Trafiki anaswa na TAKUKURU akiomba rushwa ya ngono

Trafiki anaswa na TAKUKURU akiomba rushwa ya ngono

Angesimamia mmama apate haki ya mtoto wake mapema angepewa tunda kiroho safi kabisa pengine bila hata ya kuomba.
 
Ningemuona ana maana kama angeomba rushwa ya pesa. Unaomba rushwa ngono usawa huu...dundahead!!!
 
Unapojaribu vitu ambavyo havipo kwenye asili ya kabila lako Mchaga halafu Trafiki lazima upate matatizo, wewe unatakiwa uombe hela hii ya ngono waachie wasukuma.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Huyo kamanda mwenyewe wa TAKUKURU ni mwanamke huyu hawamuachi lazima wamnyoe.

Tabia chafu sana,hata kama alimtamani huyo mama ilikuwa heri amuonee huruma kwanza huyo aliyeumia kisha asubiri huruma ya huyo mwanamke kama angemuelewa,haki inapindishwa kipumbavu sana sometimes huyo mtoto amepata ulemavu wa kudumu.
Hakujua kuwa kuutawala mwili wa mwanamke ni sharti uutawale kwanza Moyo wake.
 
Kaka afande unabahati mbaya maana wanawake huwa wanabebana Sasa Kama huyo aliyekukamata ni mwanamke Basi umeisha!! Ila umebugi sana! Kina mambo ya kuomba rushwa ila sio kwa mtoto amegongwa na pikipiki, Basi hapo najua umeshakula hela ya dereva toyo ndio maana unamzungusha kwa kuomba mzigo
 
Dhambi ni mbaya Sana! Kazi ya shetani ni kiharibu, kuchinja na kuharibu(yohana 10:10) unaenda jela yamkini hata kufukuzwa kazi kwa sababu ya dhambi ya uzinzi! Unaacha Familia taabani, jamani tuikimbie dhambi kwa kumpa Bwana Yesu maisha na kupata wokovu, haya mateso ya dhambi tutaepukana nayo!
Kazi ya SHETANI ni KUUA, KUCHINJA na KUHARIBU.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom