TRA yafungulia akaunti zote za Wafanyabiashara zilizokuwa zimefungwa kutokana na madeni ya kodi

TRA yafungulia akaunti zote za Wafanyabiashara zilizokuwa zimefungwa kutokana na madeni ya kodi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imezifungulia akaunti zote za wafanyabiashara ilizokuwa zimeshikiliwa kutokana na madeni ya kodi

Hayo yamesemwa leo mjini Morogoro na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa (TRA), Richard Kayombo, wakati akitoa mada kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri (TEF).

Kayombo amesema hivi sasa mamlaka hiyo inaingia mikataba ya makubaliano na wafanyabiashara hao wenye madeni ili walipe kwa utaratibu maalum.

Amesema sheria inairuhusuTRA kushikilia akaunti ya mtu yeyote ambaye anadeni la kodi kama njia ya kupata fedha ambazo serikali inadai.

Lakini Kayombo amesema uamuzi wa kushikilia akaunti ya mfanyabiashara huwa ya mwisho kabisa baada ya njia zingine zote kama majadiliano kushindikana.

"Sikawaida kushikilia akaunti ya mfanyabiashara na uamuzi huu mara nyingi unakuwaga wa mwisho kabisa baada ya jitihada zingine kushindikana ikiwemo majadiliano na mhusika," amesema Kayombo

"Tumeamua kuziachia hizi akaunti ili sasa tuwe tunakaa mezani na kujadiliana na wafanyabiashara wenye madeni namna bora ya kulipa taratibu taratibu na tunaachana na ule wa kushikilia akaunti zao," amesema Kayombo

Chanzo: NIPASHE
Ila ukae ukijua watanzania bado hatujafikia utaratibu wa kulipa kodi kwa hiari!! Elimu ya kuona fahari kwa kulipa kodi hatuna!! Ukiweka loop hole ya watu kukwepa kodi utegemee watakwepa kodi!
Hebu tupeni data za malipo ya kodi kwa March na April tuanzie hapo kuona picha kamili!
 
Bila kusimamia kidete ukusanyaji wa kodi KAZI IENDELEE itakuwa nj ngonjera isiyotekelezeka! Wafanyabiashara ukiwalegezea kidogo hawawezi kulipa kodi kwa uaminifu!! Bado wanaamini kulipa kodi ni uonevu!! Bado wengi wanakwepa kutoa risit za EFD!!
 
Truth be told, mazoea mabaya ya muda mrefu yamewafanya wafanyabiashara wengi wawe na kasumba ya kutoridhia kutii sheria bila shurti --- lugha ya kutoa kodi kwa hiari hawaielewi kamwe. Wamejifunza njia ya mikato, ujanjaujanja, wiziwizi, rushwarushwa, dilidili and the like. Sasa wakiletwa kwenye mstari, by definition, wao wanadhani wanaonewa. What!???
Lakini TRA walivuka mipaka unaendaje kufungia akaunti ya mtu ya mshahara? Fungia akauti ya biashara basi.
 
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imezifungulia akaunti zote za wafanyabiashara ilizokuwa zimeshikiliwa kutokana na madeni ya kodi

Hayo yamesemwa leo mjini Morogoro na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa (TRA), Richard Kayombo, wakati akitoa mada kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri (TEF).

Kayombo amesema hivi sasa mamlaka hiyo inaingia mikataba ya makubaliano na wafanyabiashara hao wenye madeni ili walipe kwa utaratibu maalum.

Amesema sheria inairuhusuTRA kushikilia akaunti ya mtu yeyote ambaye anadeni la kodi kama njia ya kupata fedha ambazo serikali inadai.

Lakini Kayombo amesema uamuzi wa kushikilia akaunti ya mfanyabiashara huwa ya mwisho kabisa baada ya njia zingine zote kama majadiliano kushindikana.

"Sikawaida kushikilia akaunti ya mfanyabiashara na uamuzi huu mara nyingi unakuwaga wa mwisho kabisa baada ya jitihada zingine kushindikana ikiwemo majadiliano na mhusika," amesema Kayombo

"Tumeamua kuziachia hizi akaunti ili sasa tuwe tunakaa mezani na kujadiliana na wafanyabiashara wenye madeni namna bora ya kulipa taratibu taratibu na tunaachana na ule wa kushikilia akaunti zao," amesema Kayombo

Chanzo: NIPASHE
Ubaya ni kuwa mmeachia zikiwa zero...mipunga yote mmeivuta huko...sasa ina maana gani ?? Rufaa ya kodi itachukua miaka 5 hivi ukishinda ndio mtakatana kila mwaka ....upuuzi mtupu watu wameibiwa 40bil huko ukirudisha account zero inamsaisia nini ???
 
