Magema Jr
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,299
- 1,197
kwani hapo unaona nimefanya nini mkuu???😬Hii ni platform huru koment na kupost unachona inafaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani hapo unaona nimefanya nini mkuu???😬Hii ni platform huru koment na kupost unachona inafaa.
unamfuatilia erthrocyte lakni au umejisikia kuropoka tu??Kwani hili baya, kupeana taarifa kuwa kuna kodi ya Kitanda Siku nayo nongwa au ni wakala wa mabeberu? Jamani kuweni na akili hata kidogo basi.
Kati ya watu wanaoishi kwa hasira kutokana na siasa za chadema, ni mleta madaUsishangae sana mkuu. Watu wana chuki, tena wana chuki hadi kwa wanaowapa ulinzi wanapokua wamelala.
Kuna dada wa bongomovie aliwahi sema kwenye media hana mama, akadadavua mamake alishakufa ilihali mamake mzazi yuko hai na anamsikiliza sembuse huyu
Dunia inaenda kasi sana hii
Hiyo kodi iliyopungua ni ipi??..mbona mwezi November sisi PAYE imeongezeka????..[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Tokea mwezi wa saba, wamepunguza PAYE.
Nadhani Dr Kigwangalla atalifafanua hili!
Ndio mimi ni walewale ila pia wale wenginena wewe ni walewale??
😂😂😃😂👏👏👏Ndio mimi ni walewale ila pia wale wengine
Nukuu ya uongo mkubwa.Kutii Mamlaka
Warumi13 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.
6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Walipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.
Na ya usiku kwa wana ndoaTunasubiri kodi ya VPN aisee
Hii kodi ilikuwepo tunaita Government Leavy na kila Mtalii akilala usiku mmoja analipia USDollar 1.5 sasa sijui hawa viumbe wamepandisha tena au wameshusha kwa ajili ya kuvutia Watalii?Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.
View attachment 1641829
Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Bwashee, Machame ipo wilaya ya Hai, ambapo mbunge ni Saashisha wa CCM, au bado kuna haja ya kuendelea kuipiga Hai madongo wakati mmeshamng’oa Mwamba?!Hadi Machame bwashee!
Nchi inaendeshwa tuu kama gari bovu, hakuna sheria wala taratibuUshawastua na itakuwa kubwa sana ili wapunguze watumiaji wa mitandao wanaomtusi na kumkejeli huyo anayejiita mwendawazimu 😂😂
Hiyo kodi ya kitanda itakuwa kwa watalii peke yao? Loji, Gesti hazitalipa? Mwenyeji akilala kwenye hoteli ya kitalii hatalipa? Au ni kodi inayoendana na vitanda ambavyo vipo kwenye hoteli na sio watu waliolalia vitanda hivyo?Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.
View attachment 1641829
Hii ni katika harakati za kuongeza mapato