Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Ungekuwa ni dereva uliyekamilika, na unaye safiri na gari kwenda maeneo tofauti tofauti, basi ungekubalina na hoja za wengi humu juu ya hao trafiki kuwepo barabarani kwa ajili ya rushwa tu.Ila mkiendelea kufa kwa maajali msije kuloloma humu.