Aliongea hayo maneno akiwa amevaa suti?Rais alisema kama mzigo wako haijavuka tani moja usilipe kodi.
Na karudia rudia mara kibao.
Kwa hio sijaelewa.
Au yale yalikuwa maneno ya majukwaani???
Angalia post iliyofuata baada ya hii post yangu uliyoi quote.Aliongea hayo maneno akiwa amevaa suti?
au shati la rangu gan?
Zitaozea shambani.Huyo dereva aache kazi atafute namna nyingine tu ya kuishi, pia serikali itumie busara, jamani, sasa nyanya zinakuwa bei nafuu sababu ya kujiongeza katika usafirishaji, vinginevyo vyakula vitakuwa bei juu sana na wananchi watateseka, busara itumike
Mashine ni ya ofisi, sio ya dereva na dereva kajiongeza na huku kujiongeza ndio hufanya vyakula viwe bei nafuu hata wanyonge wanaweza kumudu kula, sasa tukikaza kila kona hadi kwenye vyakula tutaumiza wanyonge, busara iwe inatumika.Sio muumin wa Hii serikali ila ukweli Lazima usemwe.kwa hilo swala lako Dereva ana makosa kwasababu alitakiwa amkatie risiti ya EFD Huyo mteja wake ya huo mzigo.
Kwa hiyo Kosa hapa liko kwa dereva . Kwanini hakumkatia risiti ya EFD mashine Huyo mteja wake?
Wacha limkute
Mkuu iwe Tandam, singo au canter Dereva unapopakia mzigo ni Lazima umkatie risiti mteja wako na hayo magari ni lazima yawe na EFD mashine. Kwa mfano ukiwa unatoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora, Singida na Manyara kuja Arusha na Moshi utakutana na TRA pale Makuyuni. Bila hiyo risiti hampiti hapo.Tenga 27 kwa bei ya juu kabisa ya mwezi uliopita ni 675,000 Tsh.
Faini inapigwa 3,500,000. Mfano angelipa kodi ilitakiwa iwe shilingi ngapi?
Kuna miongozo ya faini? Mfano thamani ya kipi inaangaliwa mpaka kuamua mzigo wa 675,000 faini iwe 3,500,000?
Hao madereva wanajua kila kitu. Hapo huwa wana- gamble kama aliyebeba pembe za ndovu.Ushindwe na ulegee sana hadi mawazo haya mabaya yakutoke kichwani, kisha ujazwe mawazo mema kwa manufaa ya watanzania wote.
====
Na mpa pole huyo dereva. Hata hivyo, TRA wawe wanafanya kazi kwa kutoa elimu ya kutosha juu ya sheria zote zinazoboreshwa juu ya kodi na makato mengine. Si busara wwla hekima kuficha elimu ya sheria kwa wahusika ili uwavizie kuwatoza faini! Kuna na "mfuko mwingine wa masuala ya wafanyakazi wa viwandani", nao ulikiwa na mtindo wa namna hii lakini nadhani umeishajirekebisha.
Ni kweli, kwa 300k lazima dereva aangalie namna ya kupata pesa ya ada na matibabu, serikali iwe na huruma jamanii...!Mshahara 300,000/= unataka madereva wafanye nini?Waziri wa fedha mshahara na marupurupu kwa mwezi ni 10m plus ndio maana kwao hii sio agenda.
Alisema kama una mzigo chini ya tani moja usilipe ushuruRais alisema kama mzigo wako haijavuka tani moja usilipe kodi.
Na karudia rudia mara kibao.
Kwa hio sijaelewa.
Au yale yalikuwa maneno ya majukwaani???
Lile ni tamko tu, ila halibadilishi nguvu ya sheria waliyonayo hao jamaaRais alisema kama mzigo wako haijavuka tani moja usilipe kodi.
Na karudia rudia mara kibao.
Kwa hio sijaelewa.
Au yale yalikuwa maneno ya majukwaani???
Gari lake?Kwa hiyo itahitajika madereva wanaunue mashine za Efd sio.
Uchumi wa Kati. Hamsomi washamba mnapiga makofi bila kujuwa mnapigia nini.Siku chache zilizopita niliandika kueleza ugandamizwaji unaofanywa na TRA uliomuhusu dereva mmoja wa semi ambae alipigwa faini ya 3,000,000/= kisa kapakia tenga 20 za parachichi na alipoulizwa risiti ya transport hakuwa nayo kwani mzigo ule haukuhusu ofisi,ilikuwa ile kawaida ya madereva kujiongezea kipato kwa vimizigo vya njiani ambacho kilimponza akapoteza ajira.
Sasa huyu ni muendelezo wa vitimbi vingine kwani dereva mwingine amepigwa faini ya 3,500,000/= kisa kapakia tenga 27 za nyanya na alipoulizwa risiti ya transport hakuwa nayo. Dereva huyu analazimika kukatwa hii pesa na ofisi kwenye mshara mpaka deni litakapoisha.
Kwakweli kama hizi ndio sheria zilizotungwa kwa ajili ya kutetea wanyonge basi hiki ni kituko.
Hivi mshahara wa raisi ni sh ngapi,mawaziri pesa ngapi,wabunge je?Hawa hawatusikii kwakuwa wao wanalipwa pesa ndefu,hivi dereva mwenye mshahara wa laki tatu kwa mwezi atakatwa hilo deni mpaka lini?
Ushauri wa bure ni kwamba;hii miradi mikubwa ilioanzishwa nchini inasababisha mateso kwa raia,ni bora tukarudi kwenye mgao wa umeme kuliko haya maisha ya karaha tunayoishi sasa.
Kwakweli nachuma dhambi ila kama Mungu anasikia vilio vyetu basi.
Ni kweli Dereva kajiongeza sahihi kabisa ila ndio kakutana na sheria sasaMashine ni ya ofisi, sio ya dereva, na dereva kajiongeza, na huku kujiongeza ndio hufanya vyakula viwe bei nafuu hata wanyonge wanaweza kumudu kula, sasa tukikaza kila kona hadi kwenye vyakula tutaumiza wanyonge, busara iwe inatumika
Sio muumin wa Hii serikali ila ukweli Lazima usemwe.kwa hilo swala lako Dereva ana makosa kwasababu alitakiwa amkatie risiti ya EFD Huyo mteja wake ya huo mzigo.
Kwa hiyo Kosa hapa liko kwa dereva . Kwanini hakumkatia risiti ya EFD mashine Huyo mteja wake?
Wacha limkute
Hata Mimi siweki pesa benki.Side effects ya hili jambo wafanyabiashara kutokuweka pesa benki, hatimaye benki kuyumba kiuchumi!
Ndio maana wahindi na Wachina hawaweki pesa benki, pindi akipata pesa ananunua dola anaficha ndani.
Hiyo Tozo ni ya halamshauri kwa mkulima, sio y TRA kwa msafirishaji nadhani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Naungana nawe, watoe elimu, watoe matangazo, watu waelewe!Ushindwe na ulegee sana hadi mawazo haya mabaya yakutoke kichwani, kisha ujazwe mawazo mema kwa manufaa ya watanzania wote.
====
Na mpa pole huyo dereva. Hata hivyo, TRA wawe wanafanya kazi kwa kutoa elimu ya kutosha juu ya sheria zote zinazoboreshwa juu ya kodi na makato mengine. Si busara wwla hekima kuficha elimu ya sheria kwa wahusika ili uwavizie kuwatoza faini! Kuna na "mfuko mwingine wa masuala ya wafanyakazi wa viwandani", nao ulikiwa na mtindo wa namna hii lakini nadhani umeishajirekebisha.