TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OC zimetoka 98 hadi 30% maofisini hali ni tete, miradi imekwama, hazina imekauka ila TRA wanavuka lengo la makusanyo!!!
Utapeli tupu wa CCMMatango pori!
In uwongo tuu huo.wamekusanya wapi na kwa nani??yaani wanajikuna na kucheka wenyewe.mtaani hela hakuna,halafu halafu wanadanganya wamekusanya nyingi.watupe na vyanzo tuone mwananchi wa kawaida kachangia sh ngapi???
Naona umekuwa kama Gazeti la Serikali. Tuletee pia ripoti ya matumizi ya makusanyo hayo.
Ni mjinga tu anaweza kuamini wamevuka malengo nauli ya basi kipindi kama hicho ilikuwa shs gapi?OC zimetoka 98 hadi 30% maofisini hali ni tete, miradi imekwama, hazina imekauka ila TRA wanavuka lengo la makusanyo!!!
Na AbduliPesa za kuwatajirisha wakina Mwigulu,
Miradi ipi iliyokwama?ulikwenda lini Hazina ukakuta imekauka? Wewe ndiye msimamizi wa hazina? Ofisi ipi ambayo hali ni tete? Usipende kuropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongoOC zimetoka 98 hadi 30% maofisini hali ni tete, miradi imekwama, hazina imekauka ila TRA wanavuka lengo la makusanyo!!!