TRA yaweka Rekodi Mpya. Yakusanya Trilioni 7.79 kati ya Julai na Septemba 2024

TRA yaweka Rekodi Mpya. Yakusanya Trilioni 7.79 kati ya Julai na Septemba 2024

Mfano Kodi za kuingiza bidhaa iwe mafuta ya kupikia au ya kuendeshea mitambo. Kwa hiyo wewe Ndio hujui vyanzo vya mapato na matokeo ya pesa kukosa thamani dhidi ya Fedha za kigeni
Hiyo Kodi imefanya nini ikiwa Kodi ni Kodi tuu?
 
Bichwa komwe hakuna kitu unaelewa. Mapato yameongezeka Kwa sababu zifuatazo 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAnd60TqUqV/?igsh=aW02ejg4YzJ3dDJn

Ingekuwa hivyo tusingekuwa na uhaba wa fedha za kigeni kwani watalii huleta Fedha za kigeni pamoja na uuzaji WA bidhaa zingine, jingine hapa tuna zungumzia mapato ya serikali yanayotokana na kodi, ambayo yanatokana na vat, PAYE, Kodi ya kuingiza bidhaa toka nje , kwenye kuuza nje bidhaa hakuna Kodi nyingi Kwa Nia yetu ni kuuza nje kadiri inavyowezekana. Kwa hiyo hii inaonyesha kweli wewe Una kichwa kome
 
Ingekuwa hivyo tusingekuwa na uhaba wa fedha za kigeni kwani watalii huleta Fedha za kigeni pamoja na uuzaji WA bidhaa zingine, jingine hapa tuna zungumzia mapato ya serikali yanayotokana na kodi, ambayo yanatokana na vat, PAYE, Kodi ya kuingiza bidhaa toka nje , kwenye kuuza nje bidhaa hakuna Kodi nyingi Kwa Nia yetu ni kuuza nje kadiri inavyowezekana. Kwa hiyo hii inaonyesha kweli wewe Una kichwa kome
Ongezeko la mahitaji ya Fedha za Kigeni ni makubwa kuliko yanayoingia na sababu ziko wazi,tunajenga maelfu ya mamiradi ikiwemo reli ndefu zaidi Afrika,mabwawa ya umeme,viwanja vya ndege,miradi ya maji,ununuzi wa mitambo ya uwekezaji nk

Vyote hivyo vinaleta pressure kwenye Fedha za Kigeni.

By the way hatuna upungufu wowote unaoathiri uchumi ndio maana hujawahi kosa bidhaa dukani kisa hakuna forex.

Punguza ujinga wewe bichwa kubwa akili kisoda.

Msingi wa Ukuaji mkubwa wa Uchumi ni mauzo ya bidhaa na Huduma Nje ya Nchi,unaposema hatupati Fedha nyingi unaonesha jinsi ulivyo kiazi 😄😄
 
Ongezeko la mahitaji ya Fedha za Kigeni ni makubwa kuliko yanayoingia na sababu ziko wazi,tunajenga maelfu ya mamiradi ikiwemo reli ndefu zaidi Afrika,mabwawa ya umeme,viwanja vya ndege,miradi ya maji,ununuzi wa mitambo ya uwekezaji nk

Vyote hivyo vinaleta pressure kwenye Fedha za Kigeni.

By the way hatuna upungufu wowote unaoathiri uchumi ndio maana hujawahi kosa bidhaa dukani kisa hakuna forex.

Punguza ujinga wewe bichwa kubwa akili kisoda.

Msingi wa Ukuaji mkubwa wa Uchumi ni mauzo ya bidhaa na Huduma Nje ya Nchi,unaposema hatupati Fedha nyingi unaonesha jinsi ulivyo kiazi 😄😄
Ulianza kwenye kodi yaani TRA, ukapigwa kwenye kome lako, ukaja na Data za Benki Kuu ambazo haziuhusiana na TRA, hii inaonyesha Komwe lako limeshindikana hivyo nakuacha na Komwe lako labda madaktari toka India wakija , tutakutafuta wakusaidie
 
Utapeli tupu, watuambie mwaka jana kipindi kama hiki bei ya cement ilikuwa shs ngapi na nauli za mabasi zilikuwa kiasi gani? TRA na CCM ni wajinga sn
Hivi makusanyo ya Tra na bei ya Cement vina mahusiano gani? Kwa Hali hii watu wengi wenye akili zao watakuwa wanakimbia JF.
 
Hivi makusanyo ya Tra na bei ya Cement vina mahusiano gani? Kwa Hali hii watu wengi wenye akili zao watakuwa wanakimbia JF.
Bora wakimbie tubaki wenye akili, kwamba cement na TRA hazina uhusiano? una akili kweli? TRA wanakusanya kodi kutoka wapi? ni % ya mauzo wanachukua? una biashara hata ya kuuza matunda kwenye kibanda?
 
Ongezeko la mahitaji ya Fedha za Kigeni ni makubwa kuliko yanayoingia na sababu ziko wazi,tunajenga maelfu ya mamiradi ikiwemo reli ndefu zaidi Afrika,mabwawa ya umeme,viwanja vya ndege,miradi ya maji,ununuzi wa mitambo ya uwekezaji nk

Vyote hivyo vinaleta pressure kwenye Fedha za Kigeni.

By the way hatuna upungufu wowote unaoathiri uchumi ndio maana hujawahi kosa bidhaa dukani kisa hakuna forex.

Punguza ujinga wewe bichwa kubwa akili kisoda.

Msingi wa Ukuaji mkubwa wa Uchumi ni mauzo ya bidhaa na Huduma Nje ya Nchi,unaposema hatupati Fedha nyingi unaonesha jinsi ulivyo kiazi 😄😄
Where is toto afya kadi If there is increase in collection?
 
Ni jitihada gani mnatumia kuboresha mazingira ya biashara kwa Wadau wenu zaidi ya kuwatisha ?
 
TRA endeleeni kupika data maana hayo makusanyo mnayojinasibu nayo haya-reflect uhalisia wa huduma ja jamii kwa watanzania na katika miradi mbalimbali ya manufaa kwa watanzania labda kama pesa zinapelekwa kizimkazi
 
Back
Top Bottom