TRA yampiga faini ya 3,500,000 dereva kisa kapakia tenga 27 za nyanya

TRA yampiga faini ya 3,500,000 dereva kisa kapakia tenga 27 za nyanya

EFD MACHINE zinatakiwa ziwe kwenye haya magari ya mizigo(Tandam, singo, canter, scania, mende na nyinginezo) Na Sio kwa wachuuzi wadogo wadogo.

Sasa unaponunua mzigo wako wa kuokoteza kwa wachuuzi wadogo wadogo basi hakikisha unaukatia risiti. Ambapo hizo risiti zinapatikana kwa watendaji wa vijiji.
Watendaji wa vijiji vyipi unaongelea mkuu? Au ni huko kijijiji kwenu mkuu.. mimi niko tandahimba uko katikati mtendaji wa kijiji hajui chochote kuhusu efd machine halafu anatokea mtu kama wewe unasema nikachukue risiti kwa mtendaji wa kijiji, sasa nashindwa nikuelewe vip maana watendaji unaowaongelea wewe hawana elimu kuhusu iyo efd machine.

Kama mimi dreva nipo newala, katavi uko ndani ndani napataje iyo risiti?
 
Watendaji wa vijiji vyipi unaongelea mkuu? Au ni huko kijijiji kwenu mkuu.. mimi niko tandahimba uko katikati mtendaji wa kijiji hajui chochote kuhusu efd machine halafu anatokea mtu kama wewe unasema nikachukue risiti kwa mtendaji wa kijiji, sasa nashindwa nikuelewe vip maana watendaji unaowaongelea wewe hawana elimu kuhusu iyo efd machine.

Kama mimi dreva nipo newala, katavi uko ndani ndani napataje iyo risiti?
Kwanza Jifunze Kujibu hoja kwa upole coz hapa hatujadili Chelsea.
Majibu ya swali lako.
Kama watendaji wa vijiji kwa huko kwenu hawana EFD machine Fanya hivi.
Hapo uliponunua mzigo wako Muulize ntawezaje kukatia risiti huu mzigo. Huwa wanajua ni wapi.
Pili ikitokea hajui Basi Fanya hivi Nenda kwenye Yale mageti (ushuru wa mazao) yako barabarani waambie wakukatie risiti
 
Kwanza Jifunze Kujibu hoja kwa upole coz hapa hatujadili Chelsea.
Majibu ya swali lako.
Kama watendaji wa vijiji kwa huko kwenu hawana EFD machine Fanya hivi.
Hapo uliponunua mzigo wako Muulize ntawezaje kukatia risiti huu mzigo. Huwa wanajua ni wapi.
Pili ikitokea hajui Basi Fanya hivi Nenda kwenye Yale mageti (ushuru wa mazao) yako barabarani waambie wakukatie risiti
Sawa, ila haya yafanyike
Kwa kuangalia aina ya bidhaa, jamani, hadi chakula?, mtaua watu njaa
 
Sawa, ila haya yafanyike
Kwa kuangalia aina ya bidhaa, jamani, hadi chakula?, mtaua watu njaa
Francis
Hizi mambo mwenyewe naandika ila naumia maana yameshanitesa sana. Ndio maana nahitahidi kufunguka sana ili wenzangu wasikutwe na haya mambo. Lakini watu baadhi wanafanya kama utani hivi. Ila nawaambia usiombe hawa TRA wakukute na hiyo ishu halafu afisa awe ni chalii tu utajuta. Siku moja Mimi nimekatia mzigo risirt vizuri tu na picha niliipiga lakini ile risiti ilipotea nimefika pale makuyuni naambiwa risiti siioni nikawambia Hii hapa kwenye simu, ilikuwa balaa maana tuliongea takribani masaa matatu hapo
 
Francis
Hizi mambo mwenyewe naandika ila naumia maana yameshanitesa sana. Ndio maana nahitahidi kufunguka sana ili wenzangu wasikutwe na haya mambo. Lakini watu baadhi wanafanya kama utani hivi. Ila nawaambia usiombe hawa TRA wakukute na hiyo ishu halafu afisa awe ni chalii tu utajuta. Siku moja Mimi nimekatia mzigo risirt vizuri tu na picha niliipiga lakini ile risiti ilipotea nimefika pale makuyuni naambiwa risiti siioni nikawambia Hii hapa kwenye simu, ilikuwa balaa maana tuliongea takribani masaa matatu hapo
Jangwani pale wapo wanatega kuna wakati fulani nilipakia sub woofer box kadhaa nmetoa kwenye godown napeleka jangwani kuzituma mkoaa pale jangwani walitupiga tanchi
Sema tuliimba nao sana tukaelewana tukaachna

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Kwa wasioelewa Ni hivi kama we ni mnunuzi wa mazao vijijini au mazao ya mbogamboga Kama nyanya,karoti n.k unachotakiwa kua nacho Ni tax clearance kutoka TRA ambayo ndio unaitumia kukatiwa ushuru wa zao ulilobeba na unapopakia kwenye gari mmiliki wa gari au dereva anatakiwa kukupa risiti ya EFD. Kwa hiyo unapokutana na watu wa TRA watachodai kwako ww mfanyabiashara wa mazao Ni tax clearance na risiti ya ushuru na dereva atatakiwa kuonyesha risiti ya EFD.
 
