JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Uzalendo uchwara wapo wengi humu. Kwao unyang'anyi ndo uzalendo. Viazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakaa unamshambulia JK bila staha. Maendeleo ya hii nchi hayajaanza miaka 5 iliyopita. 750 aliyokusanya jk haikuhusisha pesa za almashahuri, mabango na baadhi ya mashirika.Acha upumbavu wewe unaongea usichokijua. Yaani JK aliyekua anakusanya bil.750 kwa mwezi ndiye bora kulikonhuyu aliekua anakusanya karibu tril. 2 kwa mwezi. Hebu tukumbushe ni mradi gani wa maana wa kimkakati uliofanywa na JK.
Hata sijui umeandika upuuzi gani hapo ulipoweka abbreviation za PIT, CT, WT na C#, all I can say nonsense tupu kutokana maelezo mingine uliyotoa.Hujui kuhusu kodi ila una general knowldge na hadithi ndefu tu.
PIT unaweza kujikadiria na ukapeleka hesabu kama CT.
VAT halipi mfanyabiashara. WT zote na interest na penalties utaratibu ni wa wazi. Mfumo wa kukusanya unajulikana ni wa C#. Acha porojo.
Una porojo hujui. Una elimu general kuhusu kodi. Jifunze acha kutumia elimu kidogo uliyo nayo kuandika mambo mengi yasiyo na msingi. Hizo abbrebiation ni za kawaida na zinatumika sana na watu wa kodi.Hata sijui umeandika upuuzi gani hapo ulipoweka abbreviation za PIT, CT, WT na C#, all I can say nonsense tupu kutokana maelezo mingine uliyotoa.
Kodi unaweza jikadiria kama wewe umejisajili mwaka wa kwanza tu. Baada ya hapo estimate zinakuwa based on previous year. Na ulipaji wake ni tofauti VAT ina mfumo wake na income/corporate tax zina mfumo wake.
CCM tangu lini kafuata sheria?Kinachoendelea ni kwa mujibu wa sheria au matakwa ya mtu tu?
Sio mnashangilia tu
Aren’t you just pathetic tangu lini kodi ukajikadiria mwaka wa pili au ukakubali kukadiriwa; if you do so or agree someone to do so you are just plain stupid.Una porojo hujui. Una elimu general kuhusu kodi. Jifunze acha kutumia elimu kidogo uliyo nayo kuandika mambo mengi yasiyo na msingi. Hizo abbrebiation ni za kawaida na zinatumika sana na watu wa kodi...
Kuna baadhi yetu hushadidia wengine kubanwa kua ni wakwepa Kodi wanastahiri adhabu lakini wakati huohuo wao hawajawi Julio's Kodi Sana Sana atakwambia kalipa kupitia kuinunua chumvi bila kujihoji hao wanaolipa hawanunui cumvi na pia wawakilishi wetu Kama wanaonesha mfano wa kutokulipa Kodi katika kile wanachopokea uzalendo wao ukoje sisi wengine sisi wanao tuwakilisha tufate mfano wao?TRA sasa wanavunja sheria; mkwepaji wa kodi anapaswa kupata staili yake
Tutawatapisha kila senti yetu waliyokula ndio maana walitetea Sana ouvu wowote.Sahau YEHODAYA Nigrastratatract Crimea jingalao Elitwege johnthebaptist Bia yetu na wenzao wamelipwa nazo
Unatumia maneno ya kuudhi wakati haupo sahihi. Kila mwaka mpya wa biashara mfanyabiashara ambaye si presemptive tax payer lazima ajikadirie. Awe ana kampuni analipa CT au ni individual T/A analipa PIT.Aren’t you just pathetic tangu lini kodi ukajikadiria mwaka wa pili au ukakubali kukadiriwa; if you do so or agree someone to do so you are just plain stupid
kwa upande wangu alikuwa ni kiongozi mahili, nchi hii wadanganyifu ni wengi sana.Hivi Jiwe alikuwa mtu au Ibilisi katika mwili wa binadamu?
