Wewe ni binadamu mwongo, fanya utafiti ikiwezekana fanya biashara.
Utaratibu wa kodi ni kukadiriwa au kujikadiria. Wanaojikadiria wanapeleka hesabu kila mwaka wa biashara, Kuna mashine za mauzo kwa aliyekuuzia na ww unayenunua. Kwa mfumo huu huwezi kwepa kodi kwa muda mrefu usikamatwe. Ukwepaji upo ila si wa mda mrefu utadakwa tu.
Tatizo ni kutaka kodi isiyo halali, mtu ana mali kauli kapewa auze, anauza anabakiwa na kafaida anarudisha pesa za watu, ww TRA unaona mzunguko wa m900 kwa mwezi kwenye account unahisi mtu anatengeneza pesa na ana pesa unataka kodi kubwa. Kumbe kwenye m900 mtu anachobaki nacho ni m3 zingine zote si zake.
Umeandika upuuzi mtupu hujui tofauti ya income/corporate tax na VAT inavyokusanywa.
VAT ina utaratibu, income tax inautaratibu wake na corporate tax ina utaratibu wake.
Story ya income tax na corporate tax zinafanana for the most part (tofauti ni kwamba you don’t pay income tax, if you pay corporate tax; na formula zake kwenye kudaiwa kodi zina tofauti kidogo) ila zote zinalipwa mara mbili au tatu kwa mwaka kwa mfumo wa estimates and prepayments bases on previous year actual payments.
Kawaida kuna tarehe za malipo ya estimates, tarehe za kumalizia malipo halali baada ya kujifanyia self assessment on end of the year na mambo mengine luluki ya kisheria.
Usipotimiza masharti hayo kuna surcharges, interest and fines luluki za kisheria. Ambazo zinatokana na kuchelewesha malipo, kuchelewa kujaza form, kuongopa na mambo mengine kibao; kila adhabu inatokana na ukubwa kosa.
Maswala ya kodi ni taaluma tofauti na mnavyoyachukulia, tatizo letu ni copy and paste ya mambo bila ya kufundisha walipaji how the system works au kuandaa wafanyakazi wa TRA kuwa na skills sahihi, kuna wengine ukiwasikiliza wanapotoa elimu ya kodi ata ufahamu wa kodi wanazoelezea wanapwaya kwenye maelezo.
Ni story ndefu ambayo, tatizo lipo kwa walipa kodi wengi awajui how taxation works.