TRA yafanya uonevu mkubwa, yapora milioni 700 kwenye akaunti binafsi za Diamond Platnumz

TRA yafanya uonevu mkubwa, yapora milioni 700 kwenye akaunti binafsi za Diamond Platnumz

Nenda Youtube utamsikia mwemyewe Mond mpaka kuhusu makadilio ya kodi na mpaka Kampuni ya Wasafi kuidai TRA zaidi ya Million 60 na juzi TRA walivamia Wasafi Media.
CCTV camera ofisi za Wasafi hakuna au mnatuletea ushubwada hapa? Facken shit
 
CCTV camera ofisi za Wasafi hakuna au mnatuletea ushubwada hapa? Facken shit
Sasa makasiliko yann kama umesingiziwa ww? Mond anawezaje kuisingizia TRA? mwenwe mpka anasema TRA wanamfanyia kama mkimbizi! Mpaka anajiuliza kwani wanania gani na kampuni zake!
 
Sasa makasiliko yann kama umesingiziwa ww? Mond anawezaje kuisingizia TRA? mwenwe mpka anasema TRA wanamfanyia kama mkimbizi! Mpaka anajiuliza kwani wanania gani na kampuni zake!
Mkuu leta hapa ushahidi wa CCTV camera km huna kaa kimya
 
Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.

Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.

Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.

Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.

Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Wanalazimisha watu kuficha fedha zao nje ya nchi.ni rahisi sana kuweka fedha zako nje ya nchi na kuzitumia nchini.Hasa kwa sasa ambapo techonologia ya miamala imekuwa..

Ila pia ukwepaji kodi ni uhujumu uchumi.Kama kuna kodi imekwepwa na ndugu Diamond basi Walichofanya TRA kwake ni kwa maslahi mapana ya nchi
 
Mkuu leta hapa ushahidi wa CCTV camera km huna kaa kimya
Hizo hapo! Maana akili yako inaonekana inashida
Screenshot_2022-12-30-20-35-00-49_680d03679600f7af0b4c700c6b270fe7.jpg
 
Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.

Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.

Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.

Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.

Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Muombe mkapige show ya chama itawalipa.Ngedere ninyi!😂😂😂
 
Back
Top Bottom