Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani

Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani

Siwapendi polisi mbaya mbaya lakini daah Nchi hii wanaokula mabilioni to matrion kisha wanatufokea huwezi kuwakuta hao majamaa maslahi madogo sana hizo buku buku ndio ziwaponze hivyo?

Siku nikisikia kuna fisadi limepigwa mawe mpaka kufa ndio nitajua ukombozi uko karibu hiko kilichotokea ni roho ya umasikini na ufukara imefanya kazi yake
 
Aliyerecord na kusambaza hajafanya poa, hao jamaa wanapiga sana kazi tena kwenye mazingira magumu sana, jua,mvua zao hao..mpaka unawaonea huruma.
Na hawana sehemu ya nyongeza zaidi ya humo barabarani...watu wanapiga mabilioni kila siku na allowances za kutosha...
Wawaache bana..
Kuna kipindi kinana aliliongelea la trafiki kutotakiwa kusimama barabarani,mbona maisha yalienda tu,halafu mdogo mdogo wakaanza kurudi road
 
Siwapendi polisi mbaya mbaya lakini daah Nchi hii wanaokula mabilioni to matrion kisha wanatufokea huwezi kuwakuta hao majamaa maslahi madogo sana hizo buku buku ndio ziwaponze hivyo?

Siku nikisikia kuna fisadi limepigwa mawe mpaka kufa ndio nitajua ukombozi uko karibu hiko kilichotokea ni roho ya umasikini na ufukara imefanya kazi yake
Rushwa inaanzia juu huko kwa vigogo

Ova
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.

Pia soma ~ Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani
 
Kama kweli wanataka kupunguza rushwa kwa hawa traffic basi iwe ni lazima mazingumzo ya kondakta na askari yawe mlangoni mwa daladala na abiria wakiona na kusikia mazungumzo. Siyo gari inakwenda kusimama mbele halafu konda anarudi nyuma kwa askari kumshikisha kitu kidogo.
ukitaka hivi gari nyingi zitapakiwa maana nyingi zina makosa kibao
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
Wapambanaji kazini...kwani zakubrashi ziliisha na Magu au ?
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
Trafiki wote wanakula rushwa. Kama watafukkuzwa hawa wawili tu, nitashangaa ssna.
 
Hili ninjeshi la aibu ya kitaifa . Huwezi kupanda daladala ukakaliza trip bila kukutana na hizo episode . Hili jeshi silipendi kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu
Yaani hata likifumuliwa hakuna kitu maana ndio mfumo waliojiwekea huo wa kukusanya hela kila siku kwa tamaa zao
Wote ni wamoja kuanzia wakubwa mpaka wadogo kwa sababu wanajua kila leo wanakula rushwa na ajali haziishi
Mchawi kwenye ajali ni hawa wasioangalia ubora wa magari
 
Back
Top Bottom