Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Pamoja na mapungufu ya TRA Ila wachangiaji wengi hapa wanakimbilia kuleta Siasa. Wewe kama mtanzania unaweza kwenda uturuki au nchi yoyote hata Kenya bila mtaji wa kutosha ukitegemea benki zao zikukopeshe na ukaachwa tu!?
Hao sio wawekezaji ni wababaishaji tu Ila Kama ilivyo kawaida wale wanaoipinga serikali ya awamu hii tayari wataleta story za CCM na CDM. Naona kuna mpumbavu ameshaanza kutamka Lissu, sijui anaingiaje.
Wewe ni mjinga hasa. Mwekezaji anapokuja hapa au kwenda nchi yoyote, kwa upeo wako mdogo unataka awe na hela mfukoni? Watanzania bado sana!!Na wasiporudi hao Waturuki itakuwaje?
READ! Taarifa inasema Waturuki wamekosa mkopo wa benki za ndani
Maana yake hawakuja na mtaji!
Ndio haya Marehemu Mengi alikuwa anayasema wakati ana bifu na Wahindi, walikuwa wanamwambia tumekuja na briefcase la makaratasi ya business plan za kutajirikia hapa hapa kwenu! Yani sisi ni vichwa panzi.
Magufuli fukuza hao Waturuki!
Thank God Almighty tumepata kichaa mzalendo Ikulu hapapatikii wazungu, hafagilii wageni!
ALHAMDULLILAH ALA KULLI HAAAL HADHA MIN FADLI RABBI
Loh! Ndugu yangu, uelewa wako wa uchumi na biashara, inaonekana ni mdogo sana.Hao Waturuki pia hawakujiandaa vyema kuwekeza Tanzania. How comes zaidi ya miezi sita mko na mitambo (assets) ugenini bila kuanza biashara? No way, let them go!
Ni utaratibu wa kijinga. Unataka alipe kodi kutoka kwenye mtaji?Unaweza au tuseme inawezekana ukalipa kodi kabla ya kufanya biashara kwa kukadiria/ kukisia kuwa faida itafikia kiasi gani mwisho wa mwaka, halafu mwisho wa mwaka mkishafanya mahesabu, ama unalipa palipopungua au wao wanarudisha zilizozidi.
Huyo Subbash hajaondolea na mchezo huu kweli?Unalipaje kodi haujaanza biashara? Hua nasema TRA watakuja kutuua na kiharusi kodi idaiwe kwenye faida hapo sawa unadai vipi kodi kwenye mtaji?
Akishawafukuza hio biashara utaiendesha wewe mkuu?Na wasiporudi hao Waturuki itakuwaje?
READ! Taarifa inasema Waturuki wamekosa mkopo wa benki za ndani
Maana yake hawakuja na mtaji!
Ndio haya Marehemu Mengi alikuwa anayasema wakati ana bifu na Wahindi, walikuwa wanamwambia tumekuja na briefcase la makaratasi ya business plan za kutajirikia hapa hapa kwenu! Yani sisi ni vichwa panzi.
Magufuli fukuza hao Waturuki!
Thank God Almighty tumepata kichaa mzalendo Ikulu hapapatikii wazungu, hafagilii wageni!
ALHAMDULLILAH ALA KULLI HAAAL HADHA MIN FADLI RABBI
Huelewi chochote wewe. Tumewekeza nchi nyingine, tunajua. Kwanza nchi nyingine wanahamasisha ukope kwenye mabank yao kwa sababu unawaongezea biashara.Pamoja na mapungufu ya TRA Ila wachangiaji wengi hapa wanakimbilia kuleta Siasa. Wewe kama mtanzania unaweza kwenda uturuki au nchi yoyote hata Kenya bila mtaji wa kutosha ukitegemea benki zao zikukopeshe na ukaachwa tu!?
Hao sio wawekezaji ni wababaishaji tu Ila Kama ilivyo kawaida wale wanaoipinga serikali ya awamu hii tayari wataleta story za CCM na CDM. Naona kuna mpumbavu ameshaanza kutamka Lissu, sijui anaingiaje.
Akishawafukuza hio biashara utaiendesha wewe mkuu?Na wasiporudi hao Waturuki itakuwaje?
READ! Taarifa inasema Waturuki wamekosa mkopo wa benki za ndani
Maana yake hawakuja na mtaji!
