Namkumbuka yule, alikuwa afisa wa ATCLWanakula kwa urefu wa kamba zao, hizi sio rushwa za maana, tizameni wajuu wale wabadhirifu haswaa, wale wanatokea kwenye ripoti ya CAG.
Kuna mtu aliisababishia serikali hasara ya bilioni ngapi sijui akapigwa faini ya milioni 100 🤣😂