Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Acha Utoto ndugu yangu mtanzaniaPesa za kuwatajirisha wakina Mwigulu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha Utoto ndugu yangu mtanzaniaPesa za kuwatajirisha wakina Mwigulu,
Huoni hata aibu.Mtaa gani huo usio na pesa za kitanzania? Kama hufanyi kazi unataka pesa zije kimiujiza?In u
In uwongo tuu huo.wamekusanya wapi na kwa nani??yaani wanajikuna na kucheka wenyewe.mtaani hela hakuna,halafu halafu wanadanganya wamekusanya nyingi.watupe na vyanzo tuone mwananchi wa kawaida kachangia sh ngapi???
Wivu utawaua mwaka huu.maana dua zenu mbaya zinaendelea kushindwa vibaya sanaTakwimu za kupikwa? Tushazoea
Zijuwi wanakusanya na kupeleka wapi hizi pesa.OC zimetoka 98 hadi 30% maofisini hali ni tete, miradi imekwama, hazina imekauka ila TRA wanavuka lengo la makusanyo!!!
Wanakula viongozi na kujilimbikizia pesa tuZijuwi wanakusanya na kupeleka wapi hizi pesa.
Wakandarasi wa kibongo wengi tu wanadai hawajalipwa halafu unasema miradi haijakwama.Miradi ipi iliyokwama?ulikwenda lini Hazina ukakuta imekauka? Wewe ndiye msimamizi wa hazina? Ofisi ipi ambayo hali ni tete? Usipende kuropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongo
Mkandarasi yupi huyo anayedai?amejenga nini na mkoa upi? Anadai shilingi ngapi?Wakandarasi wa kibongo wengi tu wanadai hawajalipwa halafu unasema miradi haijakwama.
Kwani wewe ni kipofu wa macho na akili? Huoni miradi ya maendeleo inayojengwa?huoni barabarani zikijegwa? Huoni shule, zahanati,vituo vya afya vikijengwa? Huoni Elimu bure ikiendelea kutolewa?huoni ruzuku ikiendelea kutolewa katika pembejeo? Huoni watumishi wa umma wakiendelea kulipwa mishahara yao,kupandishwa madaraja,kulipwa malimbikizo ya madeni yao?Hayo makusanyo yanaenda wapi?! Maana tumesikia haya mapambio tokea enzj ya JPM
Huna unacho jua subilia kupna watoto wako wakimpigia saluti mtoto wa MimwiguluAcha Utoto ndugu yangu mtanzania
Ziara za Makonda hukuona wakandarasi wanadai mpaka mali zao zinauzwa na mabenki?? Au unajitoa ufahamuMkandarasi yupi huyo anayedai?amejenga nini na mkoa upi? Anadai shilingi ngapi?
Pesa zilishatolewa serikali kuu matatizo lilikuwa limebakia kulekule halmashauri. na ndio maana yalitolewa maelekezo ya kulipwa.Ziara za Makonda hukuona wakandarasi wanadai mpaka mali zao zinauzwa na mabenki?? Au unajitoa ufahamu
Mtu mwerevu akikwambia jambo la kipumbavu nawewe ukijua lakipumbavu ukalikubali atakudharau...Mwl Julius K Nyerere.Miradi ipi iliyokwama?ulikwenda lini Hazina ukakuta imekauka? Wewe ndiye msimamizi wa hazina? Ofisi ipi ambayo hali ni tete? Usipende kuropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongo
Labda wewe ndiye takatakaMtu mwerevu akikwambia jambo la kipumbavu nawewe ukijua lakipumbavu ukalikubali atakudharau...Mwl Julius K Nyerere.
Samia anakuona takataka!