TRA waunde kitengo cha upangishaji wa nyumba, kila mwenye nyumba aripoti TRA anapotaka kupangisha na iwe kwa mujibu wa sheria

TRA waunde kitengo cha upangishaji wa nyumba, kila mwenye nyumba aripoti TRA anapotaka kupangisha na iwe kwa mujibu wa sheria

Hauna point hapa Chief.
Who is dalali? Simply ni agent wa kumuunganisha mteja na mwenye nyumba.
Sasa why adai kodi ya mwezi mmoja? Kwanini usiwepo utaratibu akalipwa na mwenye nyumba maana ndiye alompa kazi ya kusaka wateja?

Kwanini isiwepo means nzuri ya wenye nyumba kupata platform ya kutangaza nyumba zao zinazopangishwa na watu wakapata nafasi ya kuziona ma katika malipo hayo Serikali ikakusanya kodi?

Dalali kama ni muhimu kwanini formula yake inaumiza mpangaji pekee?

Mwenye nyumba anautaratibu wake wa kulipa kodi zake Serikali ni.
Cha msingi ni vyema Serikali ikaweka utaratibu wa kuwasajili na kuwatambua madalali wote ,( ma commission agents, ma brokers, wote kuanzia wa nyumba,viwanja, Magari, mikopo, ajira, wake/ waume, kuzamia nje, nk)

Kisha iwatoze kodi kutokana na kipato watakachokuwa wanapata hao madalali.
Suala la gharama zao zinaweza kuachwa kuwa huria .
Na nyie wapangaji msipende kuhama hama sana ili kujiepusha na hizo gharama za madalali.
Nina wapangaji wamepanga kwangu huu mwaka wa 5
 
Umekaa sijui chumba ca kupanga, Sijui kea shemeji yako.

Umeshiba kiporo Cha makande unaanza kuwadis walotoka jasho kugharamikia usingizini wako kiazi wewe.

Yaan,
Ungejua Ni jins gani ujenzi unaumiza Wala usingethubutu kuongea Ayo maneno yako mbofu mbofu.

Jenga nyumba yako afu uje Tena na huu utopolo wako humu.
Jibu Zuri Umempa hiyo Kiazi..Kujenga sio lelemama ati....
 
Nauli ya kuzunguka kukutafutia nyumba nzuri dalali huwa unamlipa wewe?

Kutumia dalali hujalazimishwa katafute mwenyewe basi hujazuiwa pita kila nyumba gonga hodi uliza Kama wanapangisha Kama unaona kazi ya dalali haina maana

Si kila dalali hupewa kazi ya kutafuta mpangaji na mwenye nyumba .Yeye aweza tu kukutafutia ukampa chake Kodi yote ukamalizana na mwenye nyumba yeye hapati hata Mia toka kwa mwenye nyumba

Siku ukihamia mji mgeni na wewe humjui mtu Ndipo utakapojua umuhimu wa dalali iwe utatafuta nyumba ya kupanga ,fremu au kiwanja

Hata akipata pesa kote kote shida iko wapi so ndio kujiajiri kwenyewe? Inaposemwa watu wajiajiri maana yake Nini?
Bora kuwe na kitengo serikali za mitaa kwaajili ya kuratibu wapangaji na wapangishaji ambao watakuwa na full data za nyumba ambazo zinahitaji wapangaji na walipwe na serikali iwe ni ajira rasmi na walipwe mshahara kwa skeli za serikali
 
Na laiti ungejua,

Ungewahurumia Sana wenye nyumba.

Biashara ya nyumba kwa bongo hii bado Ni biashara kichaa.

Iyo Kodi unayolipa haiwezi kurudisha uwekezaji aloweka kukutetengenezea huo usingizini wako.

Na ndo maana kila sikU wanaomiliki nyumba zao Ni wachache mno kuliko wanaohitaji kupanga.

Iyo Yote ni kwasababu

Gharama za kujenga nyumba ziko juu sana na kujenga Nyumba ya kuipangisha kwa ajili ya makazi Hailipi Kama unavotaka kutuaminisha humu ndani.

Kiasi kwamba we unaona kama wenye nyumba wanafaidi Sana.[emoji3525]

Mfano: mtu anajenga nyumba+kiwanja kwa JUMLA ya mil. 100 .
Afu Kodi unalipa laki 3 kwa mwezi.

Hivi unategemea kwa iyo laki 3 kwa mwezi, iyo pesa mil 100 unairudisha vipi,lini na kwa MDA gani.

Ikiwa Bado Kuna ukarabati wa vitu vidogo vidogo kila angalau miaka 2 au mpangaji akihama.

Vitu Kama Rangi,sakafu, mifumo ya maji, umeme, mazingira n.k
Kinachozungumziwa siyo kodi ya nyumba hapa tunazungumzia gharama za kulipa madalali
 
Kama mnaumia basi jengeni zenu

Mwende mkaweke izo sheria zenu uko kwenye nyumba zenu.

Sio unaweka sheria mbofu mbofu kwenye jasho la Wanaume wenzenu.
Na wewe kama unaona kuweka taratibu ni mzigo Bora uishi kwenye nyumba yako mwenyewe
 
Nenda kwingine kwani lazima iwe hapo? Ulijuaje kuwa hiyo nyumba inapangoshwa taarifa ulipata wapi?

Nyumba zingine waweza ona kibao kimeandikwa nyumba hii inapangishwa wasiliana na mwenye nyumba kwa namba hii lakini hicho kibao kimewekwa na dalali sio mwenye nyumba.

Mwenye nyumba hukabidhi kazi dalali kuwa amletee watu hata Kama ulisikia watu wakiongea dalali ndie husambaza hizo taarifa sehemu mbalimbali kwa jamaa marafiki vijiweni sehemu za mikusanyiko no
Ndipo wewe wazidaka hizo taarifa kuwa kuna mahali nyumba yapangishwa .Analipwa kihalali hata Kama hukukutana naye
Sawa hayo yote kwa kafanya kwa manufaa ya mwenye nyumba, so mwenye nyumba ndo awajibike kumlipa sio mie mpangaji.
 
Sawa hayo yote kwa kafanya kwa manufaa ya mwenye nyumba, so mwenye nyumba ndo awajibike kumlipa sio mie mpangaji.
Ni manufaa yako mpangaji sio mwenye nyumba dalali Ni wakili wa mpangaji kumbuka hata tatizo likitokea mfano umepangisha jambazi mwenye nyumba mtu wa kwanza kudakwa Ni dalali aliyekupeleka sio mwenye nyumba

Dalali ndie hubeba Zigo la kuwa anakujua vizuri.Risk zote huangukia kwake.

Wewe ndie unayemtuma Kama wakili wako . Kumlipa kazi yake ya uwakili Ni yako
 
Mimi ni miongoni mwa watu naopinga sana madalali kutaka kulipwa kodi ya mwezi mmoja kwani ni kuumiza wapangaji kwa kuwaongezea gharama za maisha. Kibaya zaidi, wako wenye nyumba hawapangishi mtu bila kupitia madalali wao hata kama inawezekana kupanga bila kupitia hao madalali.

Hivyo, nakubaliana na Lukuvi wenye nyumba wawalipe madalali na jambo hili litungiwe sheria na sheria itoe adhabu ya kifungo au faini au vyote kwa pamoja kwa atakaekaidi.

Sambamba na hilo, TRA waanzishe kitengo cha upangishaji nyumba ambapo wenye nyumba watatakiwa kutoa taarifa TRA wanapotaka kupangisha, kisha jukumu la kutafuta wapangaji liwe la TRA, ila mwenye nyumba aruhusiwe kuweka mpangaji bila kupitia TRA mradi tu alipe kodi.

Utaratibu huu ukiwekwa kisheria, sio tu utaondoa unyonyaji wa madalali, bali uta-facilitate ukusanyaji wa kodi kupitia nyumba za kupangisha na ambao teyari upo kwa mujibu sheria.

Mwanachi yoyote anaetaka nyumba ya kupangisha, atakiwe(kwa mujibu wa sheria) kufika katika ofisi za TRA, na kisha TRA kupitia kitengo husika, watakuwa na jukumu la kuwapangisha wananchi na hapo hapo kukusanya kodi ya serikali.

Tena TRA wanaweza kufanya kazi hii katika mazingira bora zaidi kwa kuwapeleka wateja kwa kutumia magari yao, pikipiki au bajaji maalumu ziitazonunuliwa kwa kutumika fedha zitazokusanywa kupitia upangishaji wa aina hii.

Hakuna kinachoshindikana kama dhamira ipo. Kama kupata baadhi ya huduma tunalazjmika kwanza kupitia TRA, kwani hili la kupangisha kupitia TRA lishindikane?

Haingiii akilini hata kidogo kwa mtumishi wa serikali mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, alipe kodi(PAYE), halafu dalali au mwenye nyumba anaeingiza malaki au mamilion kadhaa anapopangisha, asilipe kodi(huu ni uwendawazimu kabisa).
MAWAZO YA KIMASIKINI HAYA
Tuwaache wastaafu wanufaike na jasho lao maana nyingi ni za wastaafu property tax ilipwayo inatosha kabisa.
 
