milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
RTO na DTO Hawa ndio wanao watuma Trafic kukusanya maokoteo bara barani!
Usipo peleka fedha unahamishwa kitengo hichi.
Swali la kujiuliza, ni chuo kipi kinatoa kozi ya utrafic Tanzania,?
Hizo ni nafasi za kupewa kwa njia ya rushwa, undugu,ukabila au udini.
Mwisho ni ngumu kukwamisha rushwa idara ya trafic!
Usipo peleka fedha unahamishwa kitengo hichi.
Swali la kujiuliza, ni chuo kipi kinatoa kozi ya utrafic Tanzania,?
Hizo ni nafasi za kupewa kwa njia ya rushwa, undugu,ukabila au udini.
Mwisho ni ngumu kukwamisha rushwa idara ya trafic!