princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Mpaka saizi nmemuona Aaliya na yule dogo wa Diamond kama sijamfananisha...
Hapo naona wabongo wengi watakimbia😅😅😅
Sema huyo Dada anaehoji aheri wangempa yule aliekua Mc wa Hamisa hajanoga hata!
Naona wakenya tu na wafaransa😅😅😅
Hapo naona wabongo wengi watakimbia😅😅😅
Sema huyo Dada anaehoji aheri wangempa yule aliekua Mc wa Hamisa hajanoga hata!
Naona wakenya tu na wafaransa😅😅😅
Mimi kama mdau wa fashion nainjoi sana kuangalia drama za hii blue carpet.
Na wanahojiwa kwa English naona kidogo na Kifaransa, itakuwaje akina Masha Love sasa? Au wataishia kupiga picha pek