TRA yafanya uonevu mkubwa, yapora milioni 700 kwenye akaunti binafsi za Diamond Platnumz

TRA yafanya uonevu mkubwa, yapora milioni 700 kwenye akaunti binafsi za Diamond Platnumz

Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.

Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.

Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.

Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.

Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.

TRA huwa hawatoi pesa, wanafunga akaunti.
 
Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.

Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.

Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.

Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.

Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.

Baada ya kusikia Kuna jamaa ana bilioni 57 naona umeleta taarifa ya diamond kumpaisha.
 
TRA wajaribu kumpa Diamond muda wa kulipia taratibu, flexible payment hata Kwa mwaka mmoja au miwili, TRA wasiwe na haraka ya kukamata au kufunga account, biashara ni ngumu sana, unaweza uza na print receipt ya bil 3 Leo hii, baada ya mwezi TRA wanataka pesa ya Kodi Yao ilihali wewe hata malipo hujapata , ikaenda hadi miezi sita hujapata pesa Yako , TRA wao wanataka ulipe, tena wana kuambia lips kidogo ili hali wewe una ngoja malipo,hatimae wanaanza vitisho na hatimae wana kuja kibabe.

TRA wana takiwa wavumilie na wamsaidie mteja na wamuelewe, na pia waelewe nature ya biashara, sio kutuma control numbers za kulipia, wana takiwa wamuuite Diamond wakae mezani watafuta njie na hata kumshauri jinsi na taratibu nzuri za kulipa Kodi na wao wajue Kuna tatizo gani.

Biashara zingekuwa Rahisi kila mtu angekuwa Billionaire, TRA watambue hilo.
Unaweza kukuta tra wameyafanyia kazi yote uliyoandika ila mwishowe wakaamua kuja na hili tulilopewa hapa....
 
Kwa hiyo Chadema sasa hivi mnasema hakuna kodi za dhulma?

Huu ndio ujinga wenu, CHADEMA wanajngiaje hapo. Serikali iwanyooshe wajinga nyie. Alipe hiyo milioni mia saba. Mnaiabudu CCM yakiwakuta mnaanza kuilaumu CHADEMA huku CCM ikiwanyuka vizuri.
 
Mkishapata hela mnadharau wasomi mnawaona hawana maana... mkiambiwa muwe mnaajiri ma tax experts mnadharau.... 'aaaah wasomi kitu gani bwanaaa, mwite Ricardo Momoooooo'....

Sasa TRA atawanyoosheni mpaka akili zikae sawa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ndio maana sitakujaga niwaelewe awa wanafki na mitaa imewastukia imewakacha bora watu wawe busy na soka au mandonga kuliko awa matapeli wa kaskazin

Endelea kuwaelewa CCM . Unazunguka kumbe lengo ni kuisema CHADEMA. Naombea CCM iwafilisi kabisa kwa akili za kijinga. Mmebaki na CCM lakini kutwa kuisema CHADEMA. Bullshit
 
Chadema walishawai msaidia nani wapo ikulu saivi wanakata wagaiwe keki ya nchi??

Nashangaa vijana wa Chadema mnamshambulia Diamond ilihali mmiliki wa chama chenu aliposema kazuiliwa akaunti zake mlikuwa mnalia miezi na miezi umu mkitetea wakabila sana iko chama chenu mmejaa wivu na chuki

Achana na CHADEMA pambana na TRA. TRA imekupora milioni mia Saba bado unalia na CHADEMA?. Huo si ujinga, nenda ukalie na TRA. Mara CHADEMA wapo ikulu, Mara CHADEMA wamemsaidia Nani?. Unaishangilia ccm, wakati wa shida unailaumu CHADEMA.
 
TRA wajaribu kumpa Diamond muda wa kulipia taratibu, flexible payment hata Kwa mwaka mmoja au miwili, TRA wasiwe na haraka ya kukamata au kufunga account, biashara ni ngumu sana, unaweza uza na print receipt ya bil 3 Leo hii, baada ya mwezi TRA wanataka pesa ya Kodi Yao ilihali wewe hata malipo hujapata , ikaenda hadi miezi sita hujapata pesa Yako , TRA wao wanataka ulipe, tena wana kuambia lips kidogo ili hali wewe una ngoja malipo,hatimae wanaanza vitisho na hatimae wana kuja kibabe.

TRA wana takiwa wavumilie na wamsaidie mteja na wamuelewe, na pia waelewe nature ya biashara, sio kutuma control numbers za kulipia, wana takiwa wamuuite Diamond wakae mezani watafuta njie na hata kumshauri jinsi na taratibu nzuri za kulipa Kodi na wao wajue Kuna tatizo gani.

Biashara zingekuwa Rahisi kila mtu angekuwa Billionaire, TRA watambue hilo.

Walishampa muda. Kuna issue nyuma ya pazia.
 
Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.

Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.

Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.

Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.

Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Alipe kodi ikiingia biashara kodi lazima .....ingekuwa account binafsi sawa ....wasafi walipe kodi
 
Ndio maana sitakujaga niwaelewe awa wanafki na mitaa imewastukia imewakacha bora watu wawe busy na soka au mandonga kuliko awa matapeli wa kaskazin
Mwambie alipe kodi,

Na muendele kuanika maburungutu

Yenu,macheni yenu mtandaoni

Ohh sijui nmenunua Mali za mln 300,700 sjui nmetoboa pua nmelipa mln 10,lipeni kodi

Ova
 
Mchengwala = Mchengerwa. Wewe chawa bora ungekaa tu kimya hakuna unachojua wala kuelewa. Hakuna dude kubwa mbele ya serikali. Hakuna serikali makini duniani inayoweza tingishwa na raia wake.
Huyu mleta uzi ni mp-mb-v sana

Ova
 
Awe makini sana. Diamond ni maarufu tu ila sio powerful kama anavyodhani. Pia kuishi kiamerika sana kwenye nchi ya kijamaa inaweza ikam-cost. Bado ni mapema ashauriwe tu. Yule kijana ni msikivu akionywa mapema.
Huko USA Kwenyewe kuna watu maarufu na powerful wanabanagwa
Na IRS sasa yeye nani

Ova
 
Back
Top Bottom