TRA yafungulia akaunti zote za Wafanyabiashara zilizokuwa zimefungwa kutokana na madeni ya kodi

TRA sasa wanavunja sheria; mkwepaji wa kodi anapaswa kupata staili yake
hujui kilichokua kinatokea kuna kampuni X ilikuwa haina kesi na TRA bali TRA ilikua inamdai mtu A yule A akasema na shindwa kulipa kwa sababu naidai kampuni X,maafisa wa TRA kwa kurely na maneno ya A wakaenda moja kwa moja Benki na kukwapua not less than 400m bila hata kuwa na nakala yoyote ya uthibitisho wa madai ya A kwa kampuni X au uwepo wa hukumu ya mahakama iliyokuwa imethibitisha madai ya A dhidi ya kampuni X.Benki nao wakajichanganya kwa ama kwa kua mamluki au hofu wakala ruhusu fedha za X kutolewa bila idhini ya Kampuni X as today Benki walisha mpoteza mteja wao Kampuni X aliyekuwa na deposit kubwa kabisa.


400
 
Wawarudishie na fedha yao ili wakae waelewane.
 
Mshkaji unataka kushindana na Rais?hautaweza na unajisumbua na aliyekutuma kutwa kumsema vibaya President Samia
 
Unachekesha we Mjinga unasema Data zilikuwa hazipikwi?Are you serious?
 
Ya kwangu mbona bado?
 
Unachekesha we Mjinga unasema Data zilikuwa hazipikwi?Are you serious?
Hajui kuwa mwezi wa pili tuliambiwa uchumi unakuwa kwa 7% ila msemakweli akatuambia mwezi wa nne kuwa uchumi umeshuka mpaka % Anadhani uchumi nao ulizikwa?
 
Toka TRA inaanzishwa 1996 trend ya ukusanya mapato ilikuwa nzuri tu. Ilianza na 25b/= kwa mwezi hadi 800b/= kwa mwezi mwaka 2016. Msingi ya ukusanyaji ulijikita kwenye dhana ya " voluntary compliance". TRA walianzisha mpango huu ili kuwa user friendly kwa walipa kodi.

Sheria ya kuanzishwa kwa TRA kunaipa mamlaka kukusanya kodi za aina 11 au 12 tu lakini mabadiliko makubwa sana yakafanyika mwaka 2016 kwamba TRA pamoja na kodi hizo 11 ikusanye pia kodi na tozo zote in a unified system pia mtindo wa voluntary compliance ukaachwa , badala yale zikaundwa task force. Mwanzoni ilionekana mapato yanaongezeka kitakwimu, lakini ukianza kugawa hapo mapato kulingana na mchango wa kila taasisi, unapata picha tofauti.

Madhara makubwa ya mfumo huu ikawa ni kufungwa au kudorora kwa biashara nyingi kulikoelekea kupungua lwa makusanyo. Hivyo dhana yakusema watu hawapendi kulipa kodi si sahihi. Suluhisho ni kuweka mfumo sahihi na wa uwazi wa kulipa kodi na utapata matokeo chanya.
 

Mkuu weka hata koma na nukta basi, au ni hiyo kutopigwa penalt umefurahi mpaka hujali kuweka tena herufi kubwa na ndogo?
 

Kama alifanya uporaji wote huo kwenye account za wafanyabiashara, na bado mradi wa SGR kipande cha Dar-Moro alishindwa kukimalisha kwa wakati, utakuwa mwendawazimu kudhani alikuwa anaenda mbele. Kimsingi mapato yalikuwa yanazidi kushuka, na sio kupanda kama unavyotaka tuamini.
 
Kazi iendelee, Safi sana Mama yetu Samia Suluhu Hassan, ww hakika ni mama
 

Kwani kipindi cha dhalimu kodi ilikuwa inapanda au alikuwa anapika data? Alichokuwa anafanya ni kupora fedha za watu na kujifanya ni makusanyo ya hali nzuri. Lile dubwasha lilikuwa liongo na katili kupita kiasi. Kama mapato ni kidogo huo ndio uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…