Trafiki anaswa na TAKUKURU akiomba rushwa ya ngono

kuna demu juzi alisema kwamba boy wake akizingua wanazipiga man to man[emoji23]
Hahahah huyo manz atakuwa mchuga 😂😂😂!!!

Dem ka huyo hafai mzee, labda akutane na chuma kama mimi. Akileta fyoko anapasuka chap.
 
Hahahah huyo manz atakuwa mchuga [emoji23][emoji23][emoji23]!!!

Dem ka huyo hafai mzee, labda akutane na chuma kama mimi. Akileta fyoko anapasuka chap.

hahaha ni manzi ya rombo mkuu na imepanda hewani inanipita urefu
 
Duuuu,hatari hiiii
 
Kweli boss
 
Huyo mama inaonesha ana Chura!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo Mwanamke ukimfanyia Jambo jema na Kumsaidia akafanikiwa nalo, hata kama hujamuomba Penzi anaweza Kukufikiria na Kukupa free!!!
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] yaan unavyoongea utafikiri una uhakika kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji28]

Sasa jibu langu kama mwanamke sio kweli na sio wote[emoji57][emoji57]
 
Huyo askari mashamba tu; badala ya kujieleza aeleweke yeye anataka kutumia kazi ili upate kitonga..haya sasa wacha akanyee debe kuku huyo..
Mapolisi wanapenda mteremkoo kitonga ikasubiri

Yaaan kila kitu buuure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…