TRA yampiga faini ya 3,500,000 dereva kisa kapakia tenga 27 za nyanya

TRA yampiga faini ya 3,500,000 dereva kisa kapakia tenga 27 za nyanya

Hapa sisi hatumuongelei mkulima anayekuuzia tenga mia za nyanya ndo akupe risiti , no Sio jukumu lake hilo
Wewe unaponunua hizo tenga 100 za nyanya kuna watendaji huko vijijini ndo wanakuktaia risiti ya EFD au kuna mageti huko ya kukata risiti.

Kwa hiyo elewa Sio mkulima anayekuuzia tenga mia ndo anatakiwa akupe risiti.


Hiyo Sheria ipi inayoelekeza huo utaratibu? Kifungu gani cha sheria?
 
Hiyo ni kwa ambaye tayari ana vigezo vya kuwa na mashine ya EFD na tayari anayo.

Kumbuka sheria ya EFD inahusu wale wenye mauzo ya kuanzia milioni 10-14 unless uniambia sheria imebadilishwa kwamba kila muuzaji wa thamani yoyote kwa Mwaka hata 1000,000 anatakiwa kuwa na EFD mashine.

Tuwe makini ktk kujadili ili tusipotoshe watu.
Sheria ni mauzo ghafi (turnover) ya 14 million and above.. kama si zaidi ya hapo issue manual receipts!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana haitatokea kamwe!

Kwanza nikwambie sheria huwa haimui moja kwa moja , hakimu au mwamuzi huwa anangalia pia facts around the case!

Dereva ametoka masafa marefu amepigika halali mchana wala usiku, milima na mabonde ni yake, huku kaacha nyumbani hakuna hela wala chakula, Boss wake kamwambia hela nitakumia au utakuta utakaporudi, ikitokea ana akiba amekuta nyanya njiani au mkaa amepakia mnamwambia awape EFD receipt?
Mkuu narudia tena achana na hisia na hizo Huruma zako. Zingatia sheria.
Kwa hiyo Wewe ukiwa na njaa ya siku tatu na huna hela Basi Unatakiwa kumpora mtu hela ili ununulie chakula?? Na utamweleza hakimu nilikuwa na njaa?? Think twice mkuu.
Na elewa ukishapigwa faini na TRA hiyo Gari haitoki hapo Mpaka ulipe. Sio faini za polisi hizo.

Kwa hiyo acha kutengeneza mazingira sijui hajaacha hela nyumbani sijui tajiri hajamlipa na blaa blaah zingine.
FUATA SHERIA INAVYOTAKA.
SHERIA HAINA HURUMA
 
Hiyo ni kwa ambaye tayari ana vigezo vya kuwa na mashine ya EFD na tayari anayo.

Kumbuka sheria ya EFD inahusu wale wenye mauzo ya kuanzia milioni 10-14 unless uniambia sheria imebadilishwa kwamba kila muuzaji wa thamani yoyote kwa Mwaka hata 1000,000 anatakiwa kuwa na EFD mashine.

Tuwe makini ktk kujadili ili tusipotoshe watu.

Kama huna vigezo vya kutumia mashine ya EFD sheria inakutaka utoe risiti ya kuandika kwa mkono.
 
Mimi nashauri nguvu kubwa ielekezwe maeneo ya mijini hususa DSM na miji mingine, huko wananchi wanunuzi wapewe elimu na ujasiri wa kudai risiti ya EFD inayoendana na thamani ya manunuzi sahihi yaliyofanyika.

Kupewa risiti siyo hisani ya muuzaji bali ni wajibu wake Yani alazimika kisheria risiti ya kiwango sahihi.

Lakini kwa waTZ wengi kutokuwa aware wengi hawadai risiti, na wakidai wanaambiwa mashine mbovu basi wanaondoka.

Awareness is empowering and vice versa!

Mtu anaenda Kariakoo na kwingine ananunua bidhaa za pesa nyingi lakini receipt ya EFD imeandikwa senti tu kidogo tofauti na thamani halisi halafu mwananchi hastuki kuwa hapa nimeibiwa mimi na serikali yetu imepoteza mapato makubwa wakati tunataka maendeleo mbalimbali.
 
TRA wanalazimisha namba ziwe kubwa katika ripoti ya ukusanyaji wa mapato.....upuuzi kwelikweli
 
Mkuu narudia tena achana na hisia na hizo Huruma zako. Zingatia sheria.
Kwa hiyo Wewe ukiwa na njaa ya siku tatu na huna hela Basi Unatakiwa kumpora mtu hela ili ununulie chakula?? Na utamweleza hakimu nilikuwa na njaa?? Think twice mkuu.
Na elewa ukishapigwa faini na TRA hiyo Gari haitoki hapo Mpaka ulipe. Sio faini za polisi hizo.

