Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani

Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani

Pana mama mmoja yupo Arusha anakula rushwa huyo ana anaona kama haki yake tena anasimamisha gari zenye namba mpya mpya tu.
Wa hivyo unamrekodi mapema
Dawa yao imepatikana
Kenya polisi ndio wanakamata traffic officers wala rushwa
Kila mbinu wakifanya wanadakwa
Kuna siku walikuwa wwkiongea na dereva wanamwambia kaweke paleee kama ni chini ya mti au chini ya jiwe
Kumbe wanachorwa tu mwisho wa siku wanaenda kuchukua chao ndio wanakamatwa na yote imerekodiwa

Tena kina mama wakizoea rushwa ndio wanakuwa wabaya zaidi wanatamani wafanye kazi usiku na mchana ili waibe zaidi
 
Wanawakamataje wakati wao ndiyo wanaowatuma kukusanya hela za rushwa na mgao wa rushwa hadi wao wanapewa? Waache uonevu
 
Hivyo virushwa vidogo vidogo mbona vipo vingi tu uraiani huku aisee,wapotezewe tu.
 
Acha akili ziwakae sawa, nashauri trafik sasa wafanye kazi yao, piga cheti weka lockup madereva wazembe na wanaoendesha magari mabovu wote.
Sawa kabisa na hao waliotoa rushwa nao Sheria ifuate mkondo wake maana anayetoa na anayepokea wote Wana makosa kwa hiyo hapo ni Trafiki mbaroni kwa rushwa na mtoa rushwa naye atiwa mbaroni wakamatwe wote
 
Wa hivyo unamrekodi mapema
Dawa yao imepatikana
Kenya polisi ndio wanakamata traffic officers wala rushwa
Kila mbinu wakifanya wanadakwa
Kuna siku walikuwa wwkiongea na dereva wanamwambia kaweke paleee kama ni chini ya mti au chini ya jiwe
Kumbe wanachorwa tu mwisho wa siku wanaenda kuchukua chao ndio wanakamatwa na yote imerekodiwa

Tena kina mama wakizoea rushwa ndio wanakuwa wabaya zaidi wanatamani wafanye kazi usiku na mchana ili waibe zaidi
Huyo Mama ni hatari hata Makonda ana taarifa zake aliwahi kumsema hadharani kwa mafumbo..
 
Hawa wakipelekwa mahakamani watachomoa mkuu. Nani ana ushahidi kuwa hicho walichopewa ni pesa na kwamba wamepewa kama RUSHWA? Watapoteza muda bure kuwapeleka mahakamani
Kupoteza muda tena, ukipelekwa mahakamani sio lazima ufungwe. Ni utaratibu tu wa kisheria
 
Kwahiyo unashauri waachwe wake rushwa kwa raha zao?
Kwenye rushwa hiyo nayo ni ya kuvalia njuga kiasi hicho, hiyo ni posho tu kama posho nyingine isitoshe wanafanya favour sana maana wakiamua kusimamia sheria hamna daladala ambayo itafanya kazi.....Wanao kula rushwa za billions of money kila kukicha hawashughulikiwi halafu watu wanakuja na hoja mlenda mlenda kwamba tuanze na hawa wadogo wadogo kwa vipesa visivyo na impact kabisa....nonesense.
 
Hawa maaskari wamekosea kwakuwa wamerikodiwa. Nngeshauri wapewd adhabu ndogo then waendelee kulitumikia taifa. Kama jeshi linamaanizha kudhibit hilo bhasi wasiwe wakali kwa kuona tukio kwenys kilipu. Vinginevyo watuambia kweli kwamba nihalali kuchukua rushwa kwenye magari ila kosa ni kurikodiwa.
 
Kwenye rushwa hiyo nayo ni ya kuvalia njuga kiasi hicho, hiyo ni posho tu kama posho nyingine isitoshe wanafanya favour sana maana wakiamua kusimamia sheria hamna daladala ambayo itafanya kazi.....Wanao kula rushwa za billions of money kila kukicha hawashughulikiwi halafu watu wanakuja na hoja mlenda mlenda kwamba tuanze na hawa wadogo wadogo kwa vipesa visivyo na impact kabisa....nonesense.
Mkuu uko sahih. Kabsaa, kwanza askari wengi wanakuwa interfered na ukosefu wa uaminifu wa viongoz wakubwaa. Hasa pale makosa yanalooneka ktk vitu au mirad yao.
 
Ila nahisi aliyechukua hiyo video na kuisambaza Sasa hivi anaumia moyoni mwake Kwa kuharibu vibarua vya watu.
Vitu vingine vidogo vidogo ni vya kuacha vipite tu.
 
Back
Top Bottom