Ameeeeen mtumishi UMEELEWEKA!.Dhambi ni mbaya Sana! Kazi ya shetani ni kuharibu, kuchinja na kuharibu(yohana 10:10) unaenda jela yamkini hata kufukuzwa kazi kwa sababu ya dhambi ya uzinzi! Unaacha Familia taabani, jamani tuikimbie dhambi kwa kumpa Bwana Yesu maisha na kupata wokovu, haya mateso ya dhambi tutaepukana nayo!
Na hakuna watu wanaoumia kama wanaosingiziwaMwendo uwe ni huu huu rushwa ya Ngono inataka kuota Mizizi Tanzania, hakuna watu wanapata shida kama watoto wetu wa kike wakiwa wanahitaji huduma au ajira
anyongweAskari wa kikosi cha usalama barabarani, Peter Albert Moshi anashikiliwa na Taasisi ya Kupambana Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kilimanjaro kwa madai ya kuomba rushwa ya ngono kwa mama wa mtoto aliyegongwa na pikipiki ili aweze kukamilisha taarifa za uchunguzi wa ajali hiyo.
Kamanda wa wa Takukuru mkoa wa Kilimanjaro, Frida Wikesi amesema leo Januari 7, askari huyo amekamatwa jana akiwa nyumba ya kulala wageni maeneo ya Soweto Mjini Moshi.
Amesema awali askari huyo alikuwa akichunguza ajali ya pikipiki ambayo ilimgonga mtoto huyo na kusababisha kuvunjika mkono ambapo mpaka sasa anaendelea na matibabu.
"Askari huyu alimwomba rushwa ya ngono mama wa mtoto aliyegongwa na pikipiki ili aweze kukamilisha taarifa ya uchunguzi wa ajali husika na kumpelekea mtuhumiwa ambaye ni dereva wa pikipiki mahakamani," alisema Kamanda Wikesi.
Ameongeza; “Katika uchunguzi wetu tumebaini huyu askari alikuwa akimsumbua mama wa mtoto kwa muda mrefu kuwa kama anataka haki ya mwanaye ipatikane basi hana budi kumpatia rushwa ya ngono na hivyo kusababisha shauri kuchelewa kupelekwa mahakamani.”
"Baada ya kuona usumbufu umezidi na mtuhumiwa hana nia ya kukamilisha kazi yake taarifa ililetwa Takukuru na mtego ukaandaliwa na ndipo mtuhumiwa alipokamatwa nyumba ya wageni akiwa hana nguo akitaka kutimiza azma yake," amesema.
Mkuu unasingiziwa upo Guest na mtu aliyekuwa anahitaji huduma huku ukimpatia huduma asiyostahili kama malipo ya huduma anayostahili?Na hakuna watu wanaoumia kama wanaosingiziwa
Umenikumbusha! Aika wa navy kenzo kwenye moja ya interview zake alishawahi kusema, wakati anatafuta kutoka alikuwa anaenda kwenye studio mbalimbali akiomba kurekodi.Ila inasikitisha sana. Ni kawaida sana wanawake wenye shida kwenye taasisi fulani kusumbuliwa ili watoe rushwa ya ngono. Kuna watu uwezo wa kutongoza hawana kabisa mpaka watumie nafasi zao kinyume na sheria.
Tumia akili kabla hujaandika upuuzi.Kwahiyo hiyo rushwa ilitolewa hapo awali
Sisi tushawakanyaga sana wake wao pale Oysterbay..sana yaaniNdiyo maana masela wa mtaani nao wanatembea Sana na wake za polisi, jwtz na magereza kutokana na maisha Yao ya kishamba hawa jamaa asilimia kubwa ni washamba sana, nakumbuka kipindi naishi Kinondoni kuna masela walifanya yao sana.
Huyo askari mashamba tu; badala ya kujieleza aeleweke yeye anataka kutumia kazi ili upate kitonga..haya sasa wacha akanyee debe kuku huyo..Kaka afande unabahati mbaya maana wanawake huwa wanabebana Sasa Kama huyo aliyekukamata ni mwanamke Basi umeisha!! Ila umebugi sana! Kina mambo ya kuomba rushwa ila sio kwa mtoto amegongwa na pikipiki, Basi hapo najua umeshakula hela ya dereva toyo ndio maana unamzungusha kwa kuomba mzigo
Inawezekana huyo mama alikuwa na msambwanda trafik uzalendo ukamshinda !
[emoji23][emoji23] hizi njana zingine
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]juzi kuna demu alikua anamtingishia jamaa, msela akasema “hakuna kitu hapo matako ni kabati la mavi” [emoji23]
hahahahja nimecheka sana.Hela ya kubrashia viatu zimewatosha sasa wanataka kubrashia K. Wajinga sana Trafik karibu wote.
Hahahahahhah kuna watu wana maneno machafu 😂😂😂 Hapo demu atakuwa aliumia sana.juzi kuna demu alikua anamtingishia jamaa, msela akasema “hakuna kitu hapo matako ni kabati la mavi” [emoji23]
Hahahahahhah kuna watu wana maneno machafu [emoji23][emoji23][emoji23] Hapo demu atakuwa aliumia sana.
Lazma aufyate 🤣🤣🤣 huyo jamaa sio konda kweli? Maana makonda ndio wana majibu ya haraka harakyani sio powa demu alikaa kimya hahahaha