MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Ma-traffic wajiongeze, watoe lipa number zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna marupurupu wala niniNdo marupurupu yao
Wakipokea pesa/rushwa hadharani.Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
Watoto wakishua bana..formula ganji ni buku mbili tu apoHapo utakuta hela yenyewe haifiki hata 50k Dah😥
jf kiboko huo mziki ulianzia humu humu asbh duh!
jf kiboko huo mziki ulianzia humu humu asbh duh!
Ngoja na mimi nianze kuchukua video nna camera canon focal length 5.5Daah Kimenuka huyo mchukua video nyoko sana....
sasa hii ndio picha halisi ya polisi wa nchi hii. though hao wanawake wa kuwaonea huruma, kwa sababu hadi kupata iyo shift ya kupokea izo hela, kuna garama kubwa sana ametoa pia.Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
na hata hao unaambiwa wamefukuzwa hawawezi kufukuzwa,watahamishwa vituo na vitengo tu. nani asiyeijua hii nchi? though mafisadi wanakula mabilioni, .Hakuna trafiki asiyepokea rushwa, wote wakubwa na wadogo wanapokea na kula, kuna huyu dada anayekusanya 2000 kila gari hapo China Plaza, kituo cha Sekondari ya Benjamini Mkapa katikati ya Kariakoo na Karume, karibu na kiwanda cha bia Brewaries kila jumapili, tukutane hapo jumapili tushuhudie pamoja.
Dah,mshawaharibia kazi hao watu, trafic wakisema wafuate sheria ipasavyo hakuna gari itatembea barabarani ila chache tuKamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
Mchukua video asali sana.... wakimpata watamwadhibu.Daah Kimenuka huyo mchukua video nyoko sana....