DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.
Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.
Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.
Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.
Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.
Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.
Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.
Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.
Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Unaweza kukuta tra wameyafanyia kazi yote uliyoandika ila mwishowe wakaamua kuja na hili tulilopewa hapa....TRA wajaribu kumpa Diamond muda wa kulipia taratibu, flexible payment hata Kwa mwaka mmoja au miwili, TRA wasiwe na haraka ya kukamata au kufunga account, biashara ni ngumu sana, unaweza uza na print receipt ya bil 3 Leo hii, baada ya mwezi TRA wanataka pesa ya Kodi Yao ilihali wewe hata malipo hujapata , ikaenda hadi miezi sita hujapata pesa Yako , TRA wao wanataka ulipe, tena wana kuambia lips kidogo ili hali wewe una ngoja malipo,hatimae wanaanza vitisho na hatimae wana kuja kibabe.
TRA wana takiwa wavumilie na wamsaidie mteja na wamuelewe, na pia waelewe nature ya biashara, sio kutuma control numbers za kulipia, wana takiwa wamuuite Diamond wakae mezani watafuta njie na hata kumshauri jinsi na taratibu nzuri za kulipa Kodi na wao wajue Kuna tatizo gani.
Biashara zingekuwa Rahisi kila mtu angekuwa Billionaire, TRA watambue hilo.
Kwa hiyo Chadema sasa hivi mnasema hakuna kodi za dhulma?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkishapata hela mnadharau wasomi mnawaona hawana maana... mkiambiwa muwe mnaajiri ma tax experts mnadharau.... 'aaaah wasomi kitu gani bwanaaa, mwite Ricardo Momoooooo'....
Sasa TRA atawanyoosheni mpaka akili zikae sawa
Ndio maana sitakujaga niwaelewe awa wanafki na mitaa imewastukia imewakacha bora watu wawe busy na soka au mandonga kuliko awa matapeli wa kaskazin
Ndio maana sitakujaga niwaelewe awa wanafki na mitaa imewastukia imewakacha bora watu wawe busy na soka au mandonga kuliko awa matapeli wa kaskazin
Chadema walishawai msaidia nani wapo ikulu saivi wanakata wagaiwe keki ya nchi??
Nashangaa vijana wa Chadema mnamshambulia Diamond ilihali mmiliki wa chama chenu aliposema kazuiliwa akaunti zake mlikuwa mnalia miezi na miezi umu mkitetea wakabila sana iko chama chenu mmejaa wivu na chuki
TRA wajaribu kumpa Diamond muda wa kulipia taratibu, flexible payment hata Kwa mwaka mmoja au miwili, TRA wasiwe na haraka ya kukamata au kufunga account, biashara ni ngumu sana, unaweza uza na print receipt ya bil 3 Leo hii, baada ya mwezi TRA wanataka pesa ya Kodi Yao ilihali wewe hata malipo hujapata , ikaenda hadi miezi sita hujapata pesa Yako , TRA wao wanataka ulipe, tena wana kuambia lips kidogo ili hali wewe una ngoja malipo,hatimae wanaanza vitisho na hatimae wana kuja kibabe.
TRA wana takiwa wavumilie na wamsaidie mteja na wamuelewe, na pia waelewe nature ya biashara, sio kutuma control numbers za kulipia, wana takiwa wamuuite Diamond wakae mezani watafuta njie na hata kumshauri jinsi na taratibu nzuri za kulipa Kodi na wao wajue Kuna tatizo gani.
Biashara zingekuwa Rahisi kila mtu angekuwa Billionaire, TRA watambue hilo.
Alipe kodi ikiingia biashara kodi lazima .....ingekuwa account binafsi sawa ....wasafi walipe kodiAma kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.
Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.
Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.
Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.
Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Unajua lakini kinachoendelea nyuma ya pazia baada ya kuwalipua leo?
Diamond ni dude kubwa sana serikali inalifahamu ilo muulize mchengwala
Mwambie alipe kodi,Ndio maana sitakujaga niwaelewe awa wanafki na mitaa imewastukia imewakacha bora watu wawe busy na soka au mandonga kuliko awa matapeli wa kaskazin
Huyu mleta uzi ni mp-mb-v sanaMchengwala = Mchengerwa. Wewe chawa bora ungekaa tu kimya hakuna unachojua wala kuelewa. Hakuna dude kubwa mbele ya serikali. Hakuna serikali makini duniani inayoweza tingishwa na raia wake.
Huko USA Kwenyewe kuna watu maarufu na powerful wanabanagwaAwe makini sana. Diamond ni maarufu tu ila sio powerful kama anavyodhani. Pia kuishi kiamerika sana kwenye nchi ya kijamaa inaweza ikam-cost. Bado ni mapema ashauriwe tu. Yule kijana ni msikivu akionywa mapema.
Aisee huwa wanafyeka pia. Labda kama siku hizi wameachaTRA huwa hawatoi pesa, wanafunga akaunti.