evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Hauna point hapa Chief.
Who is dalali? Simply ni agent wa kumuunganisha mteja na mwenye nyumba.
Sasa why adai kodi ya mwezi mmoja? Kwanini usiwepo utaratibu akalipwa na mwenye nyumba maana ndiye alompa kazi ya kusaka wateja?
Kwanini isiwepo means nzuri ya wenye nyumba kupata platform ya kutangaza nyumba zao zinazopangishwa na watu wakapata nafasi ya kuziona ma katika malipo hayo Serikali ikakusanya kodi?
Dalali kama ni muhimu kwanini formula yake inaumiza mpangaji pekee?
Mwenye nyumba anautaratibu wake wa kulipa kodi zake Serikali ni.
Cha msingi ni vyema Serikali ikaweka utaratibu wa kuwasajili na kuwatambua madalali wote ,( ma commission agents, ma brokers, wote kuanzia wa nyumba,viwanja, Magari, mikopo, ajira, wake/ waume, kuzamia nje, nk)
Kisha iwatoze kodi kutokana na kipato watakachokuwa wanapata hao madalali.
Suala la gharama zao zinaweza kuachwa kuwa huria .
Na nyie wapangaji msipende kuhama hama sana ili kujiepusha na hizo gharama za madalali.
Nina wapangaji wamepanga kwangu huu mwaka wa 5