Trafiki anaswa na TAKUKURU akiomba rushwa ya ngono

Trafiki anaswa na TAKUKURU akiomba rushwa ya ngono

Dhambi ni mbaya Sana! Kazi ya shetani ni kuharibu, kuchinja na kuharibu(yohana 10:10) unaenda jela yamkini hata kufukuzwa kazi kwa sababu ya dhambi ya uzinzi! Unaacha Familia taabani, jamani tuikimbie dhambi kwa kumpa Bwana Yesu maisha na kupata wokovu, haya mateso ya dhambi tutaepukana nayo!
Ameeeeen mtumishi UMEELEWEKA!.
 
Mwendo uwe ni huu huu rushwa ya Ngono inataka kuota Mizizi Tanzania, hakuna watu wanapata shida kama watoto wetu wa kike wakiwa wanahitaji huduma au ajira
Na hakuna watu wanaoumia kama wanaosingiziwa
 
Askari wa kikosi cha usalama barabarani, Peter Albert Moshi anashikiliwa na Taasisi ya Kupambana Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kilimanjaro kwa madai ya kuomba rushwa ya ngono kwa mama wa mtoto aliyegongwa na pikipiki ili aweze kukamilisha taarifa za uchunguzi wa ajali hiyo.

Kamanda wa wa Takukuru mkoa wa Kilimanjaro, Frida Wikesi amesema leo Januari 7, askari huyo amekamatwa jana akiwa nyumba ya kulala wageni maeneo ya Soweto Mjini Moshi.

Amesema awali askari huyo alikuwa akichunguza ajali ya pikipiki ambayo ilimgonga mtoto huyo na kusababisha kuvunjika mkono ambapo mpaka sasa anaendelea na matibabu.

"Askari huyu alimwomba rushwa ya ngono mama wa mtoto aliyegongwa na pikipiki ili aweze kukamilisha taarifa ya uchunguzi wa ajali husika na kumpelekea mtuhumiwa ambaye ni dereva wa pikipiki mahakamani," alisema Kamanda Wikesi.

Ameongeza; “Katika uchunguzi wetu tumebaini huyu askari alikuwa akimsumbua mama wa mtoto kwa muda mrefu kuwa kama anataka haki ya mwanaye ipatikane basi hana budi kumpatia rushwa ya ngono na hivyo kusababisha shauri kuchelewa kupelekwa mahakamani.”

"Baada ya kuona usumbufu umezidi na mtuhumiwa hana nia ya kukamilisha kazi yake taarifa ililetwa Takukuru na mtego ukaandaliwa na ndipo mtuhumiwa alipokamatwa nyumba ya wageni akiwa hana nguo akitaka kutimiza azma yake," amesema.
anyongwe
 
Ila inasikitisha sana. Ni kawaida sana wanawake wenye shida kwenye taasisi fulani kusumbuliwa ili watoe rushwa ya ngono. Kuna watu uwezo wa kutongoza hawana kabisa mpaka watumie nafasi zao kinyume na sheria.
Umenikumbusha! Aika wa navy kenzo kwenye moja ya interview zake alishawahi kusema, wakati anatafuta kutoka alikuwa anaenda kwenye studio mbalimbali akiomba kurekodi.

Kila studio akienda producer alikuwa anataka mzigo Kwanza kabla ya yote
 
Kaka afande unabahati mbaya maana wanawake huwa wanabebana Sasa Kama huyo aliyekukamata ni mwanamke Basi umeisha!! Ila umebugi sana! Kina mambo ya kuomba rushwa ila sio kwa mtoto amegongwa na pikipiki, Basi hapo najua umeshakula hela ya dereva toyo ndio maana unamzungusha kwa kuomba mzigo
Huyo askari mashamba tu; badala ya kujieleza aeleweke yeye anataka kutumia kazi ili upate kitonga..haya sasa wacha akanyee debe kuku huyo..
 
Inawezekana huyo mama alikuwa na msambwanda trafik uzalendo ukamshinda !
[emoji23][emoji23] hizi njana zingine

Ova

juzi kuna demu alikua anamtingishia jamaa, msela akasema “hakuna kitu hapo matako ni kabati la mavi” [emoji23]
 
Back
Top Bottom