Biashara yenyewe ya nyanya
Hakuna biashara yenye risk kama nyanya
Kwanza kuoza kingine soko lenye halieleweki
Unaweza ambiwa bei ya tenga leo ni 27000
Ukafika sokoni unambiwa bei ni 15000 kwa tenga
Haya sasa nenda kawauzie wakina wakina baresa na wengine uone wakatavyo kugarazaaa .

Ova
Mkuu hiyo kodi hatozwi mwenye nyanya, hiyo kodi anaitwa msafirishaji yaani mwenye gari.
Inakatwa kwa transportor kutoka katika gharama alizo mtoza mwenye mzigo.
Kama vile 18% ya VAT.

Kama kila tenga alimtoza mwenye nyanya 10,000/= basi yeye atalipa kodi TRA ambayo ni 1,800/= kila tenga.
Hiyo haimhusu kabisa mkulima.
 
Kwa wasioelewa Ni hivi kama we ni mnunuzi wa mazao vijijini au mazao ya mbogamboga Kama nyanya,karoti n.k unachotakiwa kua nacho Ni tax clearance kutoka TRA ambayo ndio unaitumia kukatiwa ushuru wa zao ulilobeba na unapopakia kwenye gari mmiliki wa gari au dereva anatakiwa kukupa risiti ya EFD. Kwa hiyo unapokutana na watu wa TRA watachodai kwako ww mfanyabiashara wa mazao Ni tax clearance na risiti ya ushuru na dereva atatakiwa kuonyesha risiti ya EFD.
Ikiwa kodi hii ni ya ushauri wa mazao, iweje kasha chache za nyanya zisizo zaidi tank moja adaiwe ushuru/kodi?

Zingatia agizo la Mh.Raisi Magufuli kuhusu ushuru wa mazao chini ya tano moja.
 
Hiyo pesa ndio inayonunua shangingi mpya kila wanapopata kiongozi mpya kule mjengoni!
 
Ndio maana tumeweza kununua ndege zetu. Na Mheshimiwa akiwatembelea kwenu, ukilia: Oooh! Mzee hatuna Kituo cha afya, jibu: "Hivi Waziri wa Fedha yupo hapa kweli?" Pembeni yake:"Nipo Mkuu". Amri: "Hebu sasa hivi idhinisha Tshs Bilioni mbili kijengwe kituo cha Afya hapa ndani ya miezi mitatu tu!! Kinyume na hapo ujitathmini kama hiyo nafasi inakutosha. Nadhani nimeeleweka". Jibu kutoka pembeni: " Umeeleweka Mkuu". Mkuu anaendelea: "Hilo limekwisha, kuna lingine?" Kimya!! Mkuu: "Jamani twendeni zetu"
Ujinga
 
Watendaji wa vijiji vyipi unaongelea mkuu? Au ni huko kijijiji kwenu mkuu.. mimi niko tandahimba uko katikati mtendaji wa kijiji hajui chochote kuhusu efd machine halafu anatokea mtu kama wewe unasema nikachukue risiti kwa mtendaji wa kijiji, sasa nashindwa nikuelewe vip maana watendaji unaowaongelea wewe hawana elimu kuhusu iyo efd machine.

Kama mimi dreva nipo newala, katavi uko ndani ndani napataje iyo risiti?
Zimeshaenea kila kona
 
Haina shida maana mama Na baba Wa wafanyakazi Wa Tra ndo watakaoumia. Baadhi ya wafanyabiashara watafunga bishara ila mnunuzi wa mwisho atakoma. Busara itumike. Narudia tena tumieni BUSARA!
 
Ikiwa kodi hii ni ya ushauri wa mazao, iweje kasha chache za nyanya zisizo zaidi tank moja adaiwe ushuru/kodi?

Zingatia agizo la Mh.Raisi Magufuli kuhusu ushuru wa mazao chini ya tano moja.
Hilo unalosema ni agizo la raisi ni maneno tu. Ila mambo kwa ground ni tofauti.
Hata uwe na Gunia tano Utalipa ushuru tu
 
Hilo unalosema ni agizo la raisi ni maneno tu. Ila mambo kwa ground ni tofauti.
Hata uwe na Gunia tano Utalipa ushuru tu
Mkuu si kweli kuna siku nimepanda gari dogo limebeba boksi 27 za nyanya toka shamba la jirani hadi hapa Dar jamaa hawakutozwa ushuru wa mazao.

Acheni uzushi. Saa nyingine ikitokea umetozwa ni uhuni wa watendaji wa chini siyo agizo la Waziri au raisi au TRA makao makuu.

Kwa vile wewe mwenye mzigo unaogopa utaharibika inabidi ulipe tu badala ya kukomaa kudai haki yako kea kuchoma kulipa huo ushuru.
 
Tax administration act s86(1)(b), failure to issue fiscal receipt
Sheria zipo je nani yupo kuzifafanua hizo sheria katika lugha nyepesi, sio kila mtu anajua lugha ya kigeni au anajua lugha za kisheria,watu waelimishwe kuliko kupewa adhabu sana
 
Kipo kilio kwa wafanyabiashara wenye deni la kodi kufungiwa kutoa pesa " Agency notice" waraka wa TRA maelekezo bank husika ya mteja. Waziri wa fedha, biashara nk washauri vinginevyo watu wengi wawezao wataepuka mfumo wa bank hivyo kuharibu mfumo mzima wa uchumi!
Nadhani Benki zitakosa fedha toka kwa wafanyabiashara.kwa sababu sheria inawapa TRA kufunga na kukomba hela za watu.hiz ni nguvu za kupita kiasi kwa kweli
 
Back
Top Bottom