Kwa hiyo acha kutengeneza mazingira sijui hajaacha hela nyumbani sijui tajiri hajamlipa na blaa blaah zingine.
FUATA SHERIA INAVYOTAKA.
SHERIA HAINA HURUMA


Nakwambiaje sheria pia huangalia facts around the case ktk kufikia uamuzi na siyo hivi hivi tu.

Busara pia itumike katika utendaji kazi wa kila siku na siyo kufanya kama kukomoana vile.
 
Nakwambiaje sheria pia huangalia facts around the case ktk kufikia uamuzi na siyo hivi hivi tu.

Busara pia itumike katika utendaji kazi wa kila siku na siyo kufanya kama kukomoana vile.
Endelea na hizi hisia mkuu.
Hizo facts unazoongolea sijui ni zipi maana hapa hujazitaja hata moja.
Wakati huo hizo unazoita facts kumbuka hapo una Mali kuoza na Unatakiwa uwahi kuingia sokoni.
WEWE SIKU UKIINGIA KWENYE 18 ZA HAO JAMAA UTALIA KAMA MTOTO MDOGO.








NARUDIA TENA ACHA HISIA KWENYE MAMBO YA SHERIA.
KUTOKUJUA SHERIA HAIMAANISHI UTASAMEHEWA
 
Huyo dereva tenga zote hizo za nyanya alipewa bure au alizinunua?
Kwa tenga zote hizo ina maana huyo anaenda kufanya biashara au ni magendo...




Cc: mahondaw
 
Endelea na hizi hisia mkuu.
Hizo facts unazoongolea sijui ni zipi maana hapa hujazitaja hata moja.
Wakati huo hizo unazoita facts kumbuka hapo una Mali kuoza na Unatakiwa uwahi kuingia sokoni.
WEWE SIKU UKIINGIA KWENYE 18 ZA HAO JAMAA UTALIA KAMA MTOTO MDOGO.








NARUDIA TENA ACHA HISIA KWENYE MAMBO YA SHERIA.
KUTOKUJUA SHERIA HAIMAANISHI UTASAMEHEWA


Thubutu!
Wakulia nani? [emoji2369]

Acha mikwala yako mbuzi hapa!

Kuwa Officer wa TRA ni mgawanyo wa majukumu tu na hao ni watumishi wetu sisi wananchi na wanalipwa kodi zetu!

Tusitishane wala nini!
 
Rais alisema kama mzigo wako haijavuka tani moja usilipe kodi.
Na karudia rudia mara kibao.

Kwa hio sijaelewa.
Au yale yalikuwa maneno ya majukwaani???
Tenga moja ya nyanya = kilo ngapi?
Tenga 27 = ?

Tuanzie hapo kwanza???
 
Tenga 27 kwa bei ya juu kabisa ya mwezi uliopita ni 675,000 Tsh.

Faini inapigwa 3,500,000. Mfano angelipa kodi ilitakiwa iwe shilingi ngapi?

Kuna miongozo ya faini? Mfano thamani ya kipi inaangaliwa mpaka kuamua mzigo wa 675,000 faini iwe 3,500,000?
Faini ni adhabu aisee
 
Sio muumin wa Hii serikali ila ukweli Lazima usemwe.kwa hilo swala lako Dereva ana makosa kwasababu alitakiwa amkatie risiti ya EFD Huyo mteja wake ya huo mzigo.

Kwa hiyo Kosa hapa liko kwa dereva . Kwanini hakumkatia risiti ya EFD mashine Huyo mteja wake?
Wacha limkute
What if mwenye mzigo hakuwa amelipa? Jambo jingine, kwani kila mwenye gari anatakiwa kuwa na EFD?
 
I wish ningekuwa commissioner wa TRA ningefukuza kazi hao wafanyakazi wa TRA, huo ni uonevu, common sense inahitajika, we’ve to relax some rule ili kuruhusu watu kukuza/kuanzisha biashara zao
Jakaya alishawahi kuwauliza tanroad kipindi cha bomoabomoa,"hivi kama mngelikuta jengo la makumbusho ya kale lipo kwenye hifadhi ya barabara mngelibomoa?."jakaya hapa alimaanisha kuna muda busara na hekima vinahitajika kuliko sheria.
 
Endelea na hizi hisia mkuu.
Hizo facts unazoongolea sijui ni zipi maana hapa hujazitaja hata moja.
Wakati huo hizo unazoita facts kumbuka hapo una Mali kuoza na Unatakiwa uwahi kuingia sokoni.
WEWE SIKU UKIINGIA KWENYE 18 ZA HAO JAMAA UTALIA KAMA MTOTO MDOGO.








NARUDIA TENA ACHA HISIA KWENYE MAMBO YA SHERIA.
KUTOKUJUA SHERIA HAIMAANISHI UTASAMEHEWA

Hawajui TRA huyo jamaa anaongea tu[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom