Trapped to a married man

Mkeo akikuacha ili uendelee vzr na huyu mchepuko believe ndo utajua unampenda nani sana, sometimes it takes to loose someone in order to know their worthy!! Na ukianza kuishi na huyo side chick miaka kadhaa na kupata watoto ndo utajui kimya kinyemi nothing else,! Kuna watu wamepitia same situation bi mkubwa alivyojua akaamua kuwapisha, mume akaanza kuishi na bi mdogo where hakuna zile shauku tena za kufanya kwa siri ili waonane, wakaanza kuishi pamoja, nadhan mwanaume yale maajabu kaona hamna tena, saiv anapiga magoti kuomba mke wake and it is pretty late, kabaki miserable anaona mapoteza mke na watoto, na yale mahaba aliyofikir anayo kwa mchepuko hamna kitu!! Mwanaume hapo ndo wanafeli, wakiwa wawili unaona yule mpya ni mzuri, mtamu, ishu wa kwanza akiondoka wanaanza tenq kumtaka tena😂SMH
 
Hapa umemaliza
 
Weee wivu niutoe wapi nina barafu wa moyo wangu nimeshiba maluv dabi yake , huku nakuja sebulenj kuangalia nyie mnatafutiana nauli 🤣[emoji16]
Akinitumia nauli nikitoka huku bush nakuja kukusalimu na wewe
 
Uko blind , wake up and see, utajuta sana baadae baada ya kupata laana ya mke mwenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…