Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
HatariAmeshashiba rushwa ya fedha sasa kahamia kwenye ngono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatariAmeshashiba rushwa ya fedha sasa kahamia kwenye ngono
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Unapojaribu vitu ambavyo havipo kwenye asili ya kabila lako Mchaga halafu Trafiki lazima upate matatizo, wewe unatakiwa uombe hela hii ya ngono waachie wasukuma.
Nijuavyo Mwanamke ukimfanyia Jambo jema na Kumsaidia akafanikiwa nalo, hata kama hujamuomba Penzi anaweza Kukufikiria na Kukupa free!!!
Aise hiyo ndiyo akili alitakiwa kufanya[emoji23][emoji23]Angemaliza kesi, akafuata huo msambwanda baadae
Na yule askari, maana alikuwa kashasaula gesti akisubiri kula mzigo - ha ha ha, sasa kama alilamba vumbi la kongo ni balaa huko kituoni wakati wa kuandika maelezo - kitu hichiiii ha ha haTunaomba picha ya huyo mama
Tusije tukawa tunamlaumu traffic bure
Hakujua kuwa kuutawala mwili wa mwanamke ni sharti uutawale kwanza Moyo wake.Huyo kamanda mwenyewe wa TAKUKURU ni mwanamke huyu hawamuachi lazima wamnyoe.
Tabia chafu sana,hata kama alimtamani huyo mama ilikuwa heri amuonee huruma kwanza huyo aliyeumia kisha asubiri huruma ya huyo mwanamke kama angemuelewa,haki inapindishwa kipumbavu sana sometimes huyo mtoto amepata ulemavu wa kudumu.
Nimecheka kama mazuri vileUnapojaribu vitu ambavyo havipo kwenye asili ya kabila lako Mchaga halafu Trafiki lazima upate matatizo, wewe unatakiwa uombe hela hii ya ngono waachie wasukuma.
Kazi ya SHETANI ni KUUA, KUCHINJA na KUHARIBU.Dhambi ni mbaya Sana! Kazi ya shetani ni kiharibu, kuchinja na kuharibu(yohana 10:10) unaenda jela yamkini hata kufukuzwa kazi kwa sababu ya dhambi ya uzinzi! Unaacha Familia taabani, jamani tuikimbie dhambi kwa kumpa Bwana Yesu maisha na kupata wokovu, haya mateso ya dhambi tutaepukana nayo!