Namkumbuka yule, alikuwa afisa wa ATCLWanakula kwa urefu wa kamba zao, hizi sio rushwa za maana, tizameni wajuu wale wabadhirifu haswaa, wale wanatokea kwenye ripoti ya CAG.
Kuna mtu aliisababishia serikali hasara ya bilioni ngapi sijui akapigwa faini ya milioni 100 🤣😂
Mtihani ushahidi, hadi mabosi wao wapo kwenye mgao tatizo ukifotolewa inakuwa juu yakoWangewakamata trafiki wote Tanzania maana huo ndio mfumo wao wa maisha..
Huna akili boss, hao wakati wanaajiriwa walipewa mikataba ya kazi na walisaini, sasa iweje useme mazingira magumu, kama wanaona mazingira ni magumu waache kazi wakafanye zenye mazingira malaini, msihalalishe rushwa kwa mazingira magumu ya kazi.Aliyerecord na kusambaza hajafanya poa, hao jamaa wanapiga sana kazi tena kwenye mazingira magumu sana, jua,mvua zao hao..mpaka unawaonea huruma.
Na hawana sehemu ya nyongeza zaidi ya humo barabarani...watu wanapiga mabilioni kila siku na allowances za kutosha...
Wawaache bana..
Ni mataka kama aikosei.Namkumbuka yule, alikuwa afisa wa ATCL
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
Wamekamatwa kwa kuwa wameanikwa hadharani. Utaratibu wa video hii ni wa kawaida kwa tupandao daladala kuuona.