Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Mende weweKama hujaelewa ufafanuzi huo wa TRA basi wewe ni utopolo tu mkuu!
Utaaaahira sana huu.Tanzania kuendesha gari ni anasa.
Taifa gumu hili kutoboa, tutabaki wote masikini, tutazidiana kitu kidogo tu... Mkuu style ya ufanyaji kazi ya TRA ni kuviziana; kushindwa kwa mlipa kodi ndio fahari yao. Na usikute wamelia timing makusudi kipindi hiki ili wanase wengi kwani kule Japan Novemba na Desemba ni kipindi wanaita BIG SALE.
Wana clear stock zao wanauza kwa bei chee so wabongo wengi wanavizia pia msimu huo. Kumbe monster mfilisi wananchi anawacheki tu kwa jicho baya la husda. Na atanasa wengi.
Taifa gumu hili kutoboa, tutabaki wote masikini, tutazidiana kitu kidogo tu... Mkuu style ya ufanyaji kazi ya TRA ni kuviziana; kushindwa kwa mlipa kodi ndio fahari yao. Na usikute wamelia timing makusudi kipindi hiki ili wanase wengi kwani kule Japan Novemba na Desemba ni kipindi wanaita BIG SALE.
Wana clear stock zao wanauza kwa bei chee so wabongo wengi wanavizia pia msimu huo. Kumbe monster mfilisi wananchi anawacheki tu kwa jicho baya la husda. Na atanasa wengi.
Matajiri nao wanaanza kurudi katika umasikini mmoja mmoja.......Taifa gumu hili kutoboa, tutabaki wote masikini, tutazidiana kitu kidogo tu
Mambo ya ajabu eti [emoji4][emoji4]Matajiri nao wanaanza kurudi katika umasikini mmoja mmoja.......
Dadekii wataua watu dahhWe acha tu, ndo naikokotoo kwenye website ya TRA hapa, nimeishiwa nguvu!
Niwe mkweli sijui kama ataweza jamaa, sijui[emoji134][emoji134][emoji1751]...yaaan ni balaa
Ngoja nikuletee screenshot ya hiyo kodi now....
Update..
Hiyo hapo chini nilibargain na wajapa wakatushushia hadi 16000 USD ( mwanzo walikomaa na 19000)
Sasa basi mpaka hili ndinga litue hapa total amount ilikuwa tsh 52m, kodi sasa imeongezeka hapo 11m 52+ 11= 63m
Pa kuipata hiyo 11m ndo komesha
Na hujahesabu wharfage hapo ili abananishe angalau ka mkopo huku na kule, sijui kwa kweli sijui[emoji1751][emoji1751][emoji134]View attachment 1673419View attachment 1673420
Halali ya kutukanwa...mmeja roho mbaya na UPUMBAVU wa maroho ya kimaskni....gari ni kama penseli au kitendea kazi na wala sio ANASA....noomyelilesanaAsante kwa tusi langu Mungu akuongezee hekima ili uwe unajibu kwa hekima! Ongezeko limekuja wakati huyo mtu wako hajalipa hiyo kodi hivyo mfano wako haiendani. Vehicle valuation inabadirika kila ikifika mwanzo mwa mwaka.
Suluhisho ni kufufua magari ya zamani.Kuna wengi sana ambao hili litawakumba hasa waliokopa ili waagize vyuma maana wengi hupukutisha account 😂😂😂 unakuta mtu kakomba hela zote kwenye account kabakisha mill.4 tu
Ibadirika mwanzoni mwa mwaka kwa bajeti ipi ya bunge? CCM acheni uwendawazimu aisee.Asante kwa tusi langu Mungu akuongezee hekima ili uwe unajibu kwa hekima! Ongezeko limekuja wakati huyo mtu wako hajalipa hiyo kodi hivyo mfano wako haiendani. Vehicle valuation inabadirika kila ikifika mwanzo mwa mwaka.
Acha bange wewe, unatumia masaburi kujenga hoja zako za kiutopolo hapa.Leta ushahidi kuwa walivuruga makusudi, na kuvuruga kutaongezaje kodi.
Uongo huo ingia kwenye website ya TRA uweke chassis number ya gari yako hiyo Vanguard uone kodi unayotakiwa kulipa acha uongo au hata gari huna!!
We jamaa ka mkumer vile! Nimekusoma tangu mwanzo upumbavu wako naona bado unatiririkia humo humo tu mbwa weAsante kwa tusi langu Mungu akuongezee hekima ili uwe unajibu kwa hekima! Ongezeko limekuja wakati huyo mtu wako hajalipa hiyo kodi hivyo mfano wako haiendani. Vehicle valuation inabadirika kila ikifika mwanzo mwa mwaka.
Binafsi nahisi kupima ubora wa gari kwa kuzingatia miaka ni technologia iliyopitwa na wakati
Haiingii akilini eti mtu aagize gari ndogo (mf: premio ) ya mwaka 2005 lenye kms 30,000 ionekane imechakaa au itachafua mazingira kuliko Premio ya mwaka 2013 iliyo tembea kms 320,000+ ambayo kwa mafundi wanao jua magari vizuri wanajua kuwa Engine ndogo ikifikia hizo kms zaidi ya laki tatu imesha chakaa, na inaweza kutoa moshi kama trekta......
Lakini pia hii yaweza kushawishi watu kuagiza magari chakavu kwa kuangalia mwaka na sio ubora....