Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una vituko wewe nachekaaa.Mi sikujuaga hata kama anaweza kusema hata Hi😅 nmebaki kushangaa mana mm ningelikimbia hilo sijui blue carpet kama ukoma
Dogo kajiongeza anadate na msouth baada ya muda atakuwa ananyoosha fluent.Mi sikujuaga hata kama anaweza kusema hata Hi😅 nmebaki kushangaa mana mm ningelikimbia hilo sijui blue carpet kama ukoma
Yupo na bebe ya bondeni, atakuwa anambrash.Una vituko wewe nachekaaa.
Diamond anajua kubrand wasanii wake mwaya, lazima tu atakuwa ana tuition ya brashi la English.
Natamani ningemuona dogo letu wa uswazi anavyotema kikristo😀😀😀Mi sikujuaga hata kama anaweza kusema hata Hi😅 nmebaki kushangaa mana mm ningelikimbia hilo sijui blue carpet kama ukoma
Enhee, na ana kichwa chepesi pia.Kumbe? Basi ndio maana dogo kajitahidi.
Lazima atapostiwa mahala kesho😅Natamani ningemuona dogo letu wa uswazi anavyotema kikristo😀😀😀
Weeh kumbeDogo kajiongeza anadate na msouth baada ya muda atakuwa ananyoosha fluent.
Yeye ndo kimemgomea bado😅 au skuizi anajuaUna vituko wewe nachekaaa.
Diamond anajua kubrand wasanii wake mwaya, lazima tu atakuwa ana tuition ya brashi la English.
Amejitahidi kuongea...japo kuna pahala alipoteaaaaLazima atapostiwa mahala kesho😅
Na wameshasema upepo mkali 🤣
Eeh kajiongeza.Weeh kumbe