Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Ni kweli kabisa.Faini ni adhabu aisee
Je adhabu itatolewa hata kama haiendani na kosa? Mwanao akitega shule adhabu yake itakua kumkata miguu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa.Faini ni adhabu aisee
Kila la Heri mkuuThubutu!
Wakulia nani? [emoji2369]
Acha mikwala yako mbuzi hapa!
Kuwa Officer wa TRA ni mgawanyo wa majukumu tu na hao ni watumishi wetu sisi wananchi na wanalipwa kodi zetu!
Tusitishane wala nini!
nadhani watu wengi wameogopa TRAHaha...
Msemo huu unaanza kushika kasi.
Kaka yangu kaniambia kitu kama hicho siku 7 zilizopita.
Tulikuwa tunajadiri biashara flani kwa ajiri ya kupata pesa ya mboga nyumbani.
Mkuu ukifanya hivyo magari yatapukutika barabarani. Madereva hawahusiki kwa lolote linalohusiana na matengenezo/tozo au malipo mbalimbali ya gari bali yanamhusu Mmiliki wake.
Sasa unapowaruhusu madereva kupakia mizigo mbali mbali bila idhini ya mmiliki wa gari hilo litawapelekea baadhi ya madereva kuwa waongo. Mf kuna aina mbili za usafirishaji kwa magari ya mizigo
1. Transit Goods
2. Local Goods
Nizungumzie hiyo ya kwanza dereva anaweza kupakia mzigo toka Bandarini Dar kwenda Rwanda. Wakati wa kurudi atarudi tupu. Sasa basi dereva anaweza kupata mzigo kutoka mpakani kuja Njia Panda ya Nyakanazi lkn mzigo huo utamaliza taratibu za malipo baada ya siku mbili. Dereva anaweza kumdanganya mmiliki wa gari kuwa gari lile limepata hitilafu mpakani wakati wa kurudi kumbe ni uongo.
Dereva yule atapoteza siku kadhaa njiani kwakuwa ameshapata chochote bila kujali kuwa gari lile lilitakiwa lifike mapema na kufanyiwa service kisha kupakia mzigo mwingine wa kwenda DRC.
Hapa mmiliki atalazimika kukodi gari lingine la kubeba ule mzigo ili asipoteze tender yake ile. Sasa basi kwanini TRA wambane dereva anapopakia mzigo wa njiani?? TRA ndiyo wanaokuwa walinzi na wasimamizi wa gari lile linapokuwa mbali na mmiliki. Hivyo basi dereva mara apatapo mzigo wa njiani anapaswa kumtaarifu mmiliki kisha mmiliki akamtengenezea hati ya malipo kisha akamfowardia control no na dereva kufanya malipo halali ya Serikali.
Hapo wote wawili Dereva na Mmiliki watakuwa salama.
Kwa hizi Local Goods ni rahisi kuzi monitor kwani hayana tofauti na mabasi. Kuna mawakala sehemu mbali mbali ndani ya Nchi kulingana na routes zako.
Wao wanajilipa mamilioni meengii wengine 9, wengine 12, wengine 15 huyu dereva wa watu pengine salary ni laki 5 au 6Madereva bado wanafikiri hii ni awamu ya 4!
Unamwamini mwanasiasa kwa asilimia ngapi mkuu?Rais alisema kama mzigo wako haijavuka tani moja usilipe kodi.
Na karudia rudia mara kibao.
Kwa hio sijaelewa.
Au yale yalikuwa maneno ya majukwaani???
Raisi alizungumzia ushauri wa mazao na siyo kodi ya biashara ya kusafirisha vitu.Lile ni tamko tu, ila halibadilishi nguvu ya sheria waliyonayo hao jamaa
Mkuu faini ni adhabu. Mara nyingi inakuwa kubwa kuliko pesa uliyokwepa kulipa ili usirudie tena kukwepa kodi.Tenga 27 kwa bei ya juu kabisa ya mwezi uliopita ni 675,000 Tsh.
Faini inapigwa 3,500,000. Mfano angelipa kodi ilitakiwa iwe shilingi ngapi?
Kuna miongozo ya faini? Mfano thamani ya kipi inaangaliwa mpaka kuamua mzigo wa 675,000 faini iwe 3,500,000?
Shauri nini kifanyike sio unaweka vitu kama hivi au kejeli.
Mwenye nguvu mpishe, usipompisha unaumia. Mifumo ya dunia iko hivyo na kamwe dunia haitakaa iwe na haki wala usawa.Wao wanajilipa mamilioni meengii wengine 9, wengine 12, wengine 15 huyu dereva wa watu pengine salary ni laki 5 au 6
Ni kweli lakini nini kinatathmini ukubwa upi unatosha?Mkuu faini ni adhabu. Mara nyingi inakuwa kubwa kuliko pesa uliyokwepa kulipa ili usirudie tena kukwepa kodi.
Uone ni bora kulipa kuliko kuja kukutana na hiyo adhabu.
Tenga 27 kwa bei ya juu kabisa ya mwezi uliopita ni 675,000 Tsh.
Faini inapigwa 3,500,000. Mfano angelipa kodi ilitakiwa iwe shilingi ngapi?
Kuna miongozo ya faini? Mfano thamani ya kipi inaangaliwa mpaka kuamua mzigo wa 675,000 faini iwe 3,500,000?
Kwahiyo kutotoa risiti haijalishi ni ya shilingi 5000, laki saba au laki nane faini ni milioni tatu na nusu?Hapo umehama topic: Kesi iliyopo siyo kodi ya mzigo au mazao, bali kesi ni kwa dvr kupakia mzigo na kupokea gharama za usafirishaji bila kutoa risiti ya EFD ama nyaraka ya Kampuni ya kibali cha kusafirisha mzigo wa aina hiyo.
I believe sheria hizi zilikuwepo toka zamani lakini kulikuwa hakuna usimamizi serious kama sasa..
Kwahiyo kutotoa risiti haijalishi ni ya shilingi 5000, laki saba au laki nane faini ni milioni tatu na nusu?
Mkuu inatakiwa msafirishaji atoe risiti kwa huduma ya usafiri ,Sijakataa hyo faini.
Suala mzigo ulikuwa unatoka SHAMBA.
Na huyo derev kwa maelezo ya mleta mada.
Dereva alimsaidia tu huyo mwenye mazao yake..
Hata pale mkata Kuna watu ukaa na msgunia yao ya machungwa n.k wanasubiri malori ya kurudi nayo dar.kosa la dereva lipo wapi?
Not a chance , transporter hahusiki na mizigo midogo midogo Kama hiyo , yeye keshaandika ristii yake ya mzigo kwenda kongo anajua gari lake linarudi empty , hawezi kuandika risrit za namna hiyo ni hasara kwake , dereva akijiongeza ndo inatokea mlipuko Kama huoHapa tunamzungumzia transporter lazima awe na efd machine kwa ajiri ya kuwapa risiti hao anaowabebea mazao eg tenga moja elfu 2 basi ampe na risiti.
Naelewa sana Bakoi.. ila kutokuwepo kwake mtaani haimaanishi Sheria haipo.. ni ukaidi tu wa wafanyabiasharaCapital G huko mabarabarani Hakuna manual receipts zaidi ya EFD receipts.
Eleweni Hili ndugu zangu.