njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Siwapendi polisi mbaya mbaya lakini daah Nchi hii wanaokula mabilioni to matrion kisha wanatufokea huwezi kuwakuta hao majamaa maslahi madogo sana hizo buku buku ndio ziwaponze hivyo?
Siku nikisikia kuna fisadi limepigwa mawe mpaka kufa ndio nitajua ukombozi uko karibu hiko kilichotokea ni roho ya umasikini na ufukara imefanya kazi yake
Siku nikisikia kuna fisadi limepigwa mawe mpaka kufa ndio nitajua ukombozi uko karibu hiko kilichotokea ni roho ya umasikini na ufukara imefanya kazi yake