Ndio haya Marehemu Mengi alikuwa anayasema wakati ana bifu na Wahindi, walikuwa wanamwambia tumekuja na briefcase la makaratasi ya business plan za kutajirikia hapa hapa kwenu! Yani sisi ni vichwa panzi.
Magufuli fukuza hao Waturuki!
Thank God Almighty tumepata kichaa mzalendo Ikulu hapapatikii wazungu, hafagilii wageni!
ALHAMDULLILAH ALA KULLI HAAAL HADHA MIN FADLI RABBI
Huna uzoefu au unatumia mambo ya nadharia zaidi..... Unajua kodi ya makadirio TRA wanakukadiria wana assume utaweza uza kwa siku lets say 40elfu kutokana na aina ya biashara yako, wanakupigia kodi humo kwa mwaka unatakiwa ulipe kiasi gani , mbaya zaidi wewe ulitegemea biashara yako ifanye vizuri lakini unakuta mambo hubadilika pia unaweza ukapata au pia unaweza ukakosa ndiyo maana ya kuwa risk taker wafanyabishara wanaelewa hili, sasa usinihoji mimi kuwa makosa ya kutofanya vizuri biashara ni la mfanyabishara ni swala la liuchumi usiwe mjinga sana,TRA walipaswa wakupe muda ili wakija chukua chao kiwe sawa na sio makadirio na wengine wanaishia kufunga biashara na kulipa kodi tu, kodi inatakiwa waipate kwenye faidaKabla hujafanya biashara ya halali, ufanye utafiti kwanza! Usishindwe wewe, ukaanza kulaumu TRA. Umesema biashara haikufanya vizuri kwa sababu ya eneo! Je! Na hilo ni kosa la TRA?
Pamoja na mapungufu ya TRA Ila wachangiaji wengi hapa wanakimbilia kuleta Siasa. Wewe kama mtanzania unaweza kwenda uturuki au nchi yoyote hata Kenya bila mtaji wa kutosha ukitegemea benki zao zikukopeshe na ukaachwa tu!?
Hao sio wawekezaji ni wababaishaji tu Ila Kama ilivyo kawaida wale wanaoipinga serikali ya awamu hii tayari wataleta story za CCM na CDM. Naona kuna mpumbavu ameshaanza kutamka Lissu, sijui anaingiaje.
Unaelewa msingi wa kodi?Kabla hujafanya biashara ya halali, ufanye utafiti kwanza! Usishindwe wewe, ukaanza kulaumu TRA. Umesema biashara haikufanya vizuri kwa sababu ya eneo! Je! Na hilo ni kosa la TRA?
Una taarifa za ndani kuonesha kwamba nawe ni mnufaika wa kampuni hiyo. Wa-TZ tumefikia hatua ya kukumbatia watu wachafu kwa kuwa tu wanaleta pesa mifukoni mwetu.Jioni ya leo, TRA imevamia na kufunga ofisi moja ambayo ilikuwa bado haijaanza kufanya kazi wakidai kodi. Hii ni kampuni ya waturuki inayohusika na kutengeneza tiles za majengo. Mashine zililetwa lakini kwa bahati mbaya jamaa walishindwa kuanza kufanya kazi kutokana na mtaji kutokutosha.
Waturuki walitegemea kupata mkopo kwenye moja ya mabenki ya ndani, kitu ambacho kimechelewa. Mategemeo yao ilikuwa ni kupata mkopo mwezi wa 4 lakini hadi December mkopo ulikuwa bado haujapitishwa. Kwa maana hiyo hawakuwa na jinsi ya kuanza operations zao.
Hii kampuni hipo maeneo ya Mbezi Afrikana, na kwa bahati mbaya, magari ya TRA wamevamia jioni hii na kufunga ile ofisi na kumchukua mtu anayesimamia ile mali maana wengine inaonekana wako nje ya nchi. Na kwa sababu hakuna kazi, ni mmoja wao amebakia pale kulinda mali.
Akishawafukuza hio biashara utaiendesha wewe mkuu?
Hivi kuna mtu anaweza kufanya biashara bila utafiti kweli hata asipokua msomiKabla hujafanya biashara ya halali, ufanye utafiti kwanza! Usishindwe wewe, ukaanza kulaumu TRA. Umesema biashara haikufanya vizuri kwa sababu ya eneo! Je! Na hilo ni kosa la TRA?