Excuse my language kama nimekukwazaUnatumia maneno ya kuudhi wakati haupo sahihi. Kila mwaka mpya wa biashara mfanyabiashara ambaye si presemptive tax payer lazima ajikadirie. Awe ana kampuni analipa CT au ni individual T/A analipa PIT...
View attachment 1793042
Huo ndio utaratibu duniani njia za kistaarabu muda wake unapoisha kinachofuata watu wanavamia account yako wanakomba, halafu ndio mnaenda mahakamani kama unadhani umeonewa..
Kuna wanafanya kazi wachache TRA ni shida kwa kutumia sheria vibaya kujinufaisha, ila tatizo kubwa zaidi kwenye kodi Tanzania ni uelewa mdogo wa wafanyabiashara kwenye sheria na taratibu za kodi.
Anyway kwa utaratibu huu wa kubembelezana hakuna miradi itakayo kamilika ontime, something will have to give kati ya debt obligations, government running cost au miradi.
Sio ngumu kuelewa miradi ndio itakayo simamishwa, TANESCO washaanza na usambazaji wa umeme wakati hela za REA ni mkopo sasa sijui shida ipo wapi.
Hawa wabunge wetu na wafanyakazi wenye posho and other ‘benefits in kind’ mfano anaishi nyumba ya serikali, gari la serikali anawekewa mafuta, wanapata mikopo yenye interest nafuu kama sio bure na marupurupu mengine; watu kama hawa nchi za wenzetu wanatakiwa kulipa income tax yote hayo.
Ninauhakika huo utaratibu wahusika wangeujua upoje halafu bunge lipendekeze kuiga huo mfumo; ndani ya bunge kungewaka moto na malalamiko ya unyonyaji.
Swala la kodi Tanzania bado sana, na haya maamuzi ni kurudi nyuma; sio kusonga mbele watu inabidi wazoee utaratibu wa kodi.
Sijakuelewa, ulitaka kusema nini?Unajidanganya.Tafuta fedha wenzio wanagweza jiulize pamoja.na kufungiwa waliweza kusurvive JPM aliyechukua hizo hela kafa.Nachekaga kijinga jinsi dunia lilivyorahisi kuishi haiyaji presha za kukomoana. Ukiondoka sisi twala shenanigans mwenyewe hakukaa nayr aliondoka
Sawa boss. Ni vifupisho tu vya maneno, si kipimo cha uelewa.Excuse my language kama nimekukwaza
Duh Ila we jamaa unachanganya mambo kweli. Hizo abbreviation zako bado zinanipa shida kuzielewa. Tatizo ni langu kurahisisha mambo si vibaya ukaweka full words ili tuwe sawa.
Ila nikikusoma naona maswala ya kodi yanakuchanganya.
VAT ni kodi ya ongezeko la thamani (analipa mtu yeyote anaeuza bidhaa au kutoa huduma) inategemea na set rate ya bidhaa au huduma inayotolewa na kuna taratibu zake za kukusanya.
Income tax ni kodi ya mapato walipaji ni wengi ata biashara (except makampuni yanayolipa corporate tax) na kuna formula zake inategemea na individual tax payer.
Corporate tax ni kodi ya faida kwa ltd na plc; nayo ina formula zake.
Mwaka wa serikali unatofauti zake kwenye income tax/corporate tax na VAT; na tarehe za malipo.
Tofautisha kwanza ivyo vitu. Tatizo wewe unaweka kila kitu kwenye kapu moja.
Anyway asubuhi njema 👋
OK nimekupata; tatizo bado unachanganya utaratibu wa jinsi ivyo vitu vinavyodaiwa.Sawa boss. Ni vifupisho tu vya maneno, si kipimo cha uelewa.
CT ni corporate tax,
PIT ni persnal inacome tax
WT ni witholding tax n.k
Hilo wala halina ubushi, hila sio muda mrefu utaelewa kukopesheka bila idhini ya IMF na WD sio jambo rahisi.Unaongelea miradi ipi wewe ?
Miradi yote mikubwa ya jiwe amekopa kila mahali huko kwa mabeberu na amekomba pesa za mifuko ya jamii, korosho n.k.