MAWAZO YA KIMASIKINI HAYA
Tuwaache wastaafu wanufaike na jasho lao maana nyingi ni za wastaafu property tax ilipwayo inatosha kabisa.
Kustaafu isiwe sababu ya kutolipa kodi na kutafuta huruma ili hali unaingiza kipato tena sometimes kikubwa kuliko cha wale walioko makazini.

Kumbukeni misaada mnayopewa na wazungu ni kodi za watu wakiwemo wastaafu.
 
Mimi nadhani suala la msingi ni kurasimisha hii sector ya upangishaji wa nyumba, madalali wachukue short courses na wasajili biashara zao...

Wenye nyumba za kupangisha wasajili nyumba zao kama za kupangisha kwenye Bodi itakayoundwa na itakayosimamia home owners...dalali yoyote asipangishe nyumba wala kusimamia nyumba ambayo haijasajiliwa kwenye bodi na sheria iwabane kweli kweli na wao ndio wawe wapelekaji wa Kodi ya zuio TRA on behalf ya mpangaji na mmiliki, TRA wawe na kitengo cha kufuatilia nyumba zinazopangishwa na kujua wanaopangisha (madalali) ni nani na kama wanalip kodi ya zuio 10% ya kodi husika
 
Ni manufaa yako mpangaji sio mwenye nyumba dalali Ni wakili wa mpangaji kumbuka hata tatizo likitokea mfano umepangisha jambazi mwenye nyumba mtu wa kwanza kudakwa Ni dalali aliyekupeleka sio mwenye nyumba

Dalali ndie hubeba Zigo la kuwa anakujua vizuri.Risk zote huangukia kwake.

Wewe ndie unayemtuma Kama wakili wako . Kumlipa kazi yake ya uwakili Ni yako
Dalali atakuwaje wakili wa mpangaji ? Hakuna mkataba wowote ambao unaonesha Dalali kumdhamini mpangaji
 
Kazi anayofanya Dalali kumpeleka mpangaji chumba cha shilingi 50,000 inatofauti gani na kumpeleka mpangaji nyumba ya TSH 1,000,000. kwanini malipo yatofautiane. Huku achukue 50K wakati huku anachukua 1M.Huo siyo uwizi wa jasho la watu?
 
Mimi ni miongoni mwa watu naopinga sana madalali kutaka kulipwa kodi ya mwezi mmoja kwani ni kuumiza wapangaji kwa kuwaongezea gharama za maisha. Kibaya zaidi, wako wenye nyumba hawapangishi mtu bila kupitia madalali wao hata kama inawezekana kupanga bila kupitia hao madalali.

Hivyo, nakubaliana na Lukuvi wenye nyumba wawalipe madalali na jambo hili litungiwe sheria na sheria itoe adhabu ya kifungo au faini au vyote kwa pamoja kwa atakaekaidi.

Sambamba na hilo, TRA waanzishe kitengo cha upangishaji nyumba ambapo wenye nyumba watatakiwa kutoa taarifa TRA wanapotaka kupangisha, kisha jukumu la kutafuta wapangaji liwe la TRA, ila mwenye nyumba aruhusiwe kuweka mpangaji bila kupitia TRA mradi tu alipe kodi.

Utaratibu huu ukiwekwa kisheria, sio tu utaondoa unyonyaji wa madalali, bali uta-facilitate ukusanyaji wa kodi kupitia nyumba za kupangisha na ambao teyari upo kwa mujibu sheria.

Mwanachi yoyote anaetaka nyumba ya kupangisha, atakiwe(kwa mujibu wa sheria) kufika katika ofisi za TRA, na kisha TRA kupitia kitengo husika, watakuwa na jukumu la kuwapangisha wananchi na hapo hapo kukusanya kodi ya serikali.

Tena TRA wanaweza kufanya kazi hii katika mazingira bora zaidi kwa kuwapeleka wateja kwa kutumia magari yao, pikipiki au bajaji maalumu ziitazonunuliwa kwa kutumika fedha zitazokusanywa kupitia upangishaji wa aina hii.

Hakuna kinachoshindikana kama dhamira ipo. Kama kupata baadhi ya huduma tunalazjmika kwanza kupitia TRA, kwani hili la kupangisha kupitia TRA lishindikane?

Haingiii akilini hata kidogo kwa mtumishi wa serikali mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, alipe kodi(PAYE), halafu dalali au mwenye nyumba anaeingiza malaki au mamilion kadhaa anapopangisha, asilipe kodi(huu ni uwendawazimu kabisa).
Itaishia kama nhc
 
Acha ujuaji babu kuna hoja za msingi za jamaa hujajibu, yaani kwa kutumia gharama zangu mwenyewe nitafute nyumba, nimepata mwenye nyumba kasema anapangisha kwa mwezi laki2 na nusu kwa mwezi, ila kabla sijafunga naye mkataba analazimisha dalali wake awepo na nimlipe laki2 na nusu huyo dalali kwa kazi gani aliyofanya? Huu ndo upumbavu tunaukataa sie.
Jamaa atakua dalali
 
Mimi ni miongoni mwa watu naopinga sana madalali kutaka kulipwa kodi ya mwezi mmoja kwani ni kuumiza wapangaji kwa kuwaongezea gharama za maisha. Kibaya zaidi, wako wenye nyumba hawapangishi mtu bila kupitia madalali wao hata kama inawezekana kupanga bila kupitia hao madalali.

Hivyo, nakubaliana na Lukuvi wenye nyumba wawalipe madalali na jambo hili litungiwe sheria na sheria itoe adhabu ya kifungo au faini au vyote kwa pamoja kwa atakaekaidi.

Sambamba na hilo, TRA waanzishe kitengo cha upangishaji nyumba ambapo wenye nyumba watatakiwa kutoa taarifa TRA wanapotaka kupangisha, kisha jukumu la kutafuta wapangaji liwe la TRA, ila mwenye nyumba aruhusiwe kuweka mpangaji bila kupitia TRA mradi tu alipe kodi.

Utaratibu huu ukiwekwa kisheria, sio tu utaondoa unyonyaji wa madalali, bali uta-facilitate ukusanyaji wa kodi kupitia nyumba za kupangisha na ambao teyari upo kwa mujibu sheria.

Mwanachi yoyote anaetaka nyumba ya kupangisha, atakiwe(kwa mujibu wa sheria) kufika katika ofisi za TRA, na kisha TRA kupitia kitengo husika, watakuwa na jukumu la kuwapangisha wananchi na hapo hapo kukusanya kodi ya serikali.

Tena TRA wanaweza kufanya kazi hii katika mazingira bora zaidi kwa kuwapeleka wateja kwa kutumia magari yao, pikipiki au bajaji maalumu ziitazonunuliwa kwa kutumika fedha zitazokusanywa kupitia upangishaji wa aina hii.

Hakuna kinachoshindikana kama dhamira ipo. Kama kupata baadhi ya huduma tunalazjmika kwanza kupitia TRA, kwani hili la kupangisha kupitia TRA lishindikane?

Haingiii akilini hata kidogo kwa mtumishi wa serikali mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, alipe kodi(PAYE), halafu dalali au mwenye nyumba anaeingiza malaki au mamilion kadhaa anapopangisha, asilipe kodi(huu ni uwendawazimu kabisa).
Mamlaka ya mapato haiwezi kuanza hizo biashara unazotaka

Jifunze mgawanyo wa majukumu
 
Dalali atakuwaje wakili wa mpangaji ? Hakuna mkataba wowote ambao unaonesha Dalali kumdhamini mpangaji
Kwa taarifa yako Hakuna mwenye nyumba material anayeweza mpokea mpangaji asiyeletwa na dalali anayemjua

Ni Kama daladala au bodaboda huwezi kabidhi mtu usiyemjua lazima apitie kwa dalali sembuse nyumba
 
Mimi nadhani suala la msingi ni kurasimisha hii sector ya upangishaji wa nyumba, madalali wachukue short courses na wasajili biashara zao...

Wenye nyumba za kupangisha wasajili nyumba zao kama za kupangisha kwenye Bodi itakayoundwa na itakayosimamia home owners...dalali yoyote asipangishe nyumba wala kusimamia nyumba ambayo haijasajiliwa kwenye bodi na sheria iwabane kweli kweli na wao ndio wawe wapelekaji wa Kodi ya zuio TRA on behalf ya mpangaji na mmiliki, TRA wawe na kitengo cha kufuatilia nyumba zinazopangishwa na kujua wanaopangisha (madalali) ni nani na kama wanalip kodi ya zuio 10% ya kodi husika
Hongera umetoa mawazo mazuri sana

Katika watanzania 10, wenye mawazo ya ubunifu kama haya yako ni wawili au watatu, na hata wa kuunga mkono mawazo kama haya, ni wachache sana.

Watanzania tungekuwa tunawaza kama hivi, nchi yetu ingekuwa mbali sana, ila bahati mbaya hatuna culture ya ubunifu tuko tu kusubiri wenzetu wabuni halafu ndio tuige.
 
Back
Top Bottom