TRA yampiga faini ya 3,500,000 dereva kisa kapakia tenga 27 za nyanya

TRA yampiga faini ya 3,500,000 dereva kisa kapakia tenga 27 za nyanya

Hujawahi kufanya biashara acha kujidanya
Nilikuwa natoa maoni tu.
Nimeshasema tangu awali pale chini kwamba maoni yangu si lazima yawe sahihi.

Kwa hivyo ukiona makosa ktk maoni yangu ni sawa tu huenda wewe upo sahihi.

Ningekushauri nawe uweke maoni yako ili wenye dhamana wayatumie kutatua changamoto iliyopo. Na wengine tujifunze kitu.
 
Duh! Kwa utaratibu huu wa elimu yao hiyo, dereva ameadhibiwa wakati amevunjiwa" haki yake ya kikatiba ya kuhabarishwana kuelimishwa" bila vikwazo!

Si sawa hata kidogo kumnyima raia "haki yake ya kikatiba" wakati huo huo unatunia kunyima haki yake hiyo kumuadhibu.
... "amenyimwa haki yake ya kikatiba ya kuhabarishwa na kuelimishwa"; justification ya hiyo kitu ndipo tatizo lilipo. Ni MKWEPA KODI yupi pindi akikamatwa atakubali elimu ya kodi anayo ila kafanya makusudi kuikwepa? Kila mmoja utetezi utakuwa "sijui" hata kama habari na elimu ya kodi anayo!

Ingelikuwa baada ya kuhabarishwa na kuelimishwa mwananchi anasaini mahali kwamba "nimeelewa" au anapewa cheti ingekuwa rahisi! Ila kwa kuwa always utetezi utakuwa "sikuwa na habari", hakuna namna zaidi ya kutumia ile kanuni maarufu ya kisheria "ignorance of the law excuses no one".
 
Sass mwenye gari risiti ya efd anatoa wapi?
Kwa mfano una semi imepakia mahindi junia 300 kutoka simiyu kuja dar,yule mwenye mzigo atakatiwa risiti ya ushuru kila junia tsh 1000 ,sawa na 300,000, hizo anatoa mwenye mzigo na lazima awe na leseni ya kuuza na kusafirisha mazao,anakua anatemb
ea na copy,
Mwenye gari,tuseme makubaliano na mwenye mzigo ni milioni 2 kusafirisha hadi dar,
Hivyo atatia risit ya EFD ya transport, ambayo makato yake ni ya VAT,,about kama tsh laki 3 na ushee,zitakatwa katika hiyo milioni 2 ya transport,,zinazobaki ndo pesa za Transporter
 
Nimekuelewa.sasa ikiwa ndo zile za kusaidia Kama pale mkata?.
Maana gunia moja Mara ya mwisho nilienda walikuwa wanachukua elfu 5.
Hauoni Kama unamuuza dereva?na kusababisha madereva waanze kuogopa kutoa msaada
Hiyo risiti aliyopigwa faini,haihusiani na mzigo,,hiyo ni ya Transporter,,yaani mwenye gari kafanya biashara lazima alipe kodi,
Mwenye nyanya analipa ushuru
 
Nimekuelewa.sasa ikiwa ndo zile za kusaidia Kama pale mkata?.
Maana gunia moja Mara ya mwisho nilienda walikuwa wanachukua elfu 5.
Hauoni Kama unamuuza dereva?na kusababisha madereva waanze kuogopa kutoa msaada
Sheria tatizo haielewi mambo ya misaada ,kila Transporter lazima awe na mashine na kila akipakia mzigo sharti kutoa risiti ya EFD.
Madereva hawatembei na machine bali hutumiwa risiti kwa njia ya wasapu na boss ama kiongozi wao,like transport manager,etc,
Hivyo dreva akipakia mzigo bila taarifa ya boss wake,hawezi kuwa na risiti na akikamatwa ndo hiyo faini sasa ina apply..
 
Kama NI hivyo wanalia wengi
Sheria tatizo haielewi mambo ya misaada ,kila Transporter lazima awe na mashine na kila akipakia mzigo sharti kutoa risiti ya EFD.
Madereva hawatembei na machine bali hutumiwa risiti kwa njia ya wasapu na boss ama kiongozi wao,like transport manager,etc,
Hivyo dreva akipakia mzigo bila taarifa ya boss wake,hawezi kuwa na risiti na akikamatwa ndo hiyo faini sasa ina apply..
 
Biashara yenyewe ya nyanya
Hakuna biashara yenye risk kama nyanya
Kwanza kuoza kingine soko lenye halieleweki
Unaweza ambiwa bei ya tenga leo ni 27000
Ukafika sokoni unambiwa bei ni 15000 kwa tenga
Haya sasa nenda kawauzie wakina wakina baresa na wengine uone wakatavyo kugarazaaa .

