Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #41
Mnashindwa kuanage kazi zenu za usakama barabarani.Kazi ya Traffic ni kusimamia sheria za Barabarani ili kudumisha usalama kwa watumiaji wote wa barabara.
Anaposimamisha gari ni sehemu ya kazi kuifanyia ukaguzi wa gari lenyewe, dereva na hata abiria waliomo kwenye gari.
Fanya kosa uone kama hawata kusimamisha.
Hivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????
Nasikiaga tu kuwa Uniform nyeupe zinanunuliwaga halafu zuga la kwenda kusoma linafuatia.Ccp moshi ndiyo linajukumu la kuwazalisha matrafik police,police wa usalama wa Mali na raia,police uhamiamiaji,magereza,
Sasa mjiulize hawa traffic wa sahv wanapitishwa kutoka ccp moshi
Ova
Kinana ndiyo kaanza uongozi leo? Hii sisi tunaita ''n'tokeje ili mabwege yaniunge mkono niongeze umaarufu wangu'' Narudia tena ili wenye akili za nyumbu za kupiga vigelegele kwa kila kitu wafunguke: Tatizo siyo trafiki polisi. Tatizo ni mfumo wetu wote wa uongozi umeoza. Kinana na watu kama wewe mna-deal na dalili tu na kuacha ugonjwa. Bila kuwa na mfumo mzuri wa uongozi na unaowajibika ni bure. Mtaishia kufanya ''mental masterbation'' na kujifurahisha tu. Kinana mwenye ni mpigaji, atawazuiaje wapigaji? Nyie mnafikiri hao trafiki polisi hawana macho na masikio wala ubongo? Na subirini sasa muone kama tatizo litaisha!Katika hili, Mzee Kinana anatakiwa kuungwa mkono kwa 100%. Hawa jamaa watafutiwe majukumu mengine. Ifikie wakati nao wajifunze kuishi kwa kutegemea mshahara kama kada nyingine, badala ya rushwa kandamizi.
Yaani wamewafanya wamiliki wa magari kama ng'ombe wao wa maziwa! Jambo hili halikubaliki hata kidogo.
mrangi ndugu yangu. Kinana amezuka kama msimu wa embe unakuja tu na hakutakuwa na badiliko lolote. Kesho mambo yatarudi pale pale au zaidi! Leo unamwambia polisi atunge kesi ya uongo ili kumfunga mpinzani, au asimamie wizi wa kura, unadhani kesho atakuheshimu? Yaani afe na njaa ili kukuheshimu?Ccp moshi ndiyo linajukumu la kuwazalisha matrafik police,police wa usalama wa Mali na raia,police uhamiamiaji,magereza,
Sasa mjiulize hawa traffic wa sahv wanapitishwa kutoka ccp moshi
Ova
RubbishKazi ya Traffic ni kusimamia sheria za Barabarani ili kudumisha usalama kwa watumiaji wote wa barabara.
Anaposimamisha gari ni sehemu ya kazi kuifanyia ukaguzi wa gari lenyewe, dereva na hata abiria waliomo kwenye gari.
Fanya kosa uone kama hawata kusimamisha.
Uko timamu kweli?Wewe hujui kuwa kazi halali zikiwamo hizi za hawa ndugu zimekuwa zikitumika kama kichaka cha kijipatia rushwa?
Hahahaaa hao niliwashuhudia live pale mbagala rangi tatu aiseeSiku hizi hata hawa FFU nao wanasimamisha magari na pikipiki kukagua na kuchukua rushwa.
Uko timamu kweli?
Nani amekwambia uwape rushwa?
Unanichosha bure, ngoja NIKAMWAGILIE MOYO!
Askari anapandishwa awe trafficNa Maaskari wengi wanataka wawe ma Trafiki,futilia mbaya huo ujinga.
Ukitaka kupambana na rushwa pambana rushwa kiujumlaKinachosikitisha zaidi ni chombo kinachoitwa PCCB kilianzishwa kimakosa sana haijui majukumu yake... Inashangaza eti PCCB mpaka waambiwe kachunguzeni pale...upuuzi mtupu.
PCCB wanashindwa kabisa kuchunguza rushwa zinazochukuliwa na Police barabarani pamoja na stendi za magari na kuruhusu magari mabovu kupakia abiria na ndo chanzo Cha ajali nyingi pia.
Gari ni mbovu na inapakia abiria kuliko kawaida then Askari anachungulia mlangoni, anamwita kondakta nje then wanamalizana.
PCCB Bora ivunjwa.
Ndugu yangu sijui unaingea watu Gani. Hujaingia kwenye 18 zao. Ndo utawajua tu.. nilishawahi kua na vyote lkn walikula 5000. Lkn kumbuka wapo wengi sana barabarani na wanapoteza mda sana. make kila baada ya 1km umesimamishwa hasa mjini.Hivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????
Alafu mshahara wao hauwatoshelezimrangi ndugu yangu. Kinana amezuka kama msimu wa embe unakuja tu na hakutakuwa na badiliko lolote. Kesho mambo yatarudi pale pale au zaidi! Leo unamwambia polisi atunge kesi ya uongo ili kumfunga mpinzani, au asimamie wizi wa kura, unadhani kesho atakuheshimu? Yaani afe na njaa ili kukuheshimu?
Karibu TUMWAGILIE MOYO!Unajibu mapigo barabarani tokea pande za wapi mkuu?
Jana nimesafiri safari ya zaidi ya km 300 lakini sijaulizwa chochote na traffic, kuna mmoja nilimpita kasimama karibu na centreline nilivyokaribia akawahi kunipisha nikabaki na shangaa leo na kismati ganiNi wao, nimefanya utafiti, tangu Kinana amemwaga sumu ukipita barabarani utaona wameinamia simu zao wako busy kujibu mapigo humu na hawalali
Hivi wakuu ukijitahidi gari yako iwe safi,kwa maana spidi ya kawaida,ukiwa umevaa mkanda,bima umelipa na tira inasoma,tairi zipo vizuri na spea yake,nenda kwa usalama umepeleka gari na imekaguliwa na wao vizuri tu.
Taa zote zipo safi,waipa na maji yapo poa,hujazidisha abiria,hujavaa sendo,fire extinguisher ipo vizuri,na unajua kuitumia.
Huhjaovateki sehem isiyoruhusiwa,kwenye zebra umepisha watu wapite,umepaki sehem sahihi,upo kwenye line yako.
Hivi hawa jamaa wanakulaje hela yako?????