TRA yafungulia akaunti zote za Wafanyabiashara zilizokuwa zimefungwa kutokana na madeni ya kodi

TRA yafungulia akaunti zote za Wafanyabiashara zilizokuwa zimefungwa kutokana na madeni ya kodi

Kwa nini walifungia na kwa nini wamezifungua kipindi hiki?
 
Kuna watu vichwa panzi wametuharibia uchumi sijui yalikua yanawaza kwa brain ipi? Shame on them!
 
TRA sasa wanavunja sheria; mkwepaji wa kodi anapaswa kupata staili yake
Sheria ya kuunda TRA ya mwaka 1996 inaunda vilevile TRA Tax Tribunal ambapo walipa kodi na Serikali hushitakiana kutafuta haki. Baada ya Tax Tribunal asiyeridhika hufuata mfumo wa rufaa hadi Mahakama Kuu then Court of Appeal.

Mwendazake hakuwa mtu wa kufuata Sheria, ndipo akaunda Tax force ambayo ilikuwa inawanyang'anya wafanya biashara fesha kwa kuwatishia kesi za Anti Money Laundering.

May Magufuli continue to rot in hell
 
Magufuli alikuwa dikteta,, angeifikisha pabaya Nchi yetu pendwa,,

Hakika Mungu ametenda miujiza
 
Kilatha, kunyang'anya fedha za wananchi kwa sababu ya miradi iliyoanzishwa bila mpangilio is TOTAL INSANITY.

Kurudi nyuma kama kuna tija siyo dhambi. Kwanza kule nyuma kwa akina JK na BWM kodi zilikusanywa, miradi iliyopangiliwa LOGICALLY ilifanyika, wafanyakazi walipata nyongeza za mishahara, wahitimu kwa asilimia fulani walipata ajira.

Tuachane na propaganda za Mwendazake kuwa eti yeye ndiye alikusanya kuliko wengine. Ni UWONGO
Kama nilivyosema kuna watu wachache wanatumia sheria vibaya kukandamiza wafanyabiashara hilo ndio tatizo la msingi na hawa ndio wanaipa sura mbaya TRA.

Lakini malalamiko mengine ya wafanyabiashara pale utaratibu wa sheria unapofuatwa ni uelewa mdogo kwa upande wao wanawajibu gani.

Uwezi kuwalaumu wafanyabiashara entirely kwa sababu japo sheria zilikuwepo muda ila utumikaji waje aukuwa consistent.

Wafanyabuashara walizoea utamaduni legelege wa TRA ilipobadilika na kuanza kufuata sheria ndio malalamiko yalipoanza, issue hapo sio TRA ni mazoea. Humans by nature don’t like changes especially when they view it as being adverse ndio msingi wa malalamiko.

Just as about people were getting accustomed to the new TRA working culture, yanakuja maamuzi ya kupunguza nguvu ya ukusanyi wakati malalamiko yenyewe ni vitu ambavyo vya kawaida sana nchi za wenzetu.

Tatizo kubwa zaidi sio TRA, ni walipa kodi.
 
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imezifungulia akaunti zote za wafanyabiashara ilizokuwa zimeshikiliwa kutokana na madeni ya kodi

Hayo yamesemwa leo mjini Morogoro na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa (TRA), Richard Kayombo, wakati akitoa mada kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri (TEF).

Kayombo amesema hivi sasa mamlaka hiyo inaingia mikataba ya makubaliano na wafanyabiashara hao wenye madeni ili walipe kwa utaratibu maalum.

Amesema sheria inairuhusuTRA kushikilia akaunti ya mtu yeyote ambaye anadeni la kodi kama njia ya kupata fedha ambazo serikali inadai.

Lakini Kayombo amesema uamuzi wa kushikilia akaunti ya mfanyabiashara huwa ya mwisho kabisa baada ya njia zingine zote kama majadiliano kushindikana.

"Sikawaida kushikilia akaunti ya mfanyabiashara na uamuzi huu mara nyingi unakuwaga wa mwisho kabisa baada ya jitihada zingine kushindikana ikiwemo majadiliano na mhusika," amesema Kayombo

"Tumeamua kuziachia hizi akaunti ili sasa tuwe tunakaa mezani na kujadiliana na wafanyabiashara wenye madeni namna bora ya kulipa taratibu taratibu na tunaachana na ule wa kushikilia akaunti zao," amesema Kayombo

Chanzo: NIPASHE
Walizuia pesa ambazo zingezalisha, je wata- compasate hasara zilizosababishwa na kuzuia mzunguko wa fedha hizo.
 
Truth be told, mazoea mabaya ya muda mrefu yamewafanya wafanyabiashara wengi wawe na kasumba ya kutoridhia kutii sheria bila shurti --- lugha ya kutoa kodi kwa hiari hawaielewi kamwe. Wamejifunza njia ya mikato, ujanjaujanja, wiziwizi, rushwarushwa, dilidili and the like. Sasa wakiletwa kwenye mstari, by definition, wao wanadhani wanaonewa. What!???

Matumizi mabaya ya kodi ndio yanafanya watu wasilipe kodi. Sina huduma ya maji halafu naona Chato Airport.
 
Hawa jamaa akili na taaluma zao zinashiliwa na wanasiasa .je walishikilia tu akaunti bila kuvuta mihela ya akaunti hizo? Kuna tetes kila walipozfunga wLiflash mpunga wLiokuta. Je mpunga wamerudsha? Kama wanahabar hamkumbana hyoo Jamaaa mumelisati Taifa!!
 
Aliyekua kamishna mkuu aliyeondolewa alikua na PhD. Hii itakua PhD ya Mambo ya saluni.
Utamfungiaje mtu akaunti? Maana yake Ni kwamba asizalishe kabisa, halafu asilipe Kodi kabisa. Sawa na kukata mkono unaokulisha.
 
Hilo somo kwenye kitabu changu cha ujasiriamali linaitwa 'The Entrepreneur and His Environment' Mjasiriamali na mambo yanayo mzunguka kuanzia ngazi ya familia hadi kimataifa. Naishukuru awamu ya 5 kwakukiongezea nyama za kutosha nichakimombo.Nimejadili kwa kina jinsi Siasa,Afya na mikingamo inayo mzunguka mjariamali vinavyoweza kuathili biashara political,physical and environmental factors affecting Entrepreneur ship 'Stay tuned to be released soon'
The macro and Microfactors factors ,the challenges to the Entrepreneurs sustainability!!
 
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imezifungulia akaunti zote za wafanyabiashara ilizokuwa zimeshikiliwa kutokana na madeni ya kodi

Hayo yamesemwa leo mjini Morogoro na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa (TRA), Richard Kayombo, wakati akitoa mada kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri (TEF).

Kayombo amesema hivi sasa mamlaka hiyo inaingia mikataba ya makubaliano na wafanyabiashara hao wenye madeni ili walipe kwa utaratibu maalum.

Amesema sheria inairuhusuTRA kushikilia akaunti ya mtu yeyote ambaye anadeni la kodi kama njia ya kupata fedha ambazo serikali inadai.

Lakini Kayombo amesema uamuzi wa kushikilia akaunti ya mfanyabiashara huwa ya mwisho kabisa baada ya njia zingine zote kama majadiliano kushindikana.

"Sikawaida kushikilia akaunti ya mfanyabiashara na uamuzi huu mara nyingi unakuwaga wa mwisho kabisa baada ya jitihada zingine kushindikana ikiwemo majadiliano na mhusika," amesema Kayombo

"Tumeamua kuziachia hizi akaunti ili sasa tuwe tunakaa mezani na kujadiliana na wafanyabiashara wenye madeni namna bora ya kulipa taratibu taratibu na tunaachana na ule wa kushikilia akaunti zao," amesema Kayombo

Chanzo: NIPASHE
Habari mbaya sana kwa wazee wa legacy, Tanzania mpya, make Tanzania great again,
 
Back
Top Bottom