M Marytina JF-Expert Member Joined Jan 20, 2011 Posts 9,585 Reaction score 7,766 Jan 9, 2021 #81 Huyo trafiki jinga sana Ilimshinda nini kusaidia huduma za matibabj ya huyo mtoto hata just kwa support ya vyakula na vijinauli huyo mama angejageuka mchepuko wake kabisa angegonga mpaka ahamishwe kituo Cha kazi
Huyo trafiki jinga sana Ilimshinda nini kusaidia huduma za matibabj ya huyo mtoto hata just kwa support ya vyakula na vijinauli huyo mama angejageuka mchepuko wake kabisa angegonga mpaka ahamishwe kituo Cha kazi
Distant Relatives JF-Expert Member Joined Nov 21, 2020 Posts 415 Reaction score 731 Jan 9, 2021 #82 witnessj said: Mapolisi wanapenda mteremkoo kitonga ikasubiri Yaaan kila kitu buuure Click to expand... Wako kama maaskofu na masheikh.
witnessj said: Mapolisi wanapenda mteremkoo kitonga ikasubiri Yaaan kila kitu buuure Click to expand... Wako kama maaskofu na masheikh.
chuma cha mjerumani JF-Expert Member Joined Dec 4, 2013 Posts 11,541 Reaction score 23,999 Jan 9, 2021 #83 Huyuu mchaga mwenzangu ametoa wapi ukatili namna hii. Na kwanzia Leo tunamvua uchaga, Wasambaa tubadilishane machungwa tuwape huyoo askari mdai rushwa ya ngono. Bora ata angedai rushwa ya pesa ningemwonea huruma.
Huyuu mchaga mwenzangu ametoa wapi ukatili namna hii. Na kwanzia Leo tunamvua uchaga, Wasambaa tubadilishane machungwa tuwape huyoo askari mdai rushwa ya ngono. Bora ata angedai rushwa ya pesa ningemwonea huruma.
T The hitman JF-Expert Member Joined Nov 30, 2017 Posts 3,673 Reaction score 2,288 Jan 13, 2021 #84 Safi sana