TRA yazindua kodi ya kitanda kutoka kwa Watalii

TRA yazindua kodi ya kitanda kutoka kwa Watalii

Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.

View attachment 1641829

Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Tano tena
 
Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.

View attachment 1641829

Hii ni katika harakati za kuongeza mapato

Aisee yani kodi za TZ

Visa ina kodi mpaka kaja hapa,ndege aliyo kuja nayo imelipa kodi mpaka kaja hapa,kampuni itakayo mpokea kwa ajili ya kuja kumuongoza na magari hapa italipa kodi,kuingia mbunga za wanyama sijui utumbo gani kodi hana lipa,hoteli hatakayo fikia hata lipa kodi na kitanda tena ????

Kuna mda TRA hata sisi tusio kuwepo hapo kuna vitu mnachekesha sana.

Hivi kwa nini muangalii ushauri wa watu kuweza kupata mapato mengi kuliko kujifanya wajuaji wa ofisini nje mpajui kwa wafanya biashara na walipa kodi hizo
 
Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.

View attachment 1641829

Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Kodi ya jeneza kwa marehemu itaanza rasmi lini?
 
Ohooooo! Akija na mkeka wake hapo vipi? Kodi ya kiti, kodi ya meza, kodi ya kutumia maji, kodi ya kutumia choo, kodi ya kula chakula cha kibongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maninaaaa chezeya uchumi wa kati wa Tanzania ya VIWONDER!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shule ya St. JUDE wameifungia account zao kisa hawakupeleka watoto wao kwenye kampeni za CCM, kuimba mapambio kama shule nyingine.

Hii nchi kumpa huyu dereva lesseni ya kutuendesha, tumeingia chaka.

1) Mwenye kampuni ya kutembeza watalii, alipie kampuni yake kodi.

2) Na hayo magari yake ya kampuni ya watalii, alipie kodi.

3) Gari likiwekewa mafuta, unakutana na kodi.

4) Dereva nae, alipe kodi lesseni yake na ajira yake sambamba na kodi ya Trafic Police (Vijana wa kukusanya mapato TRA).

5) Mwenye hoteli wanaofikia watalii hao (Pengine mwenye kampuni ya utalii ndio hoteli yake pia), alipe kodi. Ndani ya hio hoteli yake anayoilipia kodi, chumbani kitanda nacho kikilaliwa, kilipiwe kodi.

Halafu serikali tunaambiwa haina hela. Shabaashi.

Wasisahau na KODI YA KUTUMIA VYOO KWA WATALII (Kama Vyoo Vya Kulipia Standi Za Bus).
Slogan ni mitano tena bila kufahamishwa kufanya nini.Hizi kodi bado kidogo tu tutalipia Oxygen&Carbon dioxide tunayopumua.
 
yani huyu dada hajawahi post eti "magufuli awanyoosha mabeberu...." mwikoooo yeye yale mabaya tu ,daah kuna watu wanaroho ngumu aisee 😂😂😂😂😂
Msijisahaulishe nini maana ya upinzani. Unategemea chama kikuu cha upinzani kiisifu serikali inayoundwa na chama pinzani kwake?!
 
Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.

View attachment 1641829

Hii ni katika harakati za kuongeza mapato


"Mitano tena" mambo yanaanza kuwa magumu??!!.

Dawa ni kula ela zao haohao mabeberu (watalii) waliotuwekea vikwazo.

Tusubiri, Itakuja kodi ya barabara kwa watembea kwa miguu.
 
Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.

View attachment 1641829

Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Gangsters republic, halafu wanaofanya huo ushenzi eti wana Phd.

Phd za bongo ni za kipuuzi
 
Shule ya St. JUDE wameifungia account zao kisa hawakupeleka watoto wao kwenye kampeni za CCM, kuimba mapambio kama shule nyingine.

Hii nchi kumpa huyu dereva lesseni ya kutuendesha, tumeingia chaka.

1) Mwenye kampuni ya kutembeza watalii, alipie kampuni yake kodi.

2) Na hayo magari yake ya kampuni ya watalii, alipie kodi.

3) Gari likiwekewa mafuta, unakutana na kodi.

4) Dereva nae, alipe kodi lesseni yake na ajira yake sambamba na kodi ya Trafic Police (Vijana wa kukusanya mapato TRA).

5) Mwenye hoteli wanaofikia watalii hao (Pengine mwenye kampuni ya utalii ndio hoteli yake pia), alipe kodi. Ndani ya hio hoteli yake anayoilipia kodi, chumbani kitanda nacho kikilaliwa, kilipiwe kodi.

Halafu serikali tunaambiwa haina hela. Shabaashi.

Wasisahau na KODI YA KUTUMIA VYOO KWA WATALII (Kama Vyoo Vya Kulipia Standi Za Bus).
Bora Mugalifu wao hana hayo mambo.
Mugafilu anazingatia haki za binadamu
Anazingatia utawala bora
Anazingatia utawala wa sheria
Hana upendeleo
Anazingatia usawa kwa kila mwananchi
Anazingatia ulaji sawa wa keki ya taifa.
Anawapenda sana wapinzani wake ikiwemo Tundu Lissu na Chadema kwa ujumla.
Anapenda sana kukubali kukosolewa
Ni msikivu wa kiwango cha rami.
Anazingatia misingi ya ukuzaji uchumi
Anazitumia vizuri pesa mabeberu(wanaume wachapakazi wa Uraya)
Anahakikisha afya za wananchi zinastawi
Ana ruhusu upatikana wa habari hata zile zinazomkosoa.
Anazingatia uwepo wa usalama wa kila mwananchi hata uwe wa Chadema.
Amekuwa kiongozi wa mfano ulimwenguni hata serikali za peponi zinajitahidi kumuiga yeye.
Anazingatia kutokuwepo kwa wasaliti duniani kwa kuwapa ulinzi(Tundu Lissu amiminiwa marisasi huko Dodoma)
Mambo ni mengi muda mchache

Kidumu chama chetu chakavu cha mapinduzi kisichojali tena matatizo ya wananchi.

Kigumu chama kinacho impoverish watanzania kwa speed ya mwanga.
 
Usishangae sana mkuu. Watu wana chuki, tena wana chuki hadi kwa wanaowapa ulinzi wanapokua wamelala.

Kuna dada wa bongomovie aliwahi sema kwenye media hana mama, akadadavua mamake alishakufa ilihali mamake mzazi yuko hai na anamsikiliza sembuse huyu

Dunia inaenda kasi sana hii
Mwenzako Magema Jr kaongea kama kashfa na wewe umejaa umemjIbu!
 
Mwenzako kaongea kama kashfa na wewe umejaa umemjIbu!
Tuwakumbushe watawala wa Afrika kuwa kushika hatamu haukufanyi ugeuke kuwa injinia, daktari, mhasibu, mwanasayansi au mtaalam zaidi! Power doesn’t suddenly increase your knowledge or qualify you to be anything more than you were! Waache u-much-know wawe humble!
 
Back
Top Bottom