Trafiki ni mradi wa mapato Serikalini na wakubwa fulani

Trafiki ni mradi wa mapato Serikalini na wakubwa fulani

Kazi ya Traffic ni kusimamia sheria za Barabarani ili kudumisha usalama kwa watumiaji wote wa barabara.

Anaposimamisha gari ni sehemu ya kazi kuifanyia ukaguzi wa gari lenyewe, dereva na hata abiria waliomo kwenye gari.

Fanya kosa uone kama hawata kusimamisha.
Mnashindwa kuanage kazi zenu za usakama barabarani.
Kweli changamoto zipo lakini wa mfano basi linaloenda mikoani, kwa nini lisiwekewe kituo cha kukaguliwa na lipate hati safi kabka ya kuanza safari.
Pili, gari linaenda Mwanza na limekaguliwa DSM, kwanini lisimamishwe kukaguliwa karibia na trafiki wote njia nxima na kuwaachia bukubuku kila mmjoa.
Kwa malori hivyo hivyo.
Tatizo mradi serikali imefanya faini barabarani kuwa ni maoato nanyi trafiki mnspitia mgongo huo huo na faini poa za kwenu.
 
Mtu unajiita ozark halafu hufahamu haya??!
Hivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????
 
Ccp moshi ndiyo linajukumu la kuwazalisha matrafik police,police wa usalama wa Mali na raia,police uhamiamiaji,magereza,
Sasa mjiulize hawa traffic wa sahv wanapitishwa kutoka ccp moshi

Ova
Nasikiaga tu kuwa Uniform nyeupe zinanunuliwaga halafu zuga la kwenda kusoma linafuatia.

Ndio maana unakuta Trafiki Polisi anasimamisha Gari kwenye Bend au kwenye Blind corner ukimwambia kulikoni anakwambia usinifundishe kazi 😁
 
Katika hili, Mzee Kinana anatakiwa kuungwa mkono kwa 100%. Hawa jamaa watafutiwe majukumu mengine. Ifikie wakati nao wajifunze kuishi kwa kutegemea mshahara kama kada nyingine, badala ya rushwa kandamizi.

Yaani wamewafanya wamiliki wa magari kama ng'ombe wao wa maziwa! Jambo hili halikubaliki hata kidogo.
Kinana ndiyo kaanza uongozi leo? Hii sisi tunaita ''n'tokeje ili mabwege yaniunge mkono niongeze umaarufu wangu'' Narudia tena ili wenye akili za nyumbu za kupiga vigelegele kwa kila kitu wafunguke: Tatizo siyo trafiki polisi. Tatizo ni mfumo wetu wote wa uongozi umeoza. Kinana na watu kama wewe mna-deal na dalili tu na kuacha ugonjwa. Bila kuwa na mfumo mzuri wa uongozi na unaowajibika ni bure. Mtaishia kufanya ''mental masterbation'' na kujifurahisha tu. Kinana mwenye ni mpigaji, atawazuiaje wapigaji? Nyie mnafikiri hao trafiki polisi hawana macho na masikio wala ubongo? Na subirini sasa muone kama tatizo litaisha!
 
Hapa kibaha jirani kabisa na stendi mpya ya mkoa (TANROADS) Kuna traffic wengi tu. Hawa hawaachi gari ispokua daladala za Mbezi kongowe.
Pembeni jirani na geti la TANROADS Kuna mmoja amapaki premio yake, wengine wanapaki magari Yao ndani ya stendi mpya.
Namuuliza RPC pwani. Huwezi kuipangia hii nguvu kazi, kazi nyingine ili wapunguze Keri kwa sisi wananchi tunaopitia barabara ya Moro kila siku.
 
Ccp moshi ndiyo linajukumu la kuwazalisha matrafik police,police wa usalama wa Mali na raia,police uhamiamiaji,magereza,
Sasa mjiulize hawa traffic wa sahv wanapitishwa kutoka ccp moshi

Ova
mrangi ndugu yangu. Kinana amezuka kama msimu wa embe unakuja tu na hakutakuwa na badiliko lolote. Kesho mambo yatarudi pale pale au zaidi! Leo unamwambia polisi atunge kesi ya uongo ili kumfunga mpinzani, au asimamie wizi wa kura, unadhani kesho atakuheshimu? Yaani afe na njaa ili kukuheshimu?
 
