Kuolewa sio dhambi. Ila kuolewa kisiri khaa, kwamba mkewe asijefahamu kama jamaa kaoa, ndio ndoa gani sasa!?Kama hivyo ndivyo, bibie kubali kuolewa, sababu na wewe unakuwa mke halali ila unakuwa wa pili tu. Moja, na mbili zote ni namba tu ili kubainisha na kujua nani kaanza nani kafata.
Olewa bibie..... ni hayo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina uhakika sio huyu nimeshika simu yake just to confirm best [emoji3]
Wanawake wengi tuna penda ready made ya wanaume hatujui hustle za wake zao na maombi Hadi kufika hapo, I'm sure hata huyo dada akiolewa mwanaume ataporomoka uchumi wote.Ndoa ya kisiri hahahah
Halafu kuna jamaa single nae katangaza ndoa, bado mtu anakosa maamuzi kweli!!!???
Anadhani huyo mume wa mtu hayo mafanikio kazaliwa nayo, amehangaikia huku mkewe akiwa anamsaidia kumpikia, kumfulia, kumuandalia sehemu nzuri ya kulala, kumshauri pia.
Ni heri amtengeneze mumewe.
Hali nzuri ya kiuchumi ya mume wa mtu haihusiani na hali ya maisha yake na huyo mume wa mtu, pesa ni zake sio za wote.
Na waume za watu wanavuta tu mtu ili wampate, akishazaa hakuna rangi hataiona, atamzoea na hapo mwanaume atakumbuka jinsi alivyosota na mkewe na atarudi kutulia na mkewe
Kijana single anakuwa kashaoa.
Single mom anaongezeka mtaani.
Mnachosahau ni kuwa usiri huwa unakuwa mwanzoni, na sisi huwa tuna hekima zetu kufanya siri, siyo tunakurupuka. Hayo ni mahesabu tu ila lazima mke mkubwa aje kujua.Kuolewa sio dhambi. Ila kuolewa kisiri khaa, kwamba mkewe asijefahamu kama jamaa kaoa, ndio ndoa gani sasa!?
Na mpotosha Nini Sasa aolewe kisiri na mtuUna mpotosha mwenzako.
Kwani sharti la ndoa ni nini ? Kwamba mtu akiolewa kwa siri ndoa haikubaliki au ?Na mpotosha Nini Sasa aolewe kisiri na mtu
Hawajui wanaume vizuri hapo ukute mwanaume kashikwa na mchepuko mwingine kagombana na mkewe ndo kamkumbuka, na ukute kajua ana mwanaume serious kajirudisha, in short mwanaume mwenye mke Ni wakula Raha basi hyo ya kujifanya nakupenda Ni uongo wao tu. Kwanza mwanamke kumpenda mwanaume Ni kupoteza mda Hawa viumbe hawaridhiki
Haikubaliki kwetu wakristo ndoa ni moja tofauti na zenu, mtu ana Nia njema kwanini afanye Siri?Kwani sharti la ndoa ni nini ? Kwamba mtu akiolewa kwa siri ndoa haikubaliki au ?
Hawa ni wakristo ujue! Ingekuwa kama sisi mbona nami ningemtakia kheri aje kulia mbele ya safariMnachosahau ni kuwa usiri huwa unakuwa mwanzoni, na sisi huwa tuna hekima zetu kufanya siri, siyo tunakurupuka. Hayo ni mahesabu tu ila lazima mke mkubwa aje kujua.
True mwanaume si kiumbe wa kumwamini labda baba yangu na kaka yangu tu basi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Aisee
Umeongea kwa hisia mpaka nimejitafakari na mimi juu ya unavyotutazama wanaume.Hawajui wanaume vizuri hapo ukute mwanaume kashikwa na mchepuko mwingine kagombana na mkewe ndo kamkumbuka, na ukute kajua ana mwanaume serious kajirudisha, in short mwanaume mwenye mke Ni wakula Raha basi hyo ya kujifanya nakupenda Ni uongo wao tu. Kwanza mwanamke kumpenda mwanaume Ni kupoteza mda Hawa viumbe hawaridhiki
Haikubaliki kwetu wakristo ndoa ni moja tofauti na zenu, mtu ana Nia njema kwanini afanye Siri?
Mna kosea sana kutotuamini.True mwanaume si kiumbe wa kumwamini labda baba yangu na kaka yangu tu basi
Ina maana Ukristo hauruhusu kabisa Mitala ?Hawa ni wakristo ujue! Ingekuwa kama sisi mbona nami ningemtakia kheri aje kulia mbele ya safari
True mwanaume si kiumbe wa kumwamini labda baba yangu na kaka yangu tu basi
Andiko gani katika Biblia linakataza mitala ?
Usiri huwa tunafanya kwa ajili ya kuusoma upepo kwa mke mkubwa, sababu tulio wengi wake zetu wakubwa huwa wakorofi sana.
Pili, ngoja nikuulize swali usiri unao ongelewa hapa unauelewa au kwako wewe usiri wa ndoa ni upi ?
Duuh, huyo mume wa mtu atayagawa vipi majukumu yale kwa familia zote mbili...upo tayari kupewa zamu?Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi
Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.
Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.
Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo
Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.
Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote.Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia
The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha
Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu.Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine
Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu
To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi
Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi ?Wanaume mlio oa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo
Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea
PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Uliloandika Ni kweli Ila binti huko alifata kuhongwa vizuri yeye hajazaa ujue Bora wale huchepuka kwa starehe Ila huyu ana ndoa na watoto imagine hyo familia ikivunjika na ujue huwezi penda vitu viwili kwa usawa imagine hyo energy ya kuhonga mchepuko Ange invest kwa mkewe na familia.Mbona tuna aminika tu vizuri cariha , lakini hii si ishu ya wanaume tu sababu huyu binti tayari alikuwa na kijana mwenzie mwingine ambaye hajaoa
Tufikiri kwamba yule kijana kule ni mwaminifu na kweli anataka kumuoa, Je si yeye ndiyo muhanga
Trust issues nafikiri ipo kote tu si kwetu wanaume peke yake
Utakuta baadaye muanzisha mada anatuita wanaume wote mbwa kumbe ni yeye alikosea kufanya maamuzi
Hauruhusu, hivyo hiyo ndoa itakuwa ya siri milele na ataishi kama michepuko wengine tu. Na si hivyo tu, endapo lolote likimtokea huyu mumewe iwe kustaafu au kufariki basi hana haki yoyote kwa kuwa hatambuliki kama mke.Ina maana Ukristo hauruhusu kabisa Mitala ?
Kama ni hivyo basi akaolewe na mdau mwingine.