myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
SawasawaKatika hili, Mzee Kinana anatakiwa kuungwa mkono kwa 100%. Hawa jamaa watafutiwe majukumu mengine. Ifikie wakati nao wajifunze kuishi kwa kutegemea mshahara kama kada nyingine, badala ya rushwa kandamizi.
Yaani wamewafanya wamiliki wa magari kama ng'ombe wao wa maziwa! Jambo hili halikubaliki hata kidogo.
Kama wanauliza mpaka mikwaruzo ya rangi, wewe ni nani uendeshe gari jipya kila sikuHivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????
Kinachosikitisha zaidi ni chombo kinachoitwa PCCB kilianzishwa kimakosa sana haijui majukumu yake... Inashangaza eti PCCB mpaka waambiwe kachunguzeni pale...upuuzi mtupu.
PCCB wanashindwa kabisa kuchunguza rushwa zinazochukuliwa na Police barabarani pamoja na stendi za magari na kuruhusu magari mabovu kupakia abiria na ndo chanzo Cha ajali nyingi pia.
Gari ni mbovu na inapakia abiria kuliko kawaida then Askari anachungulia mlangoni, anamwita kondakta nje then wanamalizana.
PCCB Bora ivunjwa.
Hii ni ishara tosha kuwa serikali haipo fair kwa raia wake inajiendesha kijanjajanja na kiwiziwizi na ndipo watu wanaanza kuhoji legitimacy yake
Labda ni mmoja wao au mnufaika mwenzao:Kama wanauliza mpaka mikwaruzo ya rangi, wewe ni nani uendeshe gari jipya kila siku
Na wao ni wala rushwa wakubwa, nimeshuhudia ndugu yangu alikuwa na kesi mahakamani, walimtaka awape 2Mil waifutePCCB wanashindwa kabisa kuchunguza rushwa zinazochukuliwa na Police barabarani pamoja na stendi za magari na kuruhusu magari mabovu kupakia abiria na ndo chanzo Cha ajali nyingi pia.
Ni wao, nimefanya utafiti, tangu Kinana amemwaga sumu ukipita barabarani utaona wameinamia simu zao wako busy kujibu mapigo humu na hawalali
Hapana mm si mmoja wao daaaaah siipendi iyo kazi ya kikuda,halaf hadi wanabaguliwa maeneo yao ya kuishiNi wao, nimefanya utafiti, tangu Kinana amemwaga sumu ukipita barabarani utaona wameinamia simu zao wako busy kujibu mapigo humu na hawalali
Training gani?Hapa Trafiki waboreshewe maslahi, wapewe training za mara kwa mara,wapewe vitendea kazi bora na waongezwe barabarani.
Hapana mm si mmoja wao daaaaah siipendi iyo kazi ya kikuda,halaf hadi wanabaguliwa maeneo yao ya kuishi
Hawa jamaa ni Taasis ya kuzuia na kupambana na rushwa ila hiyo kazi ya kuzuia sidhani kama walishawahi ifanya maisha yao yote.Kinachosikitisha zaidi ni chombo kinachoitwa PCCB kilianzishwa kimakosa sana haijui majukumu yake... Inashangaza eti PCCB mpaka waambiwe kachunguzeni pale...upuuzi mtupu.
PCCB wanashindwa kabisa kuchunguza rushwa zinazochukuliwa na Police barabarani pamoja na stendi za magari na kuruhusu magari mabovu kupakia abiria na ndo chanzo Cha ajali nyingi pia.
Gari ni mbovu na inapakia abiria kuliko kawaida then Askari anachungulia mlangoni, anamwita kondakta nje then wanamalizana.
PCCB Bora ivunjwa.
Unaowaongelea kwa bashasha ni hawa?Makamu Mwenyekiti hakufikiri sawa sawa kushauri Trafiki waondolewe barabarani.
Kwa jinsi hawa madereva wetu wanavyovuta bangi na kwa jinsi vyombo vya usafiri vilivyo chakavu , kuna maafa yatatokea muda si mrefu na wa kwanza kulaumu watakuwa wao tena.
Hapa Trafiki waboreshewe maslahi, wapewe training za mara kwa mara,wapewe vitendea kazi bora na waongezwe barabarani.
Madereva nao wafanyiwe vipimo mbali mbali vya afya ikiwemo utimamu wa akili zao maana wanadhamana ya kubeba watu , tuacheni siasa kwenye mambo ya msingi jamani.
Kinana wamemchukia kabisa lakini amesema ukweli, Mkuu wao ajitafakari kabla mambo hayajamuumbua
Kazi ya Traffic ni kusimamia sheria za Barabarani ili kudumisha usalama kwa watumiaji wote wa barabara.Ni wao, nimefanya utafiti, tangu Kinana amemwaga sumu ukipita barabarani utaona wameinamia simu zao wako busy kujibu mapigo humu na hawalali
Trafik wa siku hizi hawakagui matatizo ya gari.Wakikusimamisha wanakimbilia kukuomba leseni yako ukishampa ndo shida inapoanzia.ili akurudishie lazima wewe ndo uwe mpole,Ukijitetea kwamba huna kosa wanakua wakali kua unaleta ujeuri na mikwara yakutosha.Sasa hili kuepusha kelele na kuokoa muda wako wakati mwingine mtu unaona uwe mpole tu ili ukafanye mishe zako.Hivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????
Kazi ya Traffic ni kusimamia sheria za Barabarani ili kudumisha usalama kwa watumiaji wote wa barabara.
Anaposimamisha gari ni sehemu ya kazi kuifanyia ukaguzi wa gari lenyewe, dereva na hata abiria waliomo kwenye gari.
Fanya kosa uone kama hawata kusimamisha.
Hajasema traffic police waondolewe barabarani, ila idadi na kusimamishwa kwa magari ndiyo kero.Makamu Mwenyekiti hakufikiri sawa sawa kushauri Trafiki waondolewe barabarani.
Kwa jinsi hawa madereva wetu wanavyovuta bangi na kwa jinsi vyombo vya usafiri vilivyo chakavu , kuna maafa yatatokea muda si mrefu na wa kwanza kulaumu watakuwa wao tena.
Hapa Trafiki waboreshewe maslahi, wapewe training za mara kwa mara,wapewe vitendea kazi bora na waongezwe barabarani.
Madereva nao wafanyiwe vipimo mbali mbali vya afya ikiwemo utimamu wa akili zao maana wanadhamana ya kubeba watu , tuacheni siasa kwenye mambo ya msingi jamani.