BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Msalimie SSP nanii Yule staff officer wakoKumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msalimie SSP nanii Yule staff officer wakoKumbe
Ww ni afande tumekuona kwenye posts nyingi sanaMimi sio afande ila embu tuseme ukweli mnaona alichofanya ni sawa?
Au sioMsalimie SSP nanii Yule staff officer wako
Tujikite kwenye mada unaona ni sawa kwa alicho kifanyaWw ni afande tumekuona kwenye posts nyingi sana
Atakuwa mdosi kaka ghorofani Pugu Road akarekodi karusha.Daah Kimenuka huyo mchukua video nyoko sana....
eti enhee?Vitu vingine vidogo vidogo ni vya kuacha vipite tu
Rushwa ianze kudhibitiwa juuKawaida hujenga mazoea kama hapo kwenye video clip....
Rushwa ianzie kudhibitiwa kuanzia chini hadi juu
Wazoefu hawapokei wao wenyewe wanakuambia helasema hawa ni wapuuzi 💩
Kuna wengine wanapokeaga rushwa wanavizia magari yanayopita service road pale buguruni... huwa nawaangalia najisemea hawa wajinga siku yako inakuja... bad enough kazi yenyewe kufukuzwa ni rahisi kama kumfukuza dada wa kazi, boss akijisikia anytime unaachia gwanda
Wakubwa zao ndiyo wanawatumaUkweli ukisemwa Rushwa ni mfumo rasmi nchini mwetu. Tunakwenda kupata huduma huku tunajipanga kutoa rushwa. Hata kama huduma ni haki yetu.
Kila daladala inaacha buku 2 tu🤣Hapo utakuta hela yenyewe haifiki hata 50k Dah😥
Kwahio mfalme ni askari traffic?Atapotezwa mazima.
Huwezi kumvua nguo hadharani Mfalme na kumwacha uchi wa mnyama halafu uendelee kubaki salama. Never!
Wanawaonea, hao traffic wamepata nafasi ya traffic kwa kuhonga, na waliye mhonga awateuwe kuwa trafiki naye alihonnga kuwa kwenye kitengo cha kupandisha vyeo. Halafu unataka wasifanye kitu kilicho wapa kazi! Kama unataka kukomesha Rushwa Anzia jjuu huko kwa Waziri wa Mambo ya ndani kuja mpaka kwa IGP ukisha safisha mpaka hapo hao wadogo wala hawana shida watanyoka tu.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
Huduma haiwezi kwenda smooth bila rushwaUkweli ukisemwa Rushwa ni mfumo rasmi nchini mwetu. Tunakwenda kupata huduma huku tunajipanga kutoa rushwa. Hata kama huduma ni haki yetu.