Kazi ya Traffic ni kusimamia sheria za Barabarani ili kudumisha usalama kwa watumiaji wote wa barabara.

Anaposimamisha gari ni sehemu ya kazi kuifanyia ukaguzi wa gari lenyewe, dereva na hata abiria waliomo kwenye gari.

Fanya kosa uone kama hawata kusimamisha.
Rubbish
 
Rushwa imekuwa ni SAwa na mfumo wa maisha yetu baada ya kuporomoka kwa maadili ya utumishi na ya jamii pia, KILA mmoja ula ofisini kwake.
 
Rudi nyuma kama matrafiki wasipochukua rushwa yaani wawe wanaandikia tu makosa Hakuna gari itatembea barabarani watu awafati sheria za barabarani, magari ni mabovu mengi ni chakavu.
 
Wewe hujui kuwa kazi halali zikiwamo hizi za hawa ndugu zimekuwa zikitumika kama kichaka cha kijipatia rushwa?
Uko timamu kweli?

Nani amekwambia uwape rushwa?

Unanichosha bure, ngoja NIKAMWAGILIE MOYO!
 
Kinachosikitisha zaidi ni chombo kinachoitwa PCCB kilianzishwa kimakosa sana haijui majukumu yake... Inashangaza eti PCCB mpaka waambiwe kachunguzeni pale...upuuzi mtupu.

PCCB wanashindwa kabisa kuchunguza rushwa zinazochukuliwa na Police barabarani pamoja na stendi za magari na kuruhusu magari mabovu kupakia abiria na ndo chanzo Cha ajali nyingi pia.

Gari ni mbovu na inapakia abiria kuliko kawaida then Askari anachungulia mlangoni, anamwita kondakta nje then wanamalizana.
PCCB Bora ivunjwa.
Ukitaka kupambana na rushwa pambana rushwa kiujumla
Na wanao patikana watie adabu,huko kwengine kutakaa sawa tu

Ova
 
Hivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????
Ndugu yangu sijui unaingea watu Gani. Hujaingia kwenye 18 zao. Ndo utawajua tu.. nilishawahi kua na vyote lkn walikula 5000. Lkn kumbuka wapo wengi sana barabarani na wanapoteza mda sana. make kila baada ya 1km umesimamishwa hasa mjini.

Chukulia unatokea buhongwa Hadi unatokea Kisesa umesimamishwa zaidi ya mara 7 Hadi 10 ndani ya 20km huoni ni kupotezeana mda

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
mrangi ndugu yangu. Kinana amezuka kama msimu wa embe unakuja tu na hakutakuwa na badiliko lolote. Kesho mambo yatarudi pale pale au zaidi! Leo unamwambia polisi atunge kesi ya uongo ili kumfunga mpinzani, au asimamie wizi wa kura, unadhani kesho atakuheshimu? Yaani afe na njaa ili kukuheshimu?
Alafu mshahara wao hauwatoshelezi
Wenyewe wataishije

Ova
 
Ni wao, nimefanya utafiti, tangu Kinana amemwaga sumu ukipita barabarani utaona wameinamia simu zao wako busy kujibu mapigo humu na hawalali
Jana nimesafiri safari ya zaidi ya km 300 lakini sijaulizwa chochote na traffic, kuna mmoja nilimpita kasimama karibu na centreline nilivyokaribia akawahi kunipisha nikabaki na shangaa leo na kismati gani
 
Hivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????

Polisi akikagua vyote hivyo huchomoki usipokamatwa hapo atacheki taa akikukosa atacheki condition ya gari kama kuna mikwaruzo au michubuko hakuachi, katika watu100 wanaoweza kupona ni wawili au watatu. Polisi wa bongo ni wa hovyo sana.
 
Back
Top Bottom