Trafiki anaswa na TAKUKURU akiomba rushwa ya ngono

Huyo trafiki jinga sana
Ilimshinda nini kusaidia huduma za matibabj ya huyo mtoto hata just kwa support ya vyakula na vijinauli huyo mama angejageuka mchepuko wake kabisa angegonga mpaka ahamishwe kituo Cha kazi
 
Huyuu mchaga mwenzangu ametoa wapi ukatili namna hii. Na kwanzia Leo tunamvua uchaga,

Wasambaa tubadilishane machungwa tuwape huyoo askari mdai rushwa ya ngono.

Bora ata angedai rushwa ya pesa ningemwonea huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…