Ova
 
Mzee,nenda kijiji chochote ndani ndani ukapakie mfano njugumawe,,utashangaa kabla fuso haijajaa mdada huyu hapa na EFD machine,anasubiria hela,yaani haina kukwepa,
Au nasema uongo nduguzanguni..?
Ndio maana tumeweza kununua ndege zetu. Na Mheshimiwa akiwatembelea kwenu, ukilia: Oooh! Mzee hatuna Kituo cha afya, jibu: "Hivi Waziri wa Fedha yupo hapa kweli?" Pembeni yake:"Nipo Mkuu". Amri: "Hebu sasa hivi idhinisha Tshs Bilioni mbili kijengwe kituo cha Afya hapa ndani ya miezi mitatu tu!! Kinyume na hapo ujitathmini kama hiyo nafasi inakutosha. Nadhani nimeeleweka". Jibu kutoka pembeni: " Umeeleweka Mkuu". Mkuu anaendelea: "Hilo limekwisha, kuna lingine?" Kimya!! Mkuu: "Jamani twendeni zetu"
 
Tenga 27 kwa bei ya juu kabisa ya mwezi uliopita ni 675,000 Tsh.

Faini inapigwa 3,500,000. Mfano angelipa kodi ilitakiwa iwe shilingi ngapi?

Kuna miongozo ya faini? Mfano thamani ya kipi inaangaliwa mpaka kuamua mzigo wa 675,000 faini iwe 3,500,000?
Kama ni tenga (la mianzi) bei ni 500/= kwa tenga. Kama ni box la mbao bei ni 300/=. Japo hutegemeana na wilaya anayokatia.
NB: hiyo sio kodi, ni ushuru wa halmashauri.
 
Ndio maana tumeweza kununua ndege zetu. Na Mheshimiwa akiwatembelea kwenu, ukilia: Oooh! Mzee hatuna Kituo cha afya, jibu: "Hivi Waziri wa Fedha yupo hapa kweli?" Pembeni yake:"Nipo Mkuu". Amri: "Hebu sasa hivi idhinisha Tshs Bilioni mbili kijengwe kituo cha Afya hapa ndani ya miezi mitatu tu!! Kinyume na hapo ujitathmini kama hiyo nafasi inakutosha. Nadhani nimeeleweka". Jibu kutoka pembeni: " Umeeleweka Mkuu". Mkuu anaendelea: "Hilo limekwisha, kuna lingine?" Kimya!! Mkuu: "Jamani twendeni zetu"
Halafu miaka inasonga bila kutekelezwa.
Maagizo ya hivi ni mengi sana yalitolewa lakini yaliyotekelezwa sidhani kama yanafika hata asilimia 10.
 
Kama ni tenga (la mianzi) bei ni 500/= kwa tenga. Kama ni box la mbao bei ni 300/=. Japo hutegemeana na wilaya anayokatia.
NB: hiyo sio kodi, ni ushuru wa halmashauri.
Ila kiukweli hatuwezi kuishi kwa kukamua damu hadi maiti, serikali isiwe kama roboti, akili na busara zitumike!
 
Sheria tatizo haielewi mambo ya misaada ,kila Transporter lazima awe na mashine na kila akipakia mzigo sharti kutoa risiti ya EFD.
Madereva hawatembei na machine bali hutumiwa risiti kwa njia ya wasapu na boss ama kiongozi wao,like transport manager,etc,
Hivyo dreva akipakia mzigo bila taarifa ya boss wake,hawezi kuwa na risiti na akikamatwa ndo hiyo faini sasa ina apply..
Kwahiyo serikali ilivyozima mitandao ikiwemo ‘Wasapu’ ilikuwa inategemea nini hasa?
 
Nchi haina pesa hii soon TRA watapatatiwa Hadji ya jeshi usu ili wakusanye kodi kwa nguvu
 
Tunakoelekea, bei ya mazao yanayoharibika kwa haraka itapanda sana, kula vitu kama nyanya na vitunguu itakuja kuwa ni anasa, serikali ichukue hatua sasa juu ya hili, ikiwezekana pawe na exemption kwa mazao ya chakula yanayoharibika kwa haraka na yasiyozidi kiwango flani kudaiwa risiti za usafirishaji, lazima tutumie akili, tutaua wakulima na wananchi njaa bila sababu za msingi, ahsante kwa mchango wako mzuri sana, tutaufanyia kazi. Ngoja nijadiliane na mbunge hapa.
Wewe ni mbunge wa jimbo gani?
 
Back
Top Bottom