Hongera kwa kitabu mkuu, lakini nina maswali machache

1. Soko kubwa unalolenga wanunuzi wa kitabu ni watu wa nje au wa Tzania?

Nimeuliza kwa kuwa nimeona suala hili sana mtu analenga kitu kiuzwe Tzania kama hicho kitabu hlf anaandika kw Eng wakati asilimia 99% ya watz wote tunaongea kiswahl tu.
Hilo somo kwenye kitabu changu cha ujasiriamali linaitwa 'The Entrepreneur and His Environment' Mjasiriamali na mambo yanayo mzunguka kuanzia ngazi ya familia hadi kimataifa. Naishukuru awamu ya 5 kwakukiongezea nyama za kutosha nichakimombo.Nimejadili kwa kina jinsi Siasa,Afya na mikingamo inayo mzunguka mjariamali vinavyoweza kuathili biashara political,physical and environmental factors affecting Entrepreneur ship 'Stay tuned to be released soon'
 
Safi sana Mama. Sasa hivi kila mtanzania ni kazi na bata na mapesaaa ya kutosha mtaani mpaka msemo wa laki si pesa milioni ni ya bia mbili tu urudi.
Wabongo bwana ulaya mwenyewe tu usulipe Kodi uone moto wake hii nchi Ina watu WA hovyo sana unataka maendeleo alafu unawachekea wakwepa kodi

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hata mm Leo hi nimeshanga sna nilikuwa cjafanyiwa assessment ya mwaka huu nilijisahau kbsa juz wakaanza kukamata magari bas nikafanya jitiada za kufika ofc zao kuomba utaratibu wa kulipa nikabiwa niandike barua ya kueleza sababu zilizofanya kuchelewwa kulipa Kodi na kukadiriwaa bas nikafanya nikaandika barua ya kueleza kuwa nilikuwa naumwa sana na kuuguza Sanaa hvyo nikashindwa kufika ofisini bas wakakubali naleo nikaambiwa nilipe kiasi alfu penalt nikafutiwaa hvyo nikaambiwa nilipieee Kia's nilichonacho kuendelea na utaratibu wakt awali walinimbia napazwaa kulipa 250000 pmj na fineee. Kweli kwa leo hi nimewasifu Hawa vijana watoza ushuru wamekuwa waelewa Sanaa ..nikalipaa pale pale.


Nimefurahi mnk ingekuta kipind Cha meko uwez futiwa fine Tena kwa system za tra. Nilishangaa snaa cjatoa hat ongo yoyote
Mkuu upo Mwanza eh? Imenikuta the same issue.. kuna vijana waelewa sana na wanasikiliza kwa makini sana na ukarimu sana, hongera sana kwao

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Kilatha, kunyang'anya fedha za wananchi kwa sababu ya miradi iliyoanzishwa bila mpangilio is TOTAL INSANITY.

Kurudi nyuma kama kuna tija siyo dhambi. Kwanza kule nyuma kwa akina JK na BWM kodi zilikusanywa, miradi iliyopangiliwa LOGICALLY ilifanyika, wafanyakazi walipata nyongeza za mishahara, wahitimu kwa asilimia fulani walipata ajira.

Tuachane na propaganda za Mwendazake kuwa eti yeye ndiye alikusanya kuliko wengine. Ni UWONGO
Umeongea pumba tu uyo jk aliekua akilipa mishahara mwezi unaofata tarehe 5 kwenda huko ndio WA kumuongelea hapa? nchi ilichoka kila sehemu umeme kukatika hovyo,panya road Leo mnajitia kusahau hii nchi Ina viumbe WA ajabu Sana,Bila Kodi Hakuna maendeleo lipa Kodi ili usiingie matatizoni

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 1793042

Huo ndio utaratibu duniani njia za kistaarabu muda wake unapoisha kinachofuata watu wanavamia account yako wanakomba, halafu ndio mnaenda mahakamani kama unadhani umeonewa..

