Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli kama ulikuwa na mpango wa kuagiza gari inabidi utulie kidogo, vuta pumzi kwanza then sikilizia upepo wa kusi ukivuma kwanza, otherwise kaisari anaweza akaipiga gari mnada pale bandarini.
Hio tuwaachie wenye uchumi wa kati mkuu.Hii kama ni kwel ina hatar sana, hyo vanguard 2013 kutoka 11M mpaka 31M
Zambia, Congo kuna magari mengi saaana mazuri aisee, nadhani kodi yao ni reasonable.Nimeongea na mtu wa Zambia na Zimbabwe kuhusu tax za magari ya mtumba nchini kwao nikalinganisha na hapa Bongo nikaishia kutoa bonge la tusi la kimoyomoyo
Pata picha sasa gari yako ndio iko kwenye meli kuja Bongo unakutana na hio kodi ya Tsh. 31m, gari itaishia kupigwa mnada tu.Kwa kweli kama ulikuwa na mpango wa kuagiza gari inabidi utulie kidogo, vuta pumzi kwanza then sikilizia upepo wa kusi ukivuma kwanza, otherwise kaisari anaweza akaipiga gari mnada pale bandarini.
Kazi yako ni kutetea chochote hata upuuzi?Kama hujaelewa ufafanuzi huo wa TRA basi wewe ni utopolo tu mkuu!
Yeah, wanaoumia ni walioagiza gari ambazo zipo kwenye meli kwa sasa. Ni mwendo wa maumivu tu no way. Either utafute hela u top up au gari ipigwe mnada, hasara kubwa hii. Tofauti ya 2-5mil tu inaweza kukufanya uliache gari bandarini hakyanani.Pata picha sasa gari yako ndio iko kwny meli kuja Bongo unakutana na hio kodi ya Tsh. 31m,gari itaishia kupigwa mnada tu.
Ongezeko la 168%View attachment 1671963
Nimeiona mahali nimeshangaa
Nimeiona hiyo mpaka nimesisimka.Hii kama ni kwel ina hatar sana, hyo vanguard 2013 kutoka 11M mpaka 31M
Hio ni hasara tayari aisee, ila kwa wenye ist huku mtaani tayari zimeshapanda thamani.Yeah, wanaoumia ni walioagiza gari ambazo zipo kwenye meli kwa sasa. Ni mwendo wa maumivu tu no way. Either utafute hela u top up au gari ipigwe mnada, hasara kubwa hii. Tofauti ya 2-5mil tu inaweza kukufanya uliache gari bandarini hakyanani.
Kuna mshikaji wangu kaagiza rav 4 kako kwenye meli huko aliko kama amepata taarifa hii, sijui itakuwaje.Pata picha sasa gari yako ndio iko kwny meli kuja Bongo unakutana na hio kodi ya Tsh. 31m,gari itaishia kupigwa mnada tu.
Aisee ajiandae kisaikolojia mkuu, anaweza kupata pressure.Kuna mshikaji wangu kaagiza rav 4 kako kwenye meli huko aliko kama amepata taarifa hii, sijui itakuwaje.
Baadae bunge litapewa taarifa na kumwaga wino.Hivi mtu anaposema bei halisi ana maana gani? Hizo bei za awali hazikuwa halisi? Bora angesema thamani ya shilingi au kupanda kwa bei ya magari hayo. Na kama hakuna badiliko then kwanini kodi iongezeke?
Ni kinyume cha sheria na uvunjifu wa katiba kupandisha kodi bila idhini ya bunge. Badiliko la kodi ni lazima liidhinishwe na bunge
Na vile mi ndio nilimshawishi ye alitaka kwenda yadi, nitawaambia nini watu, ngoja niangalie kokokotoo tenaAisee ajiandae kisaikolojia mkuu,anaweza kupata pressure.
Fanya kucheki mkuu, mambo yamevurugika.Na vile mi ndio nilimshawishi ye alitaka kwenda yadi, nitawaambia nini watu, ngoja niangalie kokokotoo tena
Kuna gari moja Zimbabwe jumla kodi waliikata kama one milion of TZS ila huku bongo gari ile kodi kwa wakati huo walikuwa wanachukua kama milioni 10 hivi.Zambia,Congo kuna magari mengi saaana mazuri aisee,nadhani kodi yao ni reasonable.
Aisee Tsh.1mil? No wonder jamaa wana magari ya maana aiseee.Kuna gari moja Zimbabwe jumla kodi waliikata kama one milion of TZS ila huku bongo gari ile kodi kwa wakati huo walikuwa wanachukua kama milioni 10 hivi.
Nenda hizi c center za be forward Japan au SBT kafanye utafiti juu ya hili