Acha akili ziwakae sawa, nashauri trafik sasa wafanye kazi yao, piga cheti weka lockup madereva wazembe na wanaoendesha magari mabovu wote.Subirini Sasa muandikiwe Kila kosa ndo mtajua, usalama wenu ilikuwa mkae kimya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha akili ziwakae sawa, nashauri trafik sasa wafanye kazi yao, piga cheti weka lockup madereva wazembe na wanaoendesha magari mabovu wote.Subirini Sasa muandikiwe Kila kosa ndo mtajua, usalama wenu ilikuwa mkae kimya tu
Daladala wanatoa buku 2 Tu ..Hapo utakuta hela yenyewe haifiki hata 50k Dah😥
Ni uzalendo ukiwapiga picha au kuchukua video,kuliko kukaa kimya,ulinzi wa raia na nchi,si wa askari tu,unaanza na wewe mwananchi.Hawa wamekamatwa Kwa sababu wameonekana lakini hii ipo majiji yote na Huwa inafanyika Kila siku.Mimi nimeiona sana hapa Dar lakini unaamua kupotezea tu.kila daladala 2000, muda mwingine Hadi 5000.
Mambo ya aibu kabisa. Ila hawa mahakamani watatoboa, nani ana uhakika/ushahidi kuwa walichokuwa wanapewa ni pesa!? Japo sote tunajua wamepokea pesa ila kisheria wanaweza kukwepa huo mtego.Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
Atapotezwa mazima.Aliyechu
Mchukua video asali sana.... wakimpata watamwadhibu.
Watuhumiwa wengine huwa wanatajwa majina na kuanikwa hadharani ila hao watumishi wao majina hayatajwi na hatuwaoni!Ni taarifa za maigizo au taarifa za kutengenezwa kama kawaida yao.
Hao Askari Polisi anaodai kwamba wamekamatwa na wako mahabusu, Je, kwa nini hajataja Majina yao?? Why?
Nimewaonea huruma tu masikini ya mungu, hawa ni watoto wa maskini tu wamepata ajali kazini , ni wa kuwaonea huruma maana ajira zenyewe hakuna wakifukuzwa ndio tumewapotezaKamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
Nusu ya hiyo pesa inarudi kituoni kilasiku wanaenda kugawana na wakubwa waoKama kweli wanataka kupunguza rushwa kwa hawa traffic basi iwe ni lazima mazingumzo ya kondakta na askari yawe mlangoni mwa daladala na abiria wakiona na kusikia mazungumzo. Siyo gari inakwenda kusimama mbele halafu konda anarudi nyuma kwa askari kumshikisha kitu kidogo.
Wazalendo halisi huwa wanahesabika kuwa ni WASALITI, lakini wale Watu ambao kwa hakika ni WASALITI WAKUBWA huwa Wanajiita kuwa ni Wazalendo.Ni uzalendo ukiwapiga picha au kuchukua video,kuliko kukaa kimya,ulinzi wa raia na nchi,si wa askari tu,unaanza na wewe mwananchi.
Leo Pale Morocco Airtell walikuwa wanachukua elfu 5.Hawa wamekamatwa Kwa sababu wameonekana lakini hii ipo majiji yote na Huwa inafanyika Kila siku.Mimi nimeiona sana hapa Dar lakini unaamua kupotezea tu.kila daladala 2000, muda mwingine Hadi 5000.
ulimuona?? na kwanin sasa useme anachkua kwa speculation zako tu. unafikir kama rushwa ina majina meng . acha kuchafua watuHuyo Mwenyewe Kamanda J4 achukui chambi chambi?, awaachie bhana January ngumu hii wanatafuta Ada.
Kama kweli wanazuia na kupambana na rushwa wakawakamate na wanaokula mabilioni kwenye ripoti ya CAG
[/QUOTE
Umeongea real man uku padogo wanajifanya kweli kukamia uko kwenye billions of money kimya, kutekana kimya, GOD bless Tanzania citizens
twajibiiiAliyerecord na kusambaza hajafanya poa, hao jamaa wanapiga sana kazi tena kwenye mazingira magumu sana, jua,mvua zao hao..mpaka unawaonea huruma.
Na hawana sehemu ya nyongeza zaidi ya humo barabarani...watu wanapiga mabilioni kila siku na allowances za kutosha...
Wawaache bana..
Nyuzi Zimekaza Sanajf kiboko huo mziki ulianzia humu humu asbh duh!
Ya Kujitakia Hayana MajutoAjari kazini