Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
Avumilie tuu, aliichagua mwenyewe chaguo lake mwenyewe ka vp avimbe apasuke, ccm mbele Kwa mbele.Huyu si ndiye alikuwa anatumbuiza kwenye mikutano ya kampaini ya CCM. Wejilipa!
Nyie si mnawafanyia mapambioMangi TRA wamechukua pesa za akaunti yake binafsi huu ni uonevu. Usinimbie hata chama chenu kikichukua nchi mtakuwa mnaonea watu kwa namna hii .
Jana walivamia ofisi za Wasafi wakataka kutia kufuli.
Mama Samia alisema hataki kodi za dhulma.
Huwezi fidia kodi kihunni kuna utaratibu wa kukaa na mteja na kuongea aelewe au kumpa utaratibu wa kulipa sio kuzuia akaunti zakePengine TRA wamefidia Kodi yao
Wewe una stress zako za maisha poleNyie si mnawafanyia mapambio
Hao...
Hebu tulieni lipeni kodi zinazotokqna na kukata mauno yenu
Ova
Sasa kama hawalipi kodi ulitaka wachekewe tu?Mangi TRA wamechukua pesa za akaunti yake binafsi huu ni uonevu. Usinimbie hata chama chenu kikichukua nchi mtakuwa mnaonea watu kwa namna hii .
Jana walivamia ofisi za Wasafi wakataka kutia kufuli.
Mama Samia alisema hataki kodi za dhulma.
Mzee unapambana nae tangu najiunga jf hauchoki na jamaa anazid barikiwa. Kuna kitu hutaki jifunza kuhusu maisha chuki zimekuzidi nguvuAlipe kodi huyo DAINAMO ,huu mwisho wa mwaka ,"KOTA YA NNE" ,Alipe kodi aache MBA MBA MBA.
Hapa inakuongoza chuki na wivu akili umeweka mfukoni...nchi inamatatizo mengi moja la kwanza ni watu aina yenuSasa kama hawalipi kodi ulitaka wachekewe tu?
IendereeeeeeeCcm Hoyee
Kazi Iendelee
Mwanaume wivu na roho mbaya havijawai mletea msosi mezani. Komaa na spices mkuu wivu sio mtajiDiamond inasemekana ni mkwepa kodi mzuri na mtakatishaji pesa mahiri.
Ni uonevu wa hali ya juu sana. Serikali inapora raia wake pesakuna uzi tuliaambiwa kuwa tutaporwa pesa zetu benki
sijui ni nani
Una kichaa,Hapa inakuongoza chuki na wivu akili umeweka mfukoni...nchi inamatatizo mengi moja la kwanza ni watu aina yenu
Kwa hiyo unajiona upo sawa sawa... Una wivu wa kiCDUna kichaa,
Jana saa ngapi hio? Hakuna CCTV camera? Mbon habari hii imefichwa?Jana walivamia ofisi za Wasafi wakataka kutia kufuli.
Kasema mwenyewe Mond na kamtaja mpala Meneja wa TRA Tegeta Bi Husna kuwa alimlalamikia sana mpk mwisho wa siku Husna hakuwa anapokea simuKuna ushahidi wowote au ni maneno matupu?
Kumbuka ni wewe uliesema ndege ya Diamond iko njian tutakuamini vipi?
Walivamia saa ngap? Ofisi za Wasafi hazina CCTV? Kwanin habari hii imefichwa?Huwezi fidia kodi kihunni kuna utaratibu wa kukaa na mteja na kuongea aelewe au kumpa utaratibu wa kulipa sio kuzuia akaunti zake
Nenda Youtube utamsikia mwemyewe Mond mpaka kuhusu makadilio ya kodi na mpaka Kampuni ya Wasafi kuidai TRA zaidi ya Million 60 na juzi TRA walivamia Wasafi Media.Unaposema TRA imepora unamaanisha kitu gani? Pesa zilitolewa kutoka akaunti yake binafsi bila idhini yake au alipigiwa mahesabu ya kukwepa kodi?
Alipolalamika, amemlalamikia nani? Maelezo ya hayo malalamiko yako wapi?
Au unaleta hii habari wakusikie wanasiasa? Maana kama hakubaliani kuna hatua za kuchukua kupinga hayo mahesabu ya TRA.
Let's video ya Mondi hapa tumuone na sisi akiwa analalamikia huyu Bi Husna kwa kumkwapua Million 700 bila tozoKasema mwenyewe Mond na kamtaja mpala Meneja wa TRA Tegeta Bi Husna kuwa alimlalamikia sana mpk mwisho wa siku Husna hakuwa anapokea simu