Naambiwa hata hii kupeleka mbele muda wa kuanza sababu ya upepo ilikuwa zuga tu ukweli ni kuwa walikuwa hawajakuwa tayari (maandalizi).Utadhani wamekurupuka, hata Wasafi Festival ina afadhali.
Hii show ya Fally Ipupa imeweka mambo sawa.
aisee njoo uni pokee, Kisha tuta jadili ππ€£Sasa mbuzi anachokaje jamani? Aje tumpe pumziko la milele midomoni mwetu.
Wamezingua mnoooo! Wanyarwanda huko wanatamba vibaya sana.Naambiwa hata hii kupeleka mbele muda wa kuanza sababu ya upepo ilikuwa zuga tu ukweli ni kuwa walikuwa hawajakuwa tayari (maandalizi).
Kabeba tuzo kweli huyo??View attachment 3251001View attachment 3251002
Muonekano wa Diamond usiku wa leo.
Juu kapendeza chini kama kawaida Noel kafanya yakeβ¦
Watatulaumu bure tu, although bragging lazima ziwepo kwa watangulizi wetu, haikwepeki hii experience sio nzuri itakapokuja issue ya referrence kwa huko mbeleni.Wamezingua mnoooo! Wanyarwanda huko wanatamba vibaya sana.
Hii aibu sijui imekuwaje ikaangukia kwetu. Bora hata wangezileta Dar hizi tuzo.
we unasema wanyarwanda? Mi nawaza wapopo tu kesho watapoanza kuchambua the whole event ilivyokuwa fumbled na kuanza kucompare na zao πWamezingua mnoooo! Wanyarwanda huko wanatamba vibaya sana.
Vipi imeisha auBado Mkuu.
Kwamba watatusitiri mashemeji zao π , family matters.Naona wapo huko wanalilia kuwaona PJ. Tokea Jux aoe kwao wanampenda kinoma.
Kuna Ile DStv show app, trace awards imo, hata Grammy na bet nili cheki humo ila ya kulipiaUangalie wapi? Sasa hivi wanaangalia waliopo eneo la tukio tu.
Sisi wote tunaofuatilia kupitia TV na mitandao tumekatiwa matangazo.