HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Usemacho ni kweliTRA hawawezi msingizia mondi,alipe Kodi,ndo kujenga nchi huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usemacho ni kweliTRA hawawezi msingizia mondi,alipe Kodi,ndo kujenga nchi huko
Ccm mbere kwa mbereAma kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.
Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.
Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.
Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.
Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Hawajazoea kulipa kodi. Sisi walimu tunalipa 30% ya mapato yetu wanatudharauCcm Hoyee
Kazi Iendelee
Kwanza TRA lazima wakuite afu ukijifanya hueleweki ndo wanakamata AccountTRA hawawezi shirikiana na bank wakabeba mzigo wote huo pasi kuwa na ground
Hawa hawa ndio wakati wa Magu walikuwa wanasema TRA wanaonea watu wanaua biashara.eo hii eti TRA haiwezi kuonea mtu!Kwani hiki walichofanya wangapi wamekilalamikia? Ni kigen masikion mwako?
NashagaaHawa hawa ndio wakati wa Magu walikuwa wanasema TRA wanaonea watu wanaua biashara.eo hii eti TRA haiwezi kuonea mtu!
Sasa mkuu kwanza achana na mambo ya vyama maana sasa ni kama unataka atetewe na ccm.
Pili, unasema kampuni ya
Wasafi wameporwa milioni 700 na TRA, lakini hapo hapo unasema wamechukuwa pesa hizo kutoka kwenye akaunti yake binafsi.
Hayo mazingira yanaonyesha alikwepa kodi ndo maana wakazifuata kwenye akaunti binafsi hizo pesa. Maana kama zimetokana na mapato ya kampuni, lazima zilimwe kodi kabla hazijaenda kwenye akaunti binafsi.
Kuna dalili za ukwepaji kodi kutoka kwa mkurugenzi wa wasafi. Either kwa kujuwa ama kutokujuwa.
Labda alijisahau kwasababu yeye ni ccm.
Ndo nini nawewe mazafaka?Facken shit
Hivyo mozafanta utaelewa tu mbele mbele uko,Ndo nini nawewe mazafaka?
Achana na huyo kapukuMzee unapambana nae tangu najiunga jf hauchoki na jamaa anazid barikiwa. Kuna kitu hutaki jifunza kuhusu maisha chuki zimekuzidi nguvu
Usipoelewa ni ngumu kuelewaMafisi yanawasoma tu huko ofisini yanapiga hesabu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo hapo! Maana akili yako inaonekana inashidaView attachment 2463674
Dah!.. hii sio poaKasema mwenyewe Mond na kamtaja mpala Meneja wa TRA Tegeta Bi Husna kuwa alimlalamikia sana mpk mwisho wa siku Husna hakuwa anapokea simu
Halipi Kodi, Yuko bize kusafirisha makubwa jinga MWIJAKU na baba levo QatarAma kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.
Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.
Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.
Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.
Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Hii ndio JF🤣🤣🤣🤣Hizo hapo! Maana akili yako inaonekana inashidaView attachment 2463674
Usikute mleta Uzi ni Mwijaku au Baba Levo 😀Kuna ushahidi wowote au ni maneno matupu?
Kumbuka ni wewe uliesema ndege ya Diamond iko njian tutakuamini vipi?