Trafiki wawili wakamatwa baada ya kunaswa kwenye video wakipokea Rushwa hadharani

Wanakula kwa urefu wa kamba zao, hizi sio rushwa za maana, tizameni wajuu wale wabadhirifu haswaa, wale wanatokea kwenye ripoti ya CAG.

Kuna mtu aliisababishia serikali hasara ya bilioni ngapi sijui akapigwa faini ya milioni 100 🤣😂
Namkumbuka yule, alikuwa afisa wa ATCL
 
Huna akili boss, hao wakati wanaajiriwa walipewa mikataba ya kazi na walisaini, sasa iweje useme mazingira magumu, kama wanaona mazingira ni magumu waache kazi wakafanye zenye mazingira malaini, msihalalishe rushwa kwa mazingira magumu ya kazi.
 
 

Attachments

  • IMG-20250115-WA0008.jpg
    77.1 KB · Views: 5
Tanzania Kuna askari wa usalama barabarani asiyekusanya hela ? Hata kama hauna kosa ataomba hela ya maji Tena kwa kulazimisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…