Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazma aufyate [emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo jamaa sio konda kweli? Maana makonda ndio wana majibu ya haraka harak
Jamaa alimuua utamu sana, itakuwa kidem cha ushirika hichohahaha jamaa ni kinyozi maeneo ya old moshi pale
Jamaa alimuua utamu sana, itakuwa kidem cha ushirika hicho
Hahahahah ntaitumia hii 😁😁😁sanaa si unajua mademu wenye matako huwa wanajikubali kupita kiasi
Hahahahah ntaitumia hii [emoji16][emoji16][emoji16]
Akimaindi si namkimbia tuhahaha mkuu angalia usikutane na wale mademu wababe
Akimaindi si namkimbia tu
Hahahah huyo manz atakuwa mchuga 😂😂😂!!!kuna demu juzi alisema kwamba boy wake akizingua wanazipiga man to man[emoji23]
Hahahah huyo manz atakuwa mchuga [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Dem ka huyo hafai mzee, labda akutane na chuma kama mimi. Akileta fyoko anapasuka chap.
Hahaha kama tolu lazma nisande bablai! Zile manta za kule ni hardcore sana arif.😁hahaha ni manzi ya rombo mkuu na imepanda hewani inanipita urefu
o
Hahaha kama tolu lazma nisande bablai! Zile manta za kule ni hardcore sana arif.[emoji16]
Duuuu,hatari hiiiiAskari wa kikosi cha usalama barabarani, Peter Albert Moshi anashikiliwa na Taasisi ya Kupambana Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kilimanjaro kwa madai ya kuomba rushwa ya ngono kwa mama wa mtoto aliyegongwa na pikipiki ili aweze kukamilisha taarifa za uchunguzi wa ajali hiyo.
Kamanda wa wa Takukuru mkoa wa Kilimanjaro, Frida Wikesi amesema leo Januari 7, askari huyo amekamatwa jana akiwa nyumba ya kulala wageni maeneo ya Soweto Mjini Moshi.
Amesema awali askari huyo alikuwa akichunguza ajali ya pikipiki ambayo ilimgonga mtoto huyo na kusababisha kuvunjika mkono ambapo mpaka sasa anaendelea na matibabu.
"Askari huyu alimwomba rushwa ya ngono mama wa mtoto aliyegongwa na pikipiki ili aweze kukamilisha taarifa ya uchunguzi wa ajali husika na kumpelekea mtuhumiwa ambaye ni dereva wa pikipiki mahakamani," alisema Kamanda Wikesi.
Ameongeza; “Katika uchunguzi wetu tumebaini huyu askari alikuwa akimsumbua mama wa mtoto kwa muda mrefu kuwa kama anataka haki ya mwanaye ipatikane basi hana budi kumpatia rushwa ya ngono na hivyo kusababisha shauri kuchelewa kupelekwa mahakamani.”
"Baada ya kuona usumbufu umezidi na mtuhumiwa hana nia ya kukamilisha kazi yake taarifa ililetwa Takukuru na mtego ukaandaliwa na ndipo mtuhumiwa alipokamatwa nyumba ya wageni akiwa hana nguo akitaka kutimiza azma yake," amesema.
Kweli bossDhambi ni mbaya Sana! Kazi ya shetani ni kiharibu, kuchinja na kuharibu(yohana 10:10) unaenda jela yamkini hata kufukuzwa kazi kwa sababu ya dhambi ya uzinzi! Unaacha Familia taabani, jamani tuikimbie dhambi kwa kumpa Bwana Yesu maisha na kupata wokovu, haya mateso ya dhambi tutaepukana nayo!
Huyo mama inaonesha ana Chura!Askari wa kikosi cha usalama barabarani, Peter Albert Moshi anashikiliwa na Taasisi ya Kupambana Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kilimanjaro kwa madai ya kuomba rushwa ya ngono kwa mama wa mtoto aliyegongwa na pikipiki ili aweze kukamilisha taarifa za uchunguzi wa ajali hiyo.
Kamanda wa wa Takukuru mkoa wa Kilimanjaro, Frida Wikesi amesema leo Januari 7, askari huyo amekamatwa jana akiwa nyumba ya kulala wageni maeneo ya Soweto Mjini Moshi.
Amesema awali askari huyo alikuwa akichunguza ajali ya pikipiki ambayo ilimgonga mtoto huyo na kusababisha kuvunjika mkono ambapo mpaka sasa anaendelea na matibabu.
"Askari huyu alimwomba rushwa ya ngono mama wa mtoto aliyegongwa na pikipiki ili aweze kukamilisha taarifa ya uchunguzi wa ajali husika na kumpelekea mtuhumiwa ambaye ni dereva wa pikipiki mahakamani," alisema Kamanda Wikesi.
Ameongeza; “Katika uchunguzi wetu tumebaini huyu askari alikuwa akimsumbua mama wa mtoto kwa muda mrefu kuwa kama anataka haki ya mwanaye ipatikane basi hana budi kumpatia rushwa ya ngono na hivyo kusababisha shauri kuchelewa kupelekwa mahakamani.”
"Baada ya kuona usumbufu umezidi na mtuhumiwa hana nia ya kukamilisha kazi yake taarifa ililetwa Takukuru na mtego ukaandaliwa na ndipo mtuhumiwa alipokamatwa nyumba ya wageni akiwa hana nguo akitaka kutimiza azma yake," amesema.
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] yaan unavyoongea utafikiri una uhakika kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji28]Nijuavyo Mwanamke ukimfanyia Jambo jema na Kumsaidia akafanikiwa nalo, hata kama hujamuomba Penzi anaweza Kukufikiria na Kukupa free!!!
Mzushi huyoo we amini amini kila kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]Nashukuru kwa ushauri wako naahidi kuufanyia kazi[emoji23][emoji23]
Yaan nyie humu ndani mbavu zangu jamani[emoji1787][emoji28][emoji28]Hakujua kuwa kuutawala mwili wa mwanamke ni sharti uutawale kwanza Moyo wake.
Mapolisi wanapenda mteremkoo kitonga ikasubiriHuyo askari mashamba tu; badala ya kujieleza aeleweke yeye anataka kutumia kazi ili upate kitonga..haya sasa wacha akanyee debe kuku huyo..