Kuna wanafanya kazi wachache TRA ni shida kwa kutumia sheria vibaya kujinufaisha, ila tatizo kubwa zaidi kwenye kodi Tanzania ni uelewa mdogo wa wafanyabiashara kwenye sheria na taratibu za kodi.

Anyway kwa utaratibu huu wa kubembelezana hakuna miradi itakayo kamilika ontime, something will have to give kati ya debt obligations, government running cost au miradi.

Sio ngumu kuelewa miradi ndio itakayo simamishwa, TANESCO washaanza na usambazaji wa umeme wakati hela za REA ni mkopo sasa sijui shida ipo wapi.

Hawa wabunge wetu na wafanyakazi wenye posho and other ‘benefits in kind’ mfano anaishi nyumba ya serikali, gari la serikali anawekewa mafuta, wanapata mikopo yenye interest nafuu kama sio bure na marupurupu mengine; watu kama hawa nchi za wenzetu wanatakiwa kulipa income tax yote hayo.

Ninauhakika huo utaratibu wahusika wangeujua upoje halafu bunge lipendekeze kuiga huo mfumo; ndani ya bunge kungewaka moto na malalamiko ya unyonyaji.

Swala la kodi Tanzania bado sana, na haya maamuzi ni kurudi nyuma; sio kusonga mbele watu inabidi wazoee utaratibu wa kodi.

Kama unafungia account wafanyabiashara 6 katika 10 mfungaji ndo tatizo. Mwisho utabaki na bodaboda na machinga wasio na account za kufunga. Watu hawataweka pesa bank. Utaua uchumi wako.

Mtu kaleta hesabu zake on time 2015 wewe unakaa nazo kindezi mpaka 2021 halafu unamcharge interest na penalt ya kakodi kilikosahaulika kuanzia 2015 mpaka 2021. Kuna ujinga ujinga sana.
 
Aliyekua kamishna mkuu aliyeondolewa alikua na PhD. Hii itakua PhD ya Mambo ya saluni.
Utamfungiaje mtu akaunti? Maana yake Ni kwamba asizalishe kabisa, halafu asilipe Kodi kabisa. Sawa na kukata mkono unaokulisha.
Sheria inasemaje
 
Umeongea pumba tu uyo jk aliekua akilipa mishahara mwezi unaofata tarehe 5 kwenda huko ndio WA kumuongelea hapa? nchi ilichoka kila sehemu umeme kukatika hovyo,panya road Leo mnajitia kusahau hii nchi Ina viumbe WA ajabu Sana,Bila Kodi Hakuna maendeleo lipa Kodi ili usiingie matatizoni

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hii nchi kuna vitumbua kweli. Kodi inakusanywa kwa haki na akili acha kuponda awamu zilizopita.

Mm nimeshuhudia mfanyabiashara kapeleka hesabu kwa wakati tra imekaa nazo miaka 5, inakuja kuzipitia inasema kuna kakodi hukukalipa kalipe na adhabu kila mwezi kwa miaka yote na interest juu.

Wakati bado haelewi kwann pesa yote hiyo account inafungwa anapachikwa jina MKWEPA KODI.

Angekuwa anataka kukimbia kodi angeleta hesabu? Usingekaa na hesabu zake kodi ingekuwa kubwa isiyolipika?

TUWAPENDENI WAFANYABIASHARA WANA UMUHIMU NCHINI SANA.
 
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imezifungulia akaunti zote za wafanyabiashara ilizokuwa zimeshikiliwa kutokana na madeni ya kodi

Hayo yamesemwa leo mjini Morogoro na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa (TRA), Richard Kayombo, wakati akitoa mada kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri (TEF).

Kayombo amesema hivi sasa mamlaka hiyo inaingia mikataba ya makubaliano na wafanyabiashara hao wenye madeni ili walipe kwa utaratibu maalum.

Amesema sheria inairuhusuTRA kushikilia akaunti ya mtu yeyote ambaye anadeni la kodi kama njia ya kupata fedha ambazo serikali inadai.

Lakini Kayombo amesema uamuzi wa kushikilia akaunti ya mfanyabiashara huwa ya mwisho kabisa baada ya njia zingine zote kama majadiliano kushindikana.

"Sikawaida kushikilia akaunti ya mfanyabiashara na uamuzi huu mara nyingi unakuwaga wa mwisho kabisa baada ya jitihada zingine kushindikana ikiwemo majadiliano na mhusika," amesema Kayombo

"Tumeamua kuziachia hizi akaunti ili sasa tuwe tunakaa mezani na kujadiliana na wafanyabiashara wenye madeni namna bora ya kulipa taratibu taratibu na tunaachana na ule wa kushikilia akaunti zao," amesema Kayombo

Chanzo: NIPASHE
Zimeachiwa zikiwa na Zero bal,,,

Zko Empty,,
 
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imezifungulia akaunti zote za wafanyabiashara ilizokuwa zimeshikiliwa kutokana na madeni ya kodi

Hayo yamesemwa leo mjini Morogoro na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa (TRA), Richard Kayombo, wakati akitoa mada kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri (TEF).

Kayombo amesema hivi sasa mamlaka hiyo inaingia mikataba ya makubaliano na wafanyabiashara hao wenye madeni ili walipe kwa utaratibu maalum.

Amesema sheria inairuhusuTRA kushikilia akaunti ya mtu yeyote ambaye anadeni la kodi kama njia ya kupata fedha ambazo serikali inadai.

Lakini Kayombo amesema uamuzi wa kushikilia akaunti ya mfanyabiashara huwa ya mwisho kabisa baada ya njia zingine zote kama majadiliano kushindikana.

"Sikawaida kushikilia akaunti ya mfanyabiashara na uamuzi huu mara nyingi unakuwaga wa mwisho kabisa baada ya jitihada zingine kushindikana ikiwemo majadiliano na mhusika," amesema Kayombo

"Tumeamua kuziachia hizi akaunti ili sasa tuwe tunakaa mezani na kujadiliana na wafanyabiashara wenye madeni namna bora ya kulipa taratibu taratibu na tunaachana na ule wa kushikilia akaunti zao," amesema Kayombo

Chanzo: NIPASHE
Nafikiri huu utaratibu unatakiwa uwe wa kimahakama na kisheria na sio utashi wa TRA.Kodi inapokuwa ni deni basi ipelekwe mahakamani kama kesi ya madai na iendeshwe kama kesi ya madai.Kama kesi ni Kukwepa kodi basi ifanywe kama Jinai.
 
Kama nilivyosema kuna watu wachache wanatumia sheria vibaya kukandamiza wafanyabiashara hilo ndio tatizo la msingi na hawa ndio wanaipa sura mbaya TRA.

Lakini malalamiko mengine ya wafanyabiashara pale utaratibu wa sheria unapofuatwa ni uelewa mdogo kwa upande wao wanawajibu gani.

Uwezi kuwalaumu wafanyabiashara entirely kwa sababu japo sheria zilikuwepo muda ila utumikaji waje aukuwa consistent.

Wafanyabuashara walizoea utamaduni legelege wa TRA ilipobadilika na kuanza kufuata sheria ndio malalamiko yalipoanza, issue hapo sio TRA ni mazoea. Humans by nature don’t like changes especially when they view it as being adverse ndio msingi wa malalamiko.

Just as about people were getting accustomed to the new TRA working culture, yanakuja maamuzi ya kupunguza nguvu ya ukusanyi wakati malalamiko yenyewe ni vitu ambavyo vya kawaida sana nchi za wenzetu.

Tatizo kubwa zaidi sio TRA, ni walipa kodi.
Wewe ni binadamu mwongo, fanya utafiti ikiwezekana fanya biashara.

Utaratibu wa kodi ni kukadiriwa au kujikadiria. Wanaojikadiria wanapeleka hesabu kila mwaka wa biashara, Kuna mashine za mauzo kwa aliyekuuzia na ww unayenunua. Kwa mfumo huu huwezi kwepa kodi kwa muda mrefu usikamatwe. Ukwepaji upo ila si wa mda mrefu utadakwa tu.

Tatizo ni kutaka kodi isiyo halali, mtu ana mali kauli kapewa auze, anauza anabakiwa na kafaida anarudisha pesa za watu, ww TRA unaona mzunguko wa m900 kwa mwezi kwenye account unahisi mtu anatengeneza pesa na ana pesa unataka kodi kubwa. Kumbe kwenye m900 mtu anachobaki nacho ni m3 zingine zote si zake.
 
Back
Top Bottom