyumba za watumishi Kama zamani au wawape posho za makazi.

Na sio kama hivi kuleta Shari na wananchi wanyonge wasioujua huo mshahara wenu wa mwisho wa mwezi.
 
kazi iyo vijana wengi wapo humo na wanamiliki nyumba na magari ni mwanangu kaoa juzi yeye kapanga nyumba nzima kama laki 4 na nusu kwa kazi iyo iyo
Naelewa. Mtu yoyote aliyekulia mtaani anajua udalali unaweza kukutoa kimaisha. Esp kwenye property sales.
 
Nauli ya kuzunguka kukutafutia nyumba nzuri dalali huwa unamlipa wewe?
tuache kutetea ujinga.
huo upuuzi upo tanzania peke yake.
nairobi huwezi kusikia takataka inaitwa dalali wa nyumba.

kama nyumba ipo empty na inahitaji mpangaji mpya, ukipita tu nje ya geti, utaona kibao chenye namba ya simu ya landlord au caretaker(mtu aliyekabidhiwa jukumu la kuitunza nyumba), kinachoonyesha kwamba nyumba hii inahitaji mpangaji.

ukipiga simu inapokelewa haraka na unapewa ushirikiano wa kutosha. landlord au caretaker atakuchukua kwenda kukagua. huduma ya kukagua huwa ni bure. sio kama tanzania ambapo hata kwenda kukagua, madalali wanataka uwalipe ya usumbufu.

nairobi huhitaji kumtuma mtu akutafutie nyumba, wewe mwenyewe unaingia mtaani kujitafutia pa kuishi. halafu sio lazima ulipe rent ya miezi mitatu au sita. wenzetu inalipwa kwa mwezi.
 
Wenye nyumba wanalipa kodi,inaitwa With holding Tax,mpangaji huwa analipa kwa niaba ya mwenye nyumba,inaitwa with holding tax(kodi ya zuio),halafu wanakatana kwenye kodi.
 
Naunga hoja mkuuu. Unakuta mtu mpaka leo anaumri wa miaka45 bado anakaa kwa anakaa kwa shemeji yake atajuaje ugum na mateso ya ujenzi
Kabisa mkuu,
Na Ndo maana mwenye nyumba anaheshimika sana.

Ujenzi unaumiza.
 
udalali ni ajira labda waweke regulation dhidi yao sio TRA kuchukua jukumu vijana wengi wamejiajiri huku acheni mawazo potofu ukilipa ya mwezi ni fresh kwani unalipa tena
Fanya kazi kijana nyie ndio mnaliwa mande kwa kutaka vitonga
 
Tafuta Hera Ujenge then Jipereke TRA , Kama unaona Kujenga Nyumba ni Kitu rahisi kihivyo.
Acha ufala kwahiyo ukimlipia Mali mkewe Basi ruhusa kutumia mti au kipande Cha ubao kumpa uroda ,